Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hvi karibuni kwenye mitandao ya kijamii baadhi ya mastaa wameonekana wakimshauri wazi Wazi , msanii Diamond kurudi kwa mzazi mwenzie Zari , kwani wanawake wengi anaotoka nao bado hajawafikia hata...
4 Reactions
89 Replies
11K Views
Nalazimika kusema kati ya mataifa yote duniani, huenda 'waTz' ndio tukaongoza kuwa na watu wenye akili 'ndogo' ama labda tutumie 'hatujatukuka kifikra'.. Sababu za kusema hivi, ni uwezo wetu...
9 Reactions
28 Replies
3K Views
DIAMOND anazidi kudhihirisha kuwa anajificha nyuma ya wasanii wake baada ya kushindwa kutoka vizuri na wimbo mpya. Skendo iliopo mezani Diamond ameiba wimbo wa msanii chipukizi wa NAMIBIA anaitwa...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Wakubwa habarini. Ni muda sasa nimekuwa nikimfuatilia Konki liquid kupitia baadhi ya video clips zake Instagram. Ni MTU poa Sana anavoonekana na mwenye furaha.Umaarufu wake umechagizwa Sana na...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau salam. Mungu buana, mwache aitwe Mungu. Na akitaka kukupaisha atakupitisha njia ambazo hutoamini macho yako. Pierre katoka huyo, na kitendo cha Makonda kumponda ndo kimemtoa ile mbaya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wadau.. Mimi mshabiki wa sanaa nimeshangaa sana mvumo wa radi kutoka almost a month sasa ina views 2.5m na hapo hapo iyena imetoka 4 days ago ina 2.6m. Management ya king wanakosea wapi...
6 Reactions
81 Replies
12K Views
Kuna watu wanapenda bifu la Alikiba na Diamond liendelee kuwepo wakidai lina manufaa kiuchumi huu ni ujinga hakuna chuki zenye faida my brothers chukua mfano wa mastar wenzenu Tekno & Wizzy Kid...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Nilikuwa napitapita youtube mara nikakutana na audio ya wimbo wake inaitwa I DONT CARE...nimegundua huyu dada ana kipaji kikubwa sana kwa hii Afrika mashariki hata Afrika nzima Kwanza ana sauti...
19 Reactions
66 Replies
9K Views
Kama miaka kumi au kumi na tano nyuma kuliibuka nguvu ya mziki wa Mwambao ulikuwa muziki ulio kamata soko lake barabara. Wakati huo kulikuwa na wanamuziki kama Marehemu Omary Kopa, na wengineo, ni...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii...
7 Reactions
71 Replies
10K Views
Millard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960. Course hii inatolewa kwa International...
8 Reactions
38 Replies
8K Views
She has a good presenting skills, anayejua whereabouts zake atujuze sie wanajamvi kwasababu she is a celebrity...hlf hajasikika kwa skendo yoyote kama hawa celebrities wengine k.v Lulu, Meninah etc
0 Reactions
5 Replies
5K Views
By Yasin Ngitu on January 7, 2017 Uongozi wa label ya Millian Dollar Boys ‘MDB’ iliokuwa unamsimamia rapper Young Dee, amedai hawafanyi tena kazi na rapper huyo kwa madai rapper huyo hana...
4 Reactions
150 Replies
20K Views
Yasemwayo yapo! Ukiusikiliza kwa makini Wimbo wa Muziki wa mkali wa Hip Hop, Shariff Thabeet ‘Darassa’ kisha ulinganishe matukio na baadhi ya mistari katika nyimbo za Nasibu Abdul ‘Diamond...
7 Reactions
89 Replies
23K Views
Chicago,USA. Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly. Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa...
3 Reactions
91 Replies
12K Views
Mzee Abdul ambae ni baba mzazi wa Diamond na Queen Darlin baada ya kuachia ngoma ambayo kaipa jina la dudu la yuyu amesema wimbo huo kwa sasa unatrend sana na imepokewa vyema na mashabiki pamoja...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Diamond is currently on a tour of Europe, he has already performed in two cities in the UK. The singer’s performance in Birmingham was however rocked with violence. Diamond performed in...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
MSANII matawi ya juu katika tasnia ya filamu Bongo, Husna Mohamed Posh ‘Dotnata’ amefanya kufuru baada ya kutoa ‘burungutu’ kununua‘mkoko’ wa kifahari aina ya Hummer, Amani Jipya limeinyaka...
0 Reactions
67 Replies
17K Views
Ashukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose...
8 Reactions
101 Replies
12K Views
Back
Top Bottom