Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Diamond Platnumz alipokutana na Cloutas Chama na Kenedy Musonda katika uwanja wa ndege Julius Nyerere International Airport, ilikuwa ni tukio la kufurahisha, hususan kwa mashabiki wa soka na...
1 Reactions
1 Replies
802 Views
Msanii wa bongo Billnas amemvisha Pete ya Uchumba Nandy live ndani E tv Billnas amemvisha Pete ya Uchumba Nandy ikiwa sehemu ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kesho tarehe 11/4.
3 Reactions
97 Replies
18K Views
John Amos, aliyekuwa nyota wa filamu nchini Marekani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84. Amos ameaga dunia tarehe 21 Agosti huko Los Angeles. Msemaji wa Amos, Belinda Foster...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
KAMA UNACHEZA NA MUNGUU NDUGU HIZI NDIZO ADHABU ZAKO KIFUPI NI ALBADILI YA KIKRISTO Bwana asifiwe...... nakupa kwa uchache tu mistari ya Zaburi 109 kila anayepita njia yako anakutesa... usimjibu...
1 Reactions
9 Replies
545 Views
Jana Zuchi alirushiwa chupa na mawe jukwaani baada ya kusifia kizimkazi na kusema mitano tena Wasanii jifunze ulienda jukwaani Simba achana na siasa Kila mtu ana hisia tofauti kwenye siasa...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu...
33 Reactions
387 Replies
70K Views
Annie Kilner ambaye ni mke wa beki wa kulia wa Manchester City, Kyle Walker anadai fidia ya pauni milioni 15 sawa na Bilioni 54,428,016,000 kwa pesa za Tanzania kama fidia ya yeye kukubali...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Wasalaam, Napenda kuchukua fursa hii kuwalaani wasanii wote wakiongozwa na rais wao stev Nyerere ambae hajamaliza hata darsa la saba kutumika kisiasa na cha chama cha mapinduzi kupotosha umma wa...
1 Reactions
10 Replies
574 Views
Muziki wa sasa ni wa ushindani mkali, uadui, Vita na kila aina ya uovu ubaya na kadhalika, sio ajabu tukaona maadui wa Diamond kwa sasa wamepata chochoro la haja la kujaribu kumshusha kisanii...
13 Reactions
101 Replies
4K Views
Nmeona mdada anahojiwa crown media Jana anaitwa MALKIA cute je ANAFANYA KAZI Gani hapa mjini Hadi kuwa celeb kiasi Cha kuhojiwa redioni? Mbona mda wote anajigeuza tuone makalio. Mbona media za...
12 Reactions
27 Replies
2K Views
Take a break, na tujikumbushe enzi zile za RTD, ambapo kulikuwa hakuna FMs rado kama sasa. Hakika kulikuwa na watangazaji, vipindi bomba na hata nyimbo za kutambulisha vipindi zilikuwa makini...
14 Reactions
2K Replies
429K Views
KADA maarufu wa CCM mwenye views zaidi ya bilion 2.6 na Wafuasi million 9.2 Kwenye Mtandao wa You tube anasherehekea Siku ya Kuzaliwa kwake Gazeti la Mwananchi
2 Reactions
7 Replies
370 Views
Watu hawaelewi kwamba kinachotokea sasa kwa Pdidy n nguvu ya Deep state na Illuminate. Wanakupa nguvu then wanachukua kukuonesha ukizingua tunachukua. Walianza na R kelly. Saizi wako na Pdidy...
12 Reactions
35 Replies
4K Views
Katika pita pita zangu nikaambiwa huo ndo mjengo wa shujaa wa football TZ a.k.a Mbwana Samatha. Lakini jamaa anakipiga tu huko Belgium hana hata sifa za kukirusha kitu chake kipya baada ya...
18 Reactions
88 Replies
19K Views
Kikwete alipopolewa akiwa ziarani akitokea Chunya. Kuna safari alizuiwa barabarani Uyole. Magufuli alizomewa uwanja wa Sokoine hadi akashindwa kuhitubia. Kwa ufupi CCM haikubaliki Mbeya, na...
3 Reactions
7 Replies
305 Views
Kwa mtazamo wangu hivi ni vitu navyoamini vinawekwa siri lakini vipo. Kala Pina alikuwa anamgwaya Dudu baya Mr Nice hakufulia kabisa, Bado pesa anazo si haba za kustaafia muziki Nusu ya wasanii...
1 Reactions
9 Replies
704 Views
Ukiachana na hizo ng'ombe 30 pia niko tayari kuongeza ng'ombe nyingine 50 kama mahari. Ndoa yangu mimi na mtangazaji Margareth Geddy itakuwa ya jadi na wazee wangu kijijini wamedai wako tayari...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
1. Zali la mentali – Profesa Jay ft Juma Nature 2. Starehe – Ferouz ft Profesa Jay 3. Latifa – MB Dogg 4. Bongo Dar es Salaam – Profesa Jay ft. Lady Jaydee 5. Darubini kali – Afande Sele ft Ditto...
12 Reactions
63 Replies
9K Views
Msanii Godzilla anapitia kipindi kigumu sana baada ya kuachana na mpenzi wake Doreen. Kwa sasa Zilla amekuwa haeleweki anaongea nini na muda mwingi amekuwa anaongea mwenyewe na au kujifungia...
4 Reactions
288 Replies
60K Views
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali...
37 Reactions
884 Replies
39K Views
Back
Top Bottom