Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huyu jamaa Nasibu anajitahidi sana kufanya kazi na kuajiri watu wengine ila sasa inapoelekea inabidi ajilinde zaidi maana anaitwa mnyonyajji na tapeli na mwonevu. Namshauri ajiangalie sana maana...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Baada ya kuwa na kitendawili alichokuwa anakiweka Irene Uwoya kupitia mtandao wa Instagram inayosema kuhusu tarehe 26 Oktoba, sasa imejulikana kuwa ni ndoa kutokana na tetesi zinazoendelea katika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu ni mla bata wa kishua ambaye anatembea nchi nyingi sana, hana stress na maisha, yeye ni bata za kishua siyo vumbivumbi na ni mtu wa ku-cruise kwenye yatch na hoteli kubwa. She's a...
1 Reactions
72 Replies
13K Views
Mziki maalumu kwake by mashujaa muzika Huyu kijana Steven kanumba apumzike mahala pema peponi amina, Tunatambua jitihada zake katika kukuza tasnia ya filamu Tanzania,
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Nyota wa muziki nchini marekani De andre way AKA soulja boy hatimaye aamua kumchukua evender hollfield kuelekea mpambano wake na mwanamuziki ambaye pia aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada mwenye...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina. Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe TFDA mpo wapi?
17 Reactions
217 Replies
36K Views
Kweli majizo ni hatari baada ya kuzaa na mobeto sasa ameenda kuzaa na salma msangi. Na juzi kwenye 40 ya mtoto mzee mzima alitimba Ndio maana lulu ameamua kuwa mlevi tuu
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka 1. Fid q from Mwanza 2. Mwana fa from Tanga 3. Pro j from Songea 4. Darasa from Mwanza 5. Young killer from Mwanza Hii imayofuta...
8 Reactions
228 Replies
60K Views
Eeeh! Jeshi (Umemuiga Diamond kwenye Kanyaga pale anaposema 'Zombiie') Daah! Nyimbo ulianza nayo vizuri ila umezingua nyimbo, unacheka cheka tu, hatukuelewi wala nini. Acha miyeyusho ujue siku...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Na Moshy Kiyungi Bendi ya Tabora Jazz ilikuwa na makazi yake mjini Tabora ikipiga muziki wake katika ukumbi wa nyumbani wa Lumumba. Ilikuwa na sifa ya kutoka na nyimbo mpya kila baada ya kipindi...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Shilole aangua kilio baada ya mahakama kutoa hukumu kumtaka alipe million 14 za kitanzania kwa Mary Musa. Mwaka 2017 katika mkesha wa Pasaka Shilole alilipwa mil.3 akatumbuize huko Mbagala lakini...
14 Reactions
85 Replies
14K Views
Naona Kama Clouds wanaongeza mashambulizi zidi ya Mond baada ya Kiba Asley na Mario kushindwa wameamia kwa mmakonde tatizo la Clouds wanakusifia na kukupoteza Harmonize anakosea sana kwa anayo...
2 Reactions
61 Replies
9K Views
Madogo ambao wapo chini ya Kings Music ya Ali Kiba walikosea sana kwenda huko coz Kiba hajui kuongoza vizuri na pia hajui kuwapa promotion at the right time. Angalia sasa wamekalishwa benchi muda...
7 Reactions
56 Replies
6K Views
Wasanii kutoka Tanzania washinda tuzo ya east entertainment awards USA ambapo hizo tuzo zilifanyika USA.Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania diamond platnumz alishinda katika kipengele Cha best...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli...
9 Reactions
51 Replies
7K Views
Jamani kijana anaonekana nyuma yake kuna mijitu yenye mipango mizito siyo mchezo wanaodhania ataanguka kizembe kama rich mavoko wanakosea aisey maana dogo ananunua dira tv ya msama muda si mrefu...
5 Reactions
43 Replies
8K Views
T.I. weighs in on the Top 50 rappers debate. What do you think of his rankings?
3 Reactions
102 Replies
10K Views
Mchambuzi fundi wa soka ninayemkubali hapa Tanzania kwa uchambuzi wa kina wamichezo kutoka kituo Cha magic fm George ambangile rasmi amesajiliwa na wasafi media aka real Madrid wa bongo kwa...
5 Reactions
29 Replies
9K Views
Back
Top Bottom