Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huenda ukadhania kwamba rais wa Ufilipino Rodrigo Durtete na mwenzake wa Korea Kaskazini Kim Jong Un walikuwa pamoja katika barabara za mji wa Hong Kong, wakipiga picha na kula pamoja chakula cha...
3 Reactions
28 Replies
6K Views
Baada ya Mange Kimambi kumtukana Maimartha ,Mai na yeye amejibu mashambulizi kwa kumtupia dongo Mange. Mai ameandika "I'm living my best life in Dar as salaam" akimaanisha kwamba Mange Kimambi...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Daktari wa Ommy Dimpoz amesema koo la Ommy Dimpoz bado linaendelea kutoa usaha tofauti na ilivyotegemewa. Siku ya leo Ommy Dimpoz alikwenda hospitali kwa ajili ya kutoa mrija aliowekewa lakini...
5 Reactions
80 Replies
14K Views
Mwili wa msanii mkongwe wa filamu, Salome Nonge maarufu kama Mama Abdul, umeagwa leo katika kanisa la Mtakatifu Tomath Mburahati jijini Dar es Salaam. Baada ya kuagwa mwili huo utapelekwa katika...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Picha za mrembo anayezidi kupasua anga na kutuwakilisha Tanzania kwenye medani ya fashion, MILLEN MAGESE zimenaswa ambazo zimekuwa zikionyesha maumbile yake vilivyo na kuwatoa udenda wanaume wengi...
3 Reactions
53 Replies
16K Views
Sid Grossman/ Schomburg Center A man that looks remarkably like Jay-Z in a photograph taken in Harlem in 1933. The photo was released by the New York Public Library's Schomburg Center...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
kwa wale wapenzi wa miondoko ya kufoka foka, Mtu mzima Jiga aka Hova amerudi tena na album mpya Magna Carter Holly Grail, tayari nna nakala yangu ndio nimeanza kusikiliza wimbo baada ya wimbo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Age is nothing but a number to Mariah Carey, 43, and Nick Cannon, 32, who haven’t let their 10-year age difference get in the way of their relationship. The celeb couple celebrate their fifth...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Like if you think Diamond is overrated and comment if you think not and why, Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Msanii wa maigizo ambaye amejikita katika uchekeshaji Ahmad Juma maarufu kama Mtambo amefunguka juu ya tabia yake ya kujiita Man himself. Msanii huyo ambaye hupatikana kupitia channel ya YouTube...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema ameagiza mwanamuziki Harmonize achunguzwe baada ya kuonekana akivuta kitu kinachotoa moshi na iwapo itathibitika kuwa bangi...
1 Reactions
64 Replies
16K Views
NI majanga! Inaelezwa kuwa ndege iliyopotea na straika matata Emiliano Sala inawezekana isipatikane tena baada ya kuzama ndani ya maji kwenye bonde lenye urefu wa futi 600. Bonde hilo lililopo...
3 Reactions
15 Replies
9K Views
About a month ago, it was reported that parents-to-be Kim and Kanye plunked down $11 million for a 10,000-square-foot Bel Air mansion. Now it's being reported that the new Italian style home has...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
No MTO, it's more like less than one dollar a day.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rapper Cam'ron and model JuJu got engaged last year after dating off and on since 2006. Earlier today, Camron posted a photo of the two having sex in their tub on his Instagram page... If you're...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
American rapper Rick Ross smashed his Rolls-Royce into an apartment building in Ft. Lauderdale, Florida early this morning while attempting to flee from a drive-by shooting. TMZ is reporting he...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
In her recent interview with Vogue, Beyonce admits she doesn't read comment sections on websites to avoid getting her feelings hurt... From Vogue Magazine Beyoncé cannot insulate herself from...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Amber Rose opens up about her past relationship with Kanye West and reveals if she wants to marry her new boyfriend Wiz Khalifa. Plus, find out if anything ever happened between Amber and Kim K's...
3 Reactions
20 Replies
5K Views
Yeah, It's sunday late night, zinapigwa ngoma za old skool hatari sana! Dj gani anapiga right now? Why no jingle tujue who is driving crazy all Dar streets with mad old skool mixing! He is...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom