Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Samatta analipwa kwa Siku Milioni 21 Tsh Wiki: Milioni 153 Tsh Mwezi: Milioni 610 Tsh Mwaka: Bilioni 8 Tsh Sijui Diamond kipato chake, Ila ningependa kujua nani zaidi? Sent using Jamii Forums...
3 Reactions
44 Replies
42K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda, ameibua hisia kali mitandaoni baada ya ku-share ujumbe wa kusikitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram. Kupitia posti hiyo, Nuh alieleza machungu...
17 Reactions
169 Replies
6K Views
Wakuu, Nilikuwa napitia pitia huko mitandaoni nimeona performance ya Marioo kwenye tuzo za Trace imepandisha sukari Watanzania. Wengi wamemsifa Bien kuwa ameimba vizuri lakini huyu Marioo...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Ukiongelea kijana mwenye magari makali bongo wengi watakuambia Diamond ila wachache sana hawajui mondi hayupo hata kwenye top 100 ya vijana wakali wa town kwa mandinga makali. Huyu hapa ni...
15 Reactions
420 Replies
73K Views
Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi. NB: Je atarudia FANTASY ya Zamani kama Shishi? Source: Wolper mwenyewe BCC: kataa ndoa
17 Reactions
295 Replies
14K Views
Wanabodi, Tunaposherehekea siku ya wanawake duniani ambayo ndio leo, sio vibaya tukiwakumbuka na Tanzanians Top Women Celebrities ambao kwa namna moja au nyingine, wameling'arisha jina la...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Andrew Tate ni kati ya watu wanatajwa sana kwa hivi sasa, bila shaka. Ikiwa hii ni mara yako ya kwanza kusikia kuhusu jamaa huyo, fuatilia hapa. Mtumiaji huyu wa mitandao ya kijamii aliye na...
12 Reactions
52 Replies
9K Views
Huyu mkaka ni nani hapa mjini anafanya mishe gani maana huwa namuona akila bata kila mahala dunia mara Marekani mara ulaya mara Dubai mara anaendesha magari ya gharama sana Anafanya mishe gani...
4 Reactions
161 Replies
62K Views
Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka. Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu? Au Cosmos Chidumule? Au...
4 Reactions
49 Replies
1K Views
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa. Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu...
21 Reactions
186 Replies
12K Views
Wanazengo mnamtambua mrembo hapo pichani. Naona anatrend sana mitandaoni ikiewemo IG kiufupi anaonekana kuwa level moja na sanchoka kwenye maswala yalee. Inasemekana anatoka Iringa. Kwa mwenye...
6 Reactions
187 Replies
39K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja...
1 Reactions
3 Replies
637 Views
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, amemuomba msamaha Diamond Platnumz kwa tofauti zilizowahi kutokea kati yao. Kupitia Insta Story yake, Harmonize ameandika kuwa anatumia mwezi mtukufu wa Ramadhani...
12 Reactions
45 Replies
2K Views
Baada ya kufanya mahojiano na mwandishi mmoja alidai kwamba @alikiba hawezi kumfikia msanii wa Kenya Bienaimesol kwa uimbaji maana Alikiba anabana sana pua akiwa anaimba live. Alisema; ""Nani...
12 Reactions
151 Replies
6K Views
Habarini, Wahenga mtakumbuka Reginald Mengi na Rostam aziz waligombana hadi kufikia hatua ya kuitana mafisadi papa kwenye vyombo vya habari Kwenye msiba wa Reginald Mengi nafikiri Rostam Aziz...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua. Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi...
35 Reactions
199 Replies
20K Views
Kwemaaaaaaaaa... Sauti ni kubwa japo nina swaumu Kwa wapenzi wa hip hop, upande wa freestyles nadhani wengi wenu jina la Cado Kitengo, Cado nondo, Mzee wa Midamu au Mzee wa AYEEEEEE... nadhani...
0 Reactions
5 Replies
260 Views
Kwa kifupi harmonize ana muonekano wa kishamba sana yani hata afanyeje hawezi kubadilika hata mambo anayoyafanya ni kishamba sana yani ni ya ajabu mpaka anajiaibisha kila kukicha. Hata akipiga...
8 Reactions
27 Replies
4K Views
  • Redirect
Alikiba akerwa na Master J baada ya kukerwa na kuchoshwa na tabia ya Master J kujifanya anafahamu sana muziki kwa kuwasengenya wasanii wa Tz Alikiba alikereka na kauli ya Master J iliyoruka...
0 Reactions
Replies
Views
Cheki mwenyewe akiongea mbele ya Rais Lazarus Chakwera https://www.facebook.com/share/v/1BFDLjgATo/ Kwa msiomfahamu Namadingo mchekini hapa kaimba na Mzee Chalamanda...
2 Reactions
2 Replies
355 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…