Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huu ni wimbo wangu mwingine uitwao sikia. usikilize hapa.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapenda Dj arafati kasepa zake kwa sir god Tangulia dj tutaonana kwa sir god Mchizi kapata ajali jana usiku kwenye boda boda baada ya kugongana na gal uso kwa macho Inasemekana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni suala la muda tu, hali si shwari sana kwa mwenendo wa hii lebo! Baada ya Mavoko kuondoka, tutegemee msanii mwingine kuondoka hivi karibuni! Inaonekana kuna watu ambao pengine hawana nia njema...
5 Reactions
43 Replies
7K Views
Assalam aleykum bandugu, Maisha yanaenda kasi sana. Vitu vinatokea ila hatuwezi kuzuia siku zisiendelee na maisha yasichukue nafasi yake! Basi hebu tuzungumzie muziki wetu kidogo hasa upande wa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Asalaam Alykuum wakubwa. Kumekuwa na kasumba moja kwenye kiwanda cha mziki wa bongo flava, kuwa pale inapotekea msanii akawa na spot light kubwa anaanza kupambanishwa na Diamond haijalishi huyo...
22 Reactions
79 Replies
11K Views
Napenda mziki mzuri na video nzuri.kwa ufupi Hawa jamaa(Diamond na Fally Ipupa)wanajua Sana kuimba na kutoa video kali Sana ila ya inama ni video mbaya Sana labda walikua wanaogopa...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Leo nimemsikiliza huyu jamaa. Huwa simpendi ila leo nimemwelewa na sidhani kama ni wa kutupiwa lawama juu ya hili bifu lake na Diamond.
40 Reactions
629 Replies
83K Views
Here are 12 beautiful celebrity interracial marriages that stare us in the face Prince Harry and Meghan Markle The most recent of all celebrity inter-racial marriages has to go to the Duke and...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu bwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa.. √ Uandishi ulioenda shule √Melody √Clean lyrics Everything top notch Sema music...
24 Reactions
89 Replies
11K Views
Mwaka 2018 ndio unaishia hivyo na kwenye kiwanda cha burudani haswa bongofleva tumeshuudia mengi yakukumbukwa. Kikubwa zaidi ni msanii Harmonize kufanya maajabu na singo yake KwaNgwaru, hakuna...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Akihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo. Uzi tayari.
12 Reactions
205 Replies
38K Views
Nadhani ingekuwa vyema kuwa wazalendo kidogo, katika moja wapo ya nyimbo zao wakawa wanachomeka neno Serengeti au hata Ngorongoro, itasaidia sana kiutalii wa ndani na wa nje...
0 Reactions
83 Replies
9K Views
Hii thread ni baada ya minong’ono ya Harmonize kuondoka WCB kuzidi kupamba moto , narudia tena ni baada ya Minong’ono maana mpaka sahizi hakuna official statement kutoka pande yeyote ile . Sasa...
9 Reactions
49 Replies
6K Views
Hawa Miamba sijapata kufahamu historia zao ila inshort nikuwa walikuwa wanajihusisha na mziki labda walikuwa maproducer, wanamuziki au hata mameneja wameacha legacy nyimbo ya zamani bila kusikia...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Msaada anayejua jina halisi la msanii Ravany ( Raymond wa kundi la WCB) Au short history ya huyu msanii.
0 Reactions
23 Replies
20K Views
tajiri ambae pia ni gavana wa Mombasa, Kenya ambae anaefahamika kwa jina la Joho kashutumiwa Mara kwa mara na watu wengi tofauti kuwa anahusika na uuzaji na usafirishaji wa madawa ya kulevya, hata...
1 Reactions
25 Replies
8K Views
Tunasikia habari mtaani kwamba Harmonize na menejimenti ya WCB Wasafi haziivi kwa sasa. Lisemwalo lipo na sisi tuliopembeni tukiunganisha matukio tunaona kabisa kuna kitu hakipo sawa japo wenyewe...
7 Reactions
42 Replies
10K Views
Although the Obamas are no longer in the White House, they are still the most admired people in America as well as across the planet. According to a recent survey conducted by YouGov, Barack...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom