KATIKA kila jambo au kazi kuna kuzidiana na kila mtu duniani ana wakati wake wa kuwa juu na kuonekana anafanya vizuri na kuna wakati wa kuonekana wa kawaida na mwisho unakuwa chini kabisa. Vivyo...
Wakuu habari zenu!
Kuna wimbo mmoja R.Kelly ameutoa unaitwa 'I Admit humo ndani anajutia aliyoyafanya na kujaribu kueleza dunia ukweli wa kile kinachoendelea juu yake.
Ningependa kuwaasa wasanii...
Wakuu wanajamvi, naomba leo kila mmoja wetu ataje mtu mmoja anayekoga moyo wake kwa kile anachoona anakifanya kwa jamii,hususani kusaidia wasiojiweza au kusaidia elimu au kuburudisha au chochote...
Kwanini wakuu wa mikoa wanaosikika ni
1. Ally Hepi
2. A grey Mwanri
3. Makonda
Wengine mbona hatuwasikii? Kwa mfano mkuu wa mkoa wa Tanga au Pwani. Kuna anae wajua?
wadau poleni na shughuli za kutwa nzima. Jamani natafuta filamu ya ki nigeria inaitwa FOR BETTER AND FOR WORSE. Filamu hii imechezwa na emeka ike na genniviv naj, pamoja na yule mzee...
Huyu Dada kaanza kwenye bongo movie akagundua hailipi.,kapambana sana akaanza mziki na amefanikiwa sana.
Kikwazo chake kilikuwa nuh mziwanda,akapata washauri wazuri akaachana,nae.
Sasa hivi yuko...
Msanii maarufu wa muziki wa Hip Hop Golden Mbunda maarufu Godzilla baada ya kufariki ndipo wengi watamfahamu na kutaja sifa zake.
Ni tabia ya 'kipuuzi' iliyozoeleka Mara mtu anapofariki ndipo...
Kila msanii anaenda Kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya Nandy akiwa amevaa kofia yenye jina la Gavana wa Mombasa bwana Joho.
Je, ina maana wapo kwa mahusiano? Hivi Joho si anaye mpenzi...
Leo acha niseme ukweli wakuu,watu wanapenda kutompa mtu sifa zake mpaka afe.
Toka kizazi cha kina Lwambo mpaka sasa kina ferre na fally hakuna msanii wa kumlinganisha na koffi kimuziki apo...
Msanii Afande Sele ameichana serikali kwa kuwaambia waruhusu bangi na waache kuingiza madawa ya kulevya kwa sbabu yanaua,amesema bora serikali ipitishe bangi watakuwa wanalipa .Amesema...
Kundi la Muziki apa bongo speaking of Navy kenzo linaloundwa na wapenzi wawili,Emmanuel Mkono"Nahreel" na Aika Maleale, "Aika",
Dakika chache zilizopita wameachia Video yao mpya Inayoitwa Roll...
Hivi jamani inakuwaje Marekani black wengi wakifanikiwa lazina wapewe Kesi za Kubaka?? Kama ni hela mbona whites pia wana hela lakini hawapewi hizo kesi?? Alafu mpaka documentary za kuwachafua...
Mimi hata sielewi na mimeno ya Domo inaoza kadiri siku zinavuozidi kwenda mbele. Why happened to this https://jamii.app/JFUserGuide.... Guy? Au laana ya baba yake?
Jamaa amekuwa inspirational kwa rika tofauti,mjasiriamali mwenye mafanikio ila historia ya elimu yake ya kushangaza sana alifeli darasa la saba mara mbili na hajasoma secondari kabisa ila ni...
Wasalaam wana jamvi?
Nimeona leo niulize utoafauti kati ya steve na Wakazi kwenye sanaa hasa mafanikio ni upi?
Binafsi naona wote wamekaa ki uhanaharakati sana kuliko kazi zao za sanaa...
Mfano...
Tokea mwaka Jana kumekuwepo na uvumini pamoja matanhazo mbalimbali kwenye vyombo vya habari mengi yakitolewa na Diamond mwenyewe kuwa anatarajia kuguna ndoa na mpenzi wake Mwanadada mrembo Tanasha...
Naizungumzia movie ambayo iliwahi ku make headline karibia ulimwenguni kote miaka hiyo,inaitwa TITANIC,pamoja na mwanamuziki mkongwe wa marekani CELINE DION,ambaye nyimbo yake ya MY HEART WILL GO...
1. Christopher Wallace (Big Small)
Alikuwa ni mwanamuziki maarufu wa miondoko ya Rap nchini Marekani. Ni takriban miaka 20 tangu auawe lakini mpaka sasa bado kifo chake kimebaki kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.