Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimekuwa ni kifuatilia hili sanga liliotokea kwa wasanii mwijaku na menina nimeona asilimia kubwa wakimtetea menina na kumponda na kumwandama mwijaku ingawa wote wanamakosa.kwanini menina akubali...
5 Reactions
51 Replies
11K Views
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limemuita msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Menina ofisini kwake kwa mahojiano zaidi kuhusu video zake chafu zinazosambaa mtandaoni. Taarifa hiyo iliyotolewa leo...
3 Reactions
262 Replies
93K Views
Mondi alikimbia sana badae kugeuka nyuma anakuta haoni mwanariadha mwenzie kukawa hamna namna bali kumuua Alikiba kwa kumtengeneza adui wa kuzuga Harmoniser lakini mwisho wa siku nia ni kuteka...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
"Napenda umaarufu, nachukia mbwembwe zake" - Fid Q Habari za wakati huu? Najua ni usiku sana na pengine unatamani kulala kutokana na uchovu wa pirika pirika lakini kabla ya kutekeleza shauri lako...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Aslaam Aleikyum wadau wa jukwaa hili..I hope mko poa, Leo nataka nimzungumzie Toto tundu Mpemba mmoja hivi toka Zanzibar ambae ni Mtangazaji wa kipindi cha Amprifaya Clouds FM kila siku Jumatatu...
2 Reactions
63 Replies
14K Views
NDEGE TATU ZANUNULIWA KWA FAIDA ILIYOTOKANA NA NDEGE NANE ZILIZOPO. Leo 13:15pm,16/10/2019. Atcl sasa itamiliki ndege kumi na moja baada ya kununuliwa kwa ndege nyingine tatu kutokana na faida...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari, Karudi tena kundini.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana...
7 Reactions
113 Replies
60K Views
...hii kitu ya picha/video za ngono inalipa Sana kisanii. Ndani ya wiki 1 tu, unaongeza fan base kubwa, unatambulika Sana ktk jamii na kazi zako zinafuatiliwa Sana! Binafsi sikuwa namfahamu...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Huyu dogo amekwenda, Ni kweli historia yake ya matukio huko nyuma, mfano tukio la wizi, lililoandikwa hapo nyuma, na visa kadhaa kama hizo watu wanasema za skendo za kusepa na wake za watu...
6 Reactions
23 Replies
7K Views
Hatari sana. Unajua mambo mengine usijaribu kabisa ukadhani eti yanaweza kukusaidia. Mimi nina miaka 40 ukinicheck sababu nakula vizuri, mazoezi kiasi flani na pia sina mawazo. Unaweza dhani nipo...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari zenu wakubwa..I hope mko poa. Ally Masoud aka Kipanya'KP'Mchora katuni maarufu bongo katika gazeti la Mwananchi ambae pia ni Brand Manager na Mtangazaji wa Kipindi cha Power Breakfast pale...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Hatari upepo wa kisuli suli
1 Reactions
49 Replies
5K Views
He Pals,,,, I hope mko gud Ryt,,,, okay, Freshhhh Moja ya mijadala mingi iliyoko mitandaoni ni kuhusu Harmonize kujiondoa Kwenye lebo yake ya WCB,Ukifuatilia comment za mijadala hiyo wengi...
9 Reactions
89 Replies
12K Views
Ndugu wadau,naomba kujua full squad,jina na mahali walipo wasanii walioimba wimbo wa alale pema kamanda.ule wimbo una elezea kwa ufasaha kifo na huzuni kubwa.nawasilisha
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na...
1 Reactions
69 Replies
14K Views
1Kigoma 2.Morogoro 3.Mbeya 4.Arusha 5.Tanga Wale jamaa wabaguzi watakuja kupinga eti na mkoa wait uwemo🤣🤣🤣
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimepatwa na furaha sana baada ya kuona taarifa kwenye ukurasa wako wa mtandao wa Instagram ukiufahamisha umma/mashabiki kuwa kwa sasa umerejea CMG, Clouds Media Group, imekuwa furaha kwa wengi...
16 Reactions
165 Replies
20K Views
Salute.. Kwa wale wapenzi Wa muvi za mkongoto na ubabe basi jina LA Iko Uwais so ngeni sana kwenu. Jamaa in mwigizaji kutoka Indonesia, anapiga karate hatare, mapigo Yale ya kuvunja vunja mifupa...
11 Reactions
172 Replies
33K Views
Muimbaji wa ‘Kakopi Kapesti’ na ‘Shaghala Baghala’, Meninah Atick, amefunga ndoa kwa mara ya pili. Hiyo inamaanisha kuwa ndoa yake na Peter Haule, mtoto wa Waziri wa Nishati na Madini...
5 Reactions
152 Replies
37K Views
Back
Top Bottom