Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Romy Jones au ukipenda muite Jordan , ni muigizaji wa kiume anayekuja kwa kasi sana hapa nchini mpaka kuwa tishio kwa waigizaji wakongwe. Romy anajua sana kuuvaa uhusika sana sana scene za...
1 Reactions
61 Replies
14K Views
Dooh , jaman kumbe ndio maana kila anayekua nae anaishia kule, mmh jaman nyie mastaa kutwa kwa waganga kutafuta nyota na umaarufu muwe mnafikiria na fyucha zenu jaman, ndio umaarufu mtamu , Ila...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
afandeseleking Nukuuu kutoka kwa Afande sele "Kitu ambacho ni cha ukweli na cha msingi zaidi kuhusu hawa mapunga ambacho chafff yangu Konky master alisahau kuklsema ni kuwa kati ya hao mashoga wa...
13 Reactions
125 Replies
29K Views
Wasalaam wana jamvi.. Kila mtanzania anajua fika kabisa kuwa hakuna mawasiliano mazuri kati ya Baba Diamond na wanae wakina Diamond na Queen Doreen na hakuna anayejua kilichotokea hadi wakafikia...
5 Reactions
29 Replies
5K Views
Kuna mwana bongo flava mmoja aliimba wimbo wa Nikizipata" msanii anaitwa Illuka. Daaaaah wa kitambo sana mwenye detail zake anipe kidogo namkubali sana huyu jamaa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dah, we Snura mbaya wewe ujue, ndio nini kutuchamba vile eti hatuna kazi za kufanya ndio maana tumekuzushia kuwa umejifungua mtoto kwa siri wakati sio kweli, Leo imekuwaje tena umekiri kuwa...
5 Reactions
129 Replies
27K Views
Habari wanajamvi? Wale wadada watanashati wapenda fashoni ambao kila fashoni ikitoka hawataki iwakose, hii hapa imetoka kwa ajili yenu. cc Numbisa Cassie
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Bodi ya Filamu Hapa Nchini Imetangaza Rasmi Kumfungulia Star wa Filamu Hapa Nchini Wema Sepetu Sehemu ya Adhabu Ambayo Walimpatia Kutokana na Video Yake Kusambaa Kwenye Mitandao ya Kijamii...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
February 18, 2019 Dar es Salaam, Tanzania Katika tasnia ya muziki Tanzania haina utamaduni wa kuwatambua waandishi / watunzi / waandaji / producer wa nyimbo kama ilivyo USA / Ulaya mfano...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari, Ntaenda moja kwa moja kwenye point Kitu ambacho kinanishangaza sana, ni kuwa sijawahi ona Mheshimiwa Makonda, Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ktk Jiji la Dar es salaam...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Xtra Xtra Large(XXL) ya Clouds FM ikiongozwa na Bdozen akiwa na Adam Mchomvu,Kenedy the Remedy,Perfect Crispin,Mamy Baby na DJ Scrath Designer,,Wameamua kuipa ngoma ya Marehem Godzilla...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kusema ukweli huyu mtangazaji wa kipindi cha tatu mzuka huyu bint ni mzuri sana . Nasema bint maana mara nyingi namsikia akijitangaza kwa baadhi ya washiriki wanaoingia kwenye droo ya kubahatisha...
1 Reactions
113 Replies
24K Views
Katika mahusiano yaliyodumu kwenye maisha ya Pdd, wanasema yalikuwa ya Jennifer Lopez na Huyu wa sasa Msanii Cassie. Picha Hizi ni za party moja waliokuwa pamoja Pdd Na Cassie na zinaonyesha...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Mwili wa aliyekuwa rapa maarufu Bongo, Golden Mbunda "Godzilla" umewasili nyumbani kwao Salasala na kupelekwa kanisani kwa ajili ya ibada ambapo baadaye utaagwa na kuzikwa katika makaburi ya...
5 Reactions
40 Replies
13K Views
Pichani juu ni Mtanzania wa kwanza kuwepo katika ukurasa wa mbele wa Jarida maarufu la Playboy la nchini Marekani ambapo amelipwa kitita kikubwa mno. Jarida hilo limewatoa mastaa kibao wakiwemo...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Big Brother Africa Winner, Beautiful Dillish Mathews got married to her beau, today in Namibia......but it looks like Melvin Oduah was the only big brother contestant in attendance.
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Utakubaliana nami kuwa kuna wasanii ambao wameutoa mziki sehemu na kuupeleka sehemu hapa bongo lakin hawana heshima wanayostahili.. Mziki umekataa kabisa kuwatendea haki.. Mimi naanza na hawa...
4 Reactions
84 Replies
12K Views
The women of Kardashian family are not fond of wasting time at all. On the same day Khloe Kardashian filed for divorce, after 4 years of marriage with Lamar Odom, an American professional...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tazama katika fun page zao uone Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Nandy: Baraza la Wasanii TZ limenifunza vitu vingi kama vile sheria Nandy: You can do anything, kila kitu kinawezekana kama una focus Nandy: Governor wa Mombasa Hassan Joho ana support sana...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom