Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huyu jamaa siku hizi naona hafanyi mixing Kali Kama zamani. Yaani labda naona ufanisi wake umepungua. Muda mwingi planet bongo anakuwa dj dea ata kule fnl. Sijui kwanini. Huyu summer...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Mwanaume Alivyotumia Sura Mbaya Kupata Umaarufu, Marafiki Imeandikwa na Kaanaeli Kaale; Tarehe: 14th September 2009 Masoud Sura Mbaya kama anavyojulikana sasa ni msanii ambaye alivuma miaka...
0 Reactions
7 Replies
15K Views
Leo Mendez amefanyiwa interview na Dizzim online Tv....hii ni kama response ya Bartender ya juzi kati ya Kusaga na Jonijo...japo pia mambo mengi yamekua discussed ndani kuhusu safari yake kwenye...
2 Reactions
73 Replies
13K Views
Inasadikika Martha Mwaipaja kaachana na mumewe Kisa cha kuleta huu uzi ni kuelezea ninachokiona kwa waimbaji wa Muziki wa Injili hasa hawa wa kike. Kadri mwanamke anavyokuwa na Jina kubwa...
24 Reactions
266 Replies
78K Views
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za...
27 Reactions
193 Replies
23K Views
Hope mko poa tuendelee kudadavua.. Ingawa wengi tumezoea kuona story teller wengi ni wafanyaji wa miondoko ya kufoka (hip hop) hasa kule USA, na hata hapa Bongo kuna watu walijaribu kuifanya...
4 Reactions
63 Replies
9K Views
Katika Maisha lazima tujiandae na Mabadiliko tusiyo yatarajia. Hivyo hata katika Muziki wa Kibongo wasnii wanapaswa kuishi kwa maandalizi. Hata Diamond amabaye ni nguli wa hizi kazi naye lazima...
4 Reactions
30 Replies
7K Views
Kwangu me hii ngoma ndio ngoma yangu Bora kwa mwaka huu.Wakati maua sama ametoa iokote nilizani amebahatisha hi ngoma ilikuwa kubwa sana kuliko jina la maua sama nikajiuliza je ngoma inayofuata...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Kazi hufanyi, hutaki kutokwa jasho, umekaa kaa tu bila kujishughulisha halafu unataka watu wakupe pesa, wewe nani? Wazazi wake hawakujui, kwao hutaki kwenda, mmekutana tu barabarani halafu...
8 Reactions
26 Replies
8K Views
Nyota wa Muziki wa Rhumba (DRC) Mzee Simaro Lutumba (Micra Jazz 1958, Congo Jazz 1959/60, TP OK Jazz 1961-1993, Bana OK 1994-2018) wiki hii anastaafu kupiga muziki (umri na matatizo ya miguu)...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Kuna tetesi eti mrembo huyo wa tasnia ya bongo movie kuwa ameolewa kimya kimya na mwarabu mmoja mwenye pesa zake. Tusaidiane jamani.
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Wadau nauliza hii kutokana na kuendelea kufa au kuzorota kwa miradi ya kibiashara ya wasanii wetu mastaa nje ya fani zao zilizowapa majina. Biashara ya Lady Jaydee mgawaha wa Nyumbani Lounge ...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu nae mxieew toka uolewe huko Kenya hatupumui, yan janaume zima linajishaua na pesa za wanawake, yan katika wasanii niliokua nawaona na gentleman ni Ben Paul , kumbe na yeye nae Ndo wale wale ...
5 Reactions
70 Replies
10K Views
Ukweli ni kwamba Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo AKA #Totobad hata kidogo [emoji16][emoji16][emoji16]
1 Reactions
106 Replies
16K Views
Age 26 Hometown Dar es Salaam Occupation TV Broadcaster Biography Tune in on Sunday 1 May to get Bhoke’s full profile. Show itaanza may 1.... Haya kazi ni kwetu kumpa support dada yetu!
1 Reactions
818 Replies
95K Views
Dellaboss perfume ya Hajji manara hii aliizindua kwa mbwembwe zote huyu msemaji wetu wana msimbazi. Lakini sasa kimyaa hata mwaka haijamaliza. Mofaya ya Alikiba, hii ni kama sijui kufata mkumbo...
6 Reactions
97 Replies
11K Views
Kila anayehojiwa na Mtangazaji ' Critical ' na ninayempenda na kumkubali kabisa Siza wa Cloudstv 360 on Saturday wakiwa ' mubashara ' kabisa kutokea Mlimani City kuwa aelezee Historia ya Mafanikio...
28 Reactions
129 Replies
22K Views
Huyu dogo sijawahi kumwelewa amshukuru sana Diamond ndio anampiga tafu. Kila wimbo kamshirikisha kama hajashirikisha basi ujue ni remix. Namshauri ache kubana pua, sisemi nikiwa na maana kuwa...
6 Reactions
81 Replies
11K Views
Akikabidhiwa tuzo la rais la mcheza golf bora 2019. Mpaka sasa Tiger ni mcheza golf mwenye umri mdogo zaidi kupata tunzo hilo. Alisindikizwa na Erica girl friend wake, mama yake na watoto wake...
9 Reactions
95 Replies
13K Views
Carrymastory anawasalimu na kuwatakia weekend njema
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…