nimeyatoa katika kitabu chake'from streets to the parliament'muziki na maisha.
1.amepata elimu katika mikoa ya arusha,dar.mbeya na mtwara
2.alipokuwa mdogo alipenda awe padri ikiwezekana awe...
Kama unawafuatilia vijana wa WCB hasa diamond na harmonize wameadvance walinzi wao wanatembea na head4n.
Pia kama wanaenda sehemu lazima wao watangulie na wanakifaa cha kupima km kuna bomu...
Ehee ndio hivyo jinsi watu wanavyokukimbia wakati wa kuumwa ndivyo jinsi watakavyokuja kwa wingi kukuchangia hela ya jeneza na sanda na wakaweka pombe na vyakula vya anasa msibani mwako
Ndio...
2pac-Above the rim, 2pac-Juicy, Tyrese-Baby boy, Method Man-How high, Leonardo de Caprio-Blood diamond, hotel Rwanda, Colombiana, N.Hale high school pamoja na Lost.
They are both smart, classic, intelligent, talented, educated and they both have natural beauty.
Frankly speaking those chicks are cute but there is something ambacho mmoja kamzidi mwenzie je...
Cadet performs in London in 2015. Photograph: C Brandon/Redferns
Cadet, the British rapper, has died in a car accident on the way to a concert, his family said in a statement.
Otherwise known as...
Tunaambiwa , baada ya muigizaji lulu Michael aka lulu , kumaliza diploma aliyokua anasomea, sasa hvi amejiunga kwenye chuo cha IFM akichukua degree . Safi sana lulu , beauty with brain , Mungu...
Nakumbuka muziki wa kizazi kipya wa nyumbani hapa Tanzania.. around miaka ya 99 mpk 2000 na kenda... Ilikuwa ukiskia muziki unahit, basi ni kwa sababu una story.. Yaani style ya uandishi na hata...
Huyu ndugu yetu Omary Nyembo baada ya kutoka katika 'UguaUgua' ya kansa ya koo hatimaye ameachia dude linaloitwa "Ni Wewe".
Ni wimbo mzuri, ameuimba kwa hisia na huzuni sana, ambapo kwa mtu...
Nimejifunza mazoezi na kupangilia vyakula vinasaidia mwili kuto nenepa hovyo,Mary j Blige atatokea kwenye jarida la shape mwezi ujao wa kumi na mbili,wale wapenzi wa magazine mtamuona
Nimemcheki Jamaa katika Instagram na katika Sites zingine. Nimefurahi kwa sababu ni moja ya Ma-MC wa HipHop ninaowakubali zaidi, amezidi kumaintain U-hardcore licha ya kuwa soko la sasa la...
WASANII wa fani tofauti na waandishi wa habari Alhamisi wiki hii watafanya ziara kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa SGR unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Reli...
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba baba wa kambo wa Diamond Platnumz Mr Shamte anatarajia kupata mtoto kutoka kwa mchepuko wake mbali na bi Sandra.
Ila ndio hivyo Bi Sandra haoni wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.