Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kati ya Nandy na Mauwa Sama unadhani nani zaidi ya mwenzake kwenye mziki wetu wa Bongofleva hapa nchini.
1 Reactions
81 Replies
15K Views
Kuna baadhi nawajua tangu kitambo kabla hawajawa mastaa, kuna wengine nishakutana nao kwenye maeneo ya kistaarabu kama vile wakiamka baada ya kulala misibani ; 1. Elizabeth Lulu 2.Kajala(enzi...
3 Reactions
26 Replies
8K Views
YALIYOJIRI @ WOMEN'S TEA PARTY – NACKY ASUTWA… Eeeeh jamani, yani kidogo tuukose huu umbea jamani wadada wa mujini jinsi wanavyopenda kuficha drama zao…hahahaha Basi mmoja wa...
2 Reactions
179 Replies
51K Views
Ni vijana kutoka pande za Mwenge waliotamba na ngoma kali ikiwemo iliyovuma sana ya T-shirt na Jeans. Ningependa kujua walipo na wanachofanya kwa sasa. Wajuvi tujuzeni.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Producer wa Kenya aliyeibiwa beat na Harmonize amtaka Harmonize aombe msamaha la sivyo atafuta hata audio ya Uno baada ya video kufutwa, pia ataenda mahakamani kudai haki yake.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
HAKUNA ubishi kwamba Cassper Nyovest ni miongoni mwa marapa wakubwa zaidi Afrika Kusini kwa sasa kutokana na mafanikio aliyoyapata kwenye muziki toka mwaka 2009, alipoanza kujulikana zaidi. Kwa...
6 Reactions
48 Replies
8K Views
Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania naseeb Abdul a.k.a baba lao amesema atakuja na kitabu chake kinachoelezea maisha yake binafsi na hii imekuja baada ya mashabiki wake kukuuliza leo kwenye...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama ni kweli majizzo kazaa na Salma Msangi basi naomba niseme Majizo kashindikana tabia, Maskini Lulu na uzuri wote ule bado mwanaume kaenda kuzaa na mtu mwingine
6 Reactions
279 Replies
51K Views
Habari zenu Ili nijukwaa la celebrities Leo nimeamua nije na hii hoja kwenu.kati ya wasanii ninaowakubali Tanzania kimziki kiba ni mmoja wapo lakini nje ya mziki wake simkubali.Leo wakati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya ndoa yake na Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Bunge la JMT ndugu Sadifa kuvunjika,sasa Wastara apata bwana mpya na amekwisha tolewa mahali Kweli huyu dada ana nyota ya kuolewa,ikizima...
3 Reactions
109 Replies
16K Views
JACKUELINE NTUYABALIWE IS THE MOST BEAUTIFUL WOMAN IN THE WORLD - TEDDY KALONGA... .....JF Members what is your comment on the above statement.... Hapo akiwa na Hoyce Temu
3 Reactions
81 Replies
30K Views
Kumbe zingine ni makeup tu!
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimeangalia wasanii wakubwa wa Afrika wakielekea Dubai kwenye show ya kihistoria. Nimejaribu kupepesa macho sijaona jina la Kiba. Tanzania kuna Diamond, Harmonize, Mdee na Nandi. Je, huu mwamba...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Na Mwandishi Wetu/Ijumaa NDOA iliyodumu kwa miaka miwili na nusu kati ya mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentzel na Gadna Dibibi imevunjika, Ijumaa lina mkanda kamili. Mwigizaji wa filamu za...
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Ile tabia ya kujifanya unatoa nyimbo mpya kila siku ndio haswa imemponza huyu msanii na kujikuta kuishiwa uwezo wa kutunga nyimbo mpya ili kuweza kukata kiu ya mashabiki wake. Hili suala la...
7 Reactions
65 Replies
9K Views
Elizabet Michael (Lulu) akiwa kulia Dar es Salaam. Wacheza filamu, Jackline Wolper, Elizabet Michael (Lulu) na Shamsa Ford wamesema mpango wa kuunganisha vyombo vya kusimamia sanaa nchini vya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Eti hamornize kamuimba kwa nyimbo yake mpya ,bibie wolper bibi wa viben10 kamwaga mapovu hayaaa [emoji116][emoji116][emoji116] nyie watu kama mnapendana rudianeni ,,sasa wolper umejuaje...
2 Reactions
132 Replies
14K Views
MBILI sifuri sifuri kenda (2009), aliamua kutugeuza njiwa. Bi mkubwa Patricia Hillary, yeye alimtuma njiwa” apeleke salamu, ila yeye akatutuma sisi, eti tukamwambie jinsi ambavyo bado anampenda...
15 Reactions
45 Replies
6K Views
by 8020fashionsblog Wema jana mida ya saa nne usiku hivi alipost picha zake akiwa amevaa this dress kutoka kwa Mac Couture akiwa anaiita hii gauni master piece. The dress is not a master piece ni...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Jumapili njema Leo nimeamua kuja na hoja kidogo kama nilivyoandika hapo juu asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa hawalitendei haki hilo neno hasa mtandaoni, wamekuwa wakileta tafsiri isiyo sahihi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…