Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nina huzuni wimbo wa mshumaa wa Alikiba haukuweza kutrend youtube uliishia kushika namba mbili tu nyuma ya UNO ya Harmonize badae Baba Lao. Nilikua nategemea utashika no.1 lakini figisu hazikuisha...
5 Reactions
30 Replies
4K Views
Msanii wa muziki wa Kizazi Kipya wa muondoko wa Hop Hip, Hamis Mwinjuma maarufu MwanaFa amesema msanii wa muziki wa Hip Hop Tanzania, Rosa Ree amestahili adhabu ya BASATA, hivyo hawezi kujitokeza...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Ukiachana na u Tim huyu bwana anapendwa na watu sema hajui namna gan ya kufanya biashara ili kuendana na kas ya mashabiki Napokea maoni yenu
0 Reactions
82 Replies
10K Views
MwanaFa Asema Rosa Ree Amestahili Adhabu BASATA, Hivyo Hawezi kujitokeza kumtetea "Rosa Ree ni mdogo wangu lakini nafsi yangu itanisuta kama ntaenda kumtetea kutokana na video yake, nafkiri hata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni kwa wale wakuu wote waliochoshwa na mziki wa maigizo, Kiki za kipuuzi, sarakasi, show za play back, video za kucopy na kuungaunga, show off za kitoto na mziki wa big jii. Mark the date 25...
13 Reactions
110 Replies
14K Views
Nimefuatilia Interview aliyo ifanya Master J Na Refresh Ya Wasafi FM, Kama Master J upo Humu naomba Nikwambie na Niku JUDGE kuwa Wewe huwezi kufanya INTERVIEW na Sio JUDGE Mwenye Elimu Ya Kuwa...
12 Reactions
31 Replies
5K Views
Basi leo tunakumbuka kuzaliwa kwa King Ali Kiba naomba wote wenye mapenzi mema tumtakie neno la Heri Mfalme ukisindikiza na mstari wa wimbo unaoupenda mi naanza kama hivi... Yule aliyepanda...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Raphael Tenthani, ripota wa BBC kutoka Malawi ndani ya pozi kwenye red carpet.. Raphael Tenthani - Wikipedia
10 Reactions
141 Replies
29K Views
Ni zamu ya Konde Boi kila kona. Si ki mashairi vina na midundo tena bali ziara za kuonesha ukwasi, kukubalika na ukaribu na mamlaka zenye nguvu.Tunda limewiva sasa kila mtu analitaka. Mkulima...
73 Reactions
117 Replies
20K Views
Aliyekuwa Msanii wa Muziki, Cheka Hija Mzee maarufu 'Bibi Cheka' amefariki dunia leo mchana Novemba 28 katika hospitali ya Mloganzila Mkoani Dar. Kwa mujibu wa mtoto wa Msanii huyo mkongwe...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Ni juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant. Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake...
4 Reactions
243 Replies
24K Views
WanaJF, Maisha huwa kuna kupanda na kushuka. Kuna baadhi ya wasanii wamejimwambafai kuwa hawawezi kupanda usafiri wa umma; yupo radhi aombeombe kila sehemu ili apate fedha ya bajaji ajifiche humo...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Nadhani mtakubaliana na mimi mwanamama Zari umaarufu wake hapa Bongo umeanza kufutika; she is no more talk of the town, same to Hamissa Mobetto, washaanza kuwa old skulz. Nadhani either kutokana...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
nime miss huyu Bibi na ile single yake moja ya :ni wewe"
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Pamoja na changamoto zote ambazo mchizi anapitia, lakini akiwa kwa stage, jamaaa ana vibe flani la kukufanya usijutie kiingilio chako. Utampenda!! Mchizi anakosa attention tu ya kufanya ngoma...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Tanasha Donna Oketch: Mkenya huyu 'anayependwa' na mwanamuziki Diamond Platnumz ni nani hasa? Tanasha DonnaHaki TANASHA DONA/INSTAGRAM Mwanamuziki nyota wa Tanzania Diamond Platnumz ametangaza...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Mwanamuziki Twenty Percent 20% amepelekwa mahakamani leo mkoani LINDI baada ya kukutwa na KILO 20 ZA BANGI katika gari lake siku nne zilizopita
0 Reactions
49 Replies
18K Views
Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba. Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba...
9 Reactions
386 Replies
46K Views
Achana na Yemi Alade,Tiwa Savage katika mziki wa Nigeria na Afrika kwa ujumla. Lakini huyu mdada Wa kuitwa Simi. Moja kati ya msani Anayejua sana. Kwenye Sauti hao kina Yemi,Tiwa wote wanasubiri...
12 Reactions
91 Replies
12K Views
Wakuu habari, Ngoma ya UNO ya msanii Harmonize imeondoshwa kwenye mtandao wa YouTube. Hii imekuja siku chache baada ya kutuhumiwa kuiba mdundo wa wimbo huo na Mtaarishaji wa muziki wa Kenya...
3 Reactions
75 Replies
14K Views
Back
Top Bottom