Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

basi ndo hivyo bana ALi kiba ndoa chali na Roma pia,haijajulikana mara moja sababu ya issue ya Roma ila kwa ali kiba ni kwamba mwana dada alichoka madharau ya king kiba kalalamika sana kwao...
13 Reactions
66 Replies
14K Views
Ki ukweli kama hujawahi muona huyu mtu akifanya mabalaaa basi siku 1 ukiona mabalaa ya huyu jamaa utajua naongelea nini,Zamani eti niliskiaga ukiwa komando unapewa kisu na njiti 1 tu ya kiberiti...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Binti ambaye ni mhasibu amefariki dunia papo hapo kwa kupigwa shoti ya umeme baada ya simu yake iliyokuwa akiichaji kuanguka ndani ya maji. Evgenia Shulyatyeva (26), ambaye ni mpenda ‘selfie’...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba amesema hajaachana na mkewe bali amemruhusu arejee kwao Kenya kufanya kazi kama alivyomuomba. Amesema licha ya uamuzi wake huo, siku za hivi...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Kwa wale wanaomfahu David Nkuba amefariki leo kwa ajali ya gari ndogo maeneo ya Shinyanga. David alisoma Azania Secondary, Usagara High School, alipita pia UDSM kidogo na baadae akamalizia...
3 Reactions
82 Replies
18K Views
DAR ES SALAAM,TANZANIA. Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba amesema hajaachana na mkewe bali amemruhusu arejee kwao Kenya kufanya kazi kama alivyomuomba. Amesema licha ya uamuzi wake huo, siku za...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amemuomba msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kubadilisha ratiba ya Wasafi Festival mkoani Iringa ili ahudhurie...
2 Reactions
34 Replies
6K Views
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu...
3 Reactions
66 Replies
14K Views
Ningependa kumfahamu huyu binti anaitwa Reginal Mengi mtoto wa mwenyekiti wa IPP Lengo la picha ni kumfahamu tu sio kwa sifa hizi anazomwagiwa eti ni mzuri kuliko mama ake mdogo Jack Mengi...
2 Reactions
50 Replies
15K Views
Wakuu ningepata uelewa wa haya mambo kuhusu hii teknolojia ya kupasha habari kwa kutumia hizi online TV,pamoja na hayo pia nahitaji kujua faida inayopatikana kutokana na huduma hizi pia faida...
3 Reactions
124 Replies
22K Views
Wanaukumbi kwema, Leo naombeni mnijuze nini kimemkuta mwanamuziki Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz ambaye kuna kipindi tuliaminishwa kuwa atakuja kumzidi kama sio kumfunika na kumpoteza...
11 Reactions
170 Replies
30K Views
Jamani chonde chonde wasanii hatupendi kuvaa hereni wala kutoboa pua zetu mashabiki ndio mnapenda tuwe hivi. Vuta picha diamond anyoe upala awe anavaa kama lemutuz unafikiri ungempenda kama...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto...
24 Reactions
177 Replies
43K Views
Sawa na mada tajwa hapo juu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa sie wapenzi wa Ndomo,yawezekana itachukua muda mrefu sana kulisahau hili tamasha la fiesta 2014 maana limekuwa kama mkuki kuchoma kwenye kidonda,wakati mashabiki wake tukijua na kuamini...
4 Reactions
77 Replies
11K Views
Role Models ni moja kati ya vitu muhumi sana katika kuelekea kwenye Kutimiza ndoto au malengo Uliyojiwekea. Role Model ni Mtu ambae anaku'inspire na unamwangalia kama mfano kutokana na kile kitu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu tuongee kidogo tunajua fika dili za matangazo zina vigezo vingi mpaka kuzipata. Kigezo kimojawapo ni kuhusianisha product na balozi wa product. Mfano tunategemea dili ya mapishi au chakula...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina Khalifa raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba. Ndoa ya King Kiba...
3 Reactions
58 Replies
9K Views
HUWEZI KUSHINDANA NA WANADAMU 1. Ukiwa single watakuuliza, kwanini huna Girlfriend au Boyfriend? 2. Ukiwa na mchumba, watahoji mmekaa sana mtaoana lin? 3. Ukioa utasikia, mbona hamzai nyie?sisi...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Ngoma yako ya Taa Kali Sana braza, hongera kwa kurudi kivingine. Sometimes ngoma za mapenzi zinatuchosha Sana sisi mashabiki. Nyimbo Kama hii ya Taa inatupa nafasi nyingine ya kujinyenyekeza kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom