Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

  • Closed
Mwanamuziki wa kutoka Nairobi Jackson Ngechu Makini maarufu kama 'Prezzo' anadaiwa kufikishwa katika Hospitali ya Karen baada ya kudungwa sindano yenye dawa za kulevya kisha kubakwa na kundi la...
4 Reactions
116 Replies
13K Views
Jamaa no mbunifu sana. Wimbo japo kuna watu wanajaribu kuudis but tayari ni gumzo kila kona ya hii nchi. Vibanda vyote vinavyoingiza nyimbo kwenye simu, memori card, na hata flash siku mbili hizi...
8 Reactions
173 Replies
14K Views
Leo wakati diamond na crew nzima ya wasafi pamoja na baadhi ya wasanii wakifanya press conference ya kutoa shukrani zao kwa mashabiki kwa kuudhuria kwa wingi Sana pamoja na wadhamini waliosponsor...
7 Reactions
23 Replies
6K Views
Mdogo Wangu Ally Kiba acha uzazwa, umoja ni nguvu. Wizkid na mafanikio yote yuko humble na ameweza kuonesha upendo kwa kuimba na Diamond Platnumz lakini wewe unajiona mkubwa kuliko Wizkid. Kaka...
16 Reactions
77 Replies
9K Views
Mapenzi bwana, mwingizaji maarufu Ebitoke amevamia mkutano aliofanya mpenzi wake wa zamani bwana Mlela akimtuhumu kumlaghai Katika purukushani hizo Ebitoke ambaye alifuatana na kaka yake,Kaka wa...
15 Reactions
432 Replies
46K Views
"Wanao-sniff na Ku-smoke me ndio nawa-control" Kweli dogo umeamua kuanika kazi yako iliyokutoa mpaka ukaanzisha duka 26 hapo kindondoni studio!
8 Reactions
39 Replies
18K Views
African Influencer of the Year 2019
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameponda Diamond na Ali Kiba kuwa na bifu akisema zinaweza kusababisha madhara makubwa akitolea mfano bifu ya Tupac na notorious big Pia amesema mzee wake...
3 Reactions
55 Replies
9K Views
Mimi ni mmoja kati ya watu wanaovutiwa sana na video nzuri za muziki hasa hapa bongo na Africa kwa ujumla. Video zilizopangiliwa kuanzia story au ubora wa picha nk. Kwangu hawa ni director's...
3 Reactions
62 Replies
8K Views
Ni hadharani mbele ya Waandishi wa Habari , Hivi huyu binti amempa nini huyu bwana hadi iwe hivi ?
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Najua ni sehemu ya siasa lakini Mods we need something for a change at least for a weekend then mnaweza kuihamisha jumapili ikisha Haya watoto wa mjini hebu tuambieni kuna sehemu inachai nzuri...
0 Reactions
321 Replies
50K Views
Nadhani kwa tuliyoyaona jana pale viwanja vya posta kijitonyama ni dhahiri kusema umefika sasa wakat wasanii wafaidike na kazi zao na waishi maisha halisi,wame fake imetosha ni wakati wa wao...
8 Reactions
30 Replies
5K Views
Niliangalia clip ya Ebitoke akivamia press conference ya Mlela nimewaona hawa ndugu zetu hili suala wamelipanga makusudi ili wapate kiki. Hivi hawa bongo movies kwanini wasitumie nguvu zao...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Yani wabongo sijui tutaelimika lini, yani mtu kisa tu wimbo unatrend namba moja youtube basi anashikiwa akili na kuamini kuwa huo ndiyo wimbo bora. Kuntrend kunaweza sababishwa na uzuri wa video...
13 Reactions
113 Replies
10K Views
Nimepitia kidogo mitandaoni nimeona watu wanaitukana couple ya Yusuf mlela na ebitoke eti hawaendani hii imenishangaza Sana kwani couple ziendane inatakiwa iweje?sisi watanzania sijui tumeumbwaje...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Please mod usiuunganishe Uzi wangu. MTAZAMO WANGU WA SHOW YA JANA Jana wasafi festival waliiteka dar nzima na east Africa kwa ujumla.kiukweli waliofanya vizuri ni wengi Sana siwezi kuweka...
18 Reactions
38 Replies
7K Views
Wakati macho na masikio ya Watanzania wakisubiri kusikia hatma ya wasanii wanaodaiwa kujihusisha na dawa za kulevya, wasanii wanne waliofika Kituo Kikuu cha Polisi bado wanashikiliwa na jeshi hilo...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Huyu bwana ana maajabu yake kiufupi hajitambui 1. Anatambulisha msanii mpya wakati wale wa zamani hawajulikani na % kubwa ya wananchi wao wenyewe hadi nyimbo zao . 2. Anatambulisha msanii mpya...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Hongera sana Diamond [emoji119] kwa kunyakua tuzo umeendelea kuonesha umwamba wako kwenye muziki. Huyu jamaa inatakiwa aheshimiwe tu ametutoa mbalii saana kimuziki. Hongera na Ommy Dimpoz best...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Kitambo kidogo mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmorapa, ambaye sasa hajulikani yuko wapi, alikuja na kibao chake matata kilichoenda kwa jina la 'Nundu'. alisifia manundu mbalimbali humo kutoka...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom