Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wasalaam wanaJF, Msanii Diamond ambaye ukweli ulio wazi ni msanii nambari moja hapa Tanzania Msanii Diamond bado anapitia kwenye adhabu isiyo na kikomo ambayo amepewa na wamiliki wa EATV,efm na...
15 Reactions
124 Replies
16K Views
Niko hapa Dar kibiashara tangu Jumamosi (nimekuja kuuza vumbi la Kongo maana nimeona biashara ya majeneza peke yake ntakufa na njaa) Sasa jana nikiwa ndani ya bar moja mitaa ya Makumbusho mida ya...
3 Reactions
109 Replies
14K Views
Habari wadau, mie ni mshabiki muziki wa reggae,huyu mwanamuziki sifahamu taarifa zake mwenye uelewa nazo anijuze tafadhari.
3 Reactions
100 Replies
22K Views
Sosho media ni raha sana , bora ukose pesa ya kula kuliko bundle , bibie kaja na jibu murua, haongei sana , wambea kaz kwetu, limetushuka, mama G kashasema[emoji23][emoji23]
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Habari wadau na wapenda buradani. Unaelezea vipi kuhusu hiii chat ya iTunes~kenya kwa wasanii wetu Wawili.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale ambao wanapenda miziki ya slow aka rnb song Basi usiache kusikiliza this song na kijana wetu ameutendea haki wimbo ambayo ameshirikishwa na mkali mmoja kutoka ufaransa. Mstari wa diamond...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ha ha ha ha ha huyu bwana mdogo Nasibu Abdul aisee mwacheni kama alivyo kwenye sanaa hakuna wa kumlinganisha naye maana mwisho wa siku utatumia nguvu kubwa na kuumbuka mchana kweupeee. Unaambiwa...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Ikiwa ni siku chache zipite, toka kutambulishwa kwa muigizaji kinda kwenye kiwanda cha film nchini Nigeria , Regina Daniels kwa wake wenzie watano, Baba mzazi aibuka na kulaani kitendo cha Mzee...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Mmh jaman shoga yangu mie hakubalig kupitwa na Kiki , toka Jana kaona Kenya pananoga, full tanasha kupewa Kiki , shoga angu nae akaamua kufanya women conference Sijui na single mother mwenzei...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyie konokono wa bongo movie mkipata vibwana uchwara tu vinavyomiliki harrier basi mnajiona matajiri, mnaacha na kuigiza kabisa mnawekwa ndani mnakuwa ma house girl . Haya mwenzenu Regina...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Mimi ninasikia "embu tucheze rumba kidogooo" na kimziki kwi-kwikwiii-kwiikwiii. NB: Sina timu, sina bifu, sina wivu!
0 Reactions
14 Replies
3K Views
“ Wasanii wengi wa Kiume wa Tanzania hawana Nguvu za Kiume ndiyo maana wengi Wao wanatumia sana Dawa za Kulevya na hupenda pia Kufakamia hovyo Supu ya Pweza na kudanganyika kutumia Vumbi la Kongo...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ila domo hawezag kufanya enterview bila kumzungumzia Zari , hivi una akili timamu kweli ? Mtu umezaa nae watoto wawili, kutwa kumdhalilisha kwenye media , na wewe Zari Ndo ukome kuzaa na watoto wa...
16 Reactions
88 Replies
10K Views
Ni mtazamo wangu tu kuhusu hawa wanamuziki wakongo ambo mara nyingi niliona wakishindanishwa kuwa nani ni bora zaidi ya mwingine.Fere gora ana vocals kali sana na nyimbo zake nyingi zimewahi hits...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Aliyewahi kuwa Mnyange maarufu wa enzi hizo,Bi.Aminata Keita hivi sasa ninapoleta habari hizi anajifanyia chicken\Kitchen party yake mwenyewe maeneo ya K,nyama Mabatini,baadhi ya marafiki zake...
0 Reactions
47 Replies
15K Views
Imenisikitisha sana, kijana anajiita Bill Nas (Bill Nenga) Sijui hata jina lake halisi. Bila haya wala hiyana Katinga Kanzu na Hereni juu.. Nimeshindwa kumuelewa..!!
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Kwanza nikiri kuwa, Diamond ana fursa nyingi za wazi wazi ambazo ameziacha tu zipite. Kwa umaarufu aliojikusanyia hadi sasa katika bara zima, alipaswa kuwa na miradi mingi chini ya jina lake...
7 Reactions
33 Replies
7K Views
Pongezi kwa Ali Kiba kwa kuingia kwenye biashara,iwe ni ya ubalozi au umiliki cha msingi ni kujua umuhimu wa uwekezaji kwenye biashara. Nimeona watu wakianza kupotosha umma na kuanza kujikweza na...
4 Reactions
97 Replies
28K Views
Haijawai kutokea kwa maeneo yetu huku Msanii diamond platnumz alipotinga viwanja vya masumbwe ilikua nishida, hata kupumua sababu vumbi lililokuepo pale na ukichanganya na nyomi ya watu...
0 Reactions
141 Replies
20K Views
Aisee niaje wana Kuna chuma moja ya zee la kukomesha yaan country wize kijana flan mnyamwez wa mambele huko akiwa na mtani wangu kijana mmoja mchonga vinyago ambaye ana demu beberu imeachiwa huko...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…