Nakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa...
Msanii wa vichekesho, Kingwendu amesema alikurupuka kugombea ubunge na kubakiwa na madeni mengi hali iliyomsababishia kukaa kimya ili kushughulikia madeni hayo, alitakiwa awe na mdhamini.
Pia...
Kama mnakumbuka vizuri Diamond alikutana na Marlaw wakati Marlaw alienda kwenye Tamasha la Wasafi lilofanyika Tabora na kumuomba awe sehemu ya tamasha but hakumpa nafasi lakini kumbe lengo lake...
Looks like Rotimi, aka Nigerian butterscotch, has been taken off the market and his new bae is an East African super star!
Rotimi is currently boo’d up with Tanzanian singer/songwriter Vanessa...
Zamani ndio ulikua music kwelikweli hasa bongofleva.ombi toeni ngoma kama zamani.mpo wengi lakini mpaka sasa nasikiliza ngoma za juma nature a.k.a kibla(kiroboto),prof Jay,Juma mchopanga a.k.a Jay...
Kama ni mfatiliaji mzuri wa channel ya Wasafi TV utakubaliana na mimi kuwa siku mbili hizi Wasafi TV wamekua wakipiga mfululizo nyimbo za mkali huyu wa Bara la Africa Ayodeji Ibrahim maarufu kama...
Wanazengo, leo nimepita Mikocheni kwa Aunty Ezekiel nikaona wamefunga bar yake na wamebandika na bango kabisa “Bar imefungwa kuanzia tarehe 30/10”.
Sasa mmbea mie nikajiuliza ni mtaji umekata...
Huku ikisemekana kuwa msanii huyo wa bongo fleva hana hali nzuri kisaikolojia,kufuatia taarifa za kuwa amemwagwa rasmi na mke wake Irene uwoya,janjaro Leo ameonekana katika picha ya pamoja na Dr...
Ila wanazengo kwa tunaomjua muna alikotoa mwenzangu bibie kapiga hatua bwana, muna siku hizi Ana damshi, muna huyu sio muna Yule wa zaman Mbeba mapochi ya Wema sepetu, yani life lake limebadilika...
Hello wanajamii
Nahitaji kuonana na huyu daktari kwa ajili ya masuala kadhaa. Yeyote anaefahamu jinsi ya mimi kuonana nae tafadhali usisite either kuniPM namba yake au ofisi yake ilipo au the...
Nianze kwa kusema , Kati ya nchi za Afrika zilizopokea Mfumo wa ukuaji Technologia vibaya , especially Matumizi ya social Media , Basi ni Tanzania.
Kwanini.
Ni nadra sana au huwenda hakuna...
Katika mishe mishe zangu za kila siku huyu ni mtu ambae lazima nionane naye mara kwa mara, sasa kutokana na hali yake kwa sasa toka Mjasili muongoza njia atangulie mbele ya haki naona kijana yangu...
Kuna kila dalili kuwa yule mchekeshaji nguli Idris Sultan leo atapandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu
Tetesi hizo zimesikika katika viunga vya Central ambapo watu wa karibu wa Idris...
Hey pals, najua mko poa.
Nimekuwa nikishuhudia kelele nyingi za vijana wasio na kazi (jobless) wakidang'anyana na kutiana moyo kuwa eti Wasafi imekuja kuipoteza Clouds😁😁😁😁. Hiki ni moja ya...
Wiki imekua na mengi sana na bado haijaisha, Ali kiba na style ya nitoke vipi, kalalamika anafanywa na Diamond mchezo mchafu, kashindwa kuvumilia akaamua kuweka wazi anakerwa na huu mchezo kwa...
Hizi ni kesi mbili tofauti za kutofuatwa kwa sheria za hakimiliki. Kesi ya P. Funk na Chameleon, producer P. Funk alipigana na kufanikiwa kupata haki yake iliyokaribia kuporwa na Chameleon...
Ninaomba ieleweke wazi sina bifu na Idris Sultan wala sijawahi kuwa na bifu naye ,ila penye ukweli lazima pasemwe huyu bwana mdogo ni mfanya ujinga na mambo ya kitoto toto ambayo yeye binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.