Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu! Nimefikiria kitu kuhusu huyu jamaa, katika tasnia ya mziki hapa Tanzania! Huyu jamaa yupo vizuri, ukisikiliza nyimbo zake kuna tungo nzuri kwa lugha yetu ya kiswahili fasaha...
22 Reactions
142 Replies
23K Views
Baada ya tuhuma nzito ya kutelekeza mtoto Munah Love ameamua kumfuata Mwanae BRYAN akiwa ameambatana na Masanja! Hii imekuja baada ya mwanadada huyo kushambuliwa na mashabiki zake kuwa...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Simba au dangote wa miaka mitatu iliyopita sio huyu wa sasa nadiriki kusema kageuka paka sio simba tena. Simba wa zamani ilikuwa ni ngumu kumkuta bongo ratiba yake ilikuwa booked almost the whole...
3 Reactions
100 Replies
14K Views
Bondia Floyd Joy Money Mayweather amethibitisha kurudi ulingoni desemba mwaka huu kuzichapa kwa mara ya pili na Manny Pacquiao. Katika pambano la mara ya kwanza Floyd aliibuka mshindi kwa...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Jamani naomba kuuliza, kuna yule jamaa aliyekua ni mtangazaji wa Redio 1 kipindi cha nyuma kwa jina Misanya Bingi hivi kaendaga wapi? kuna mtu anataarifa zake nikazipata? Asanteni.
1 Reactions
110 Replies
32K Views
Asubuhi unasema "...hilo lilitarajiwa " kuhusu ushindi wa CCM. Sidhani kama maadili yako ya kazi yanakuruhusu kuonyesha unazi hadharani kwenye media yenye diversity of audience. Rejea maadili...
5 Reactions
41 Replies
6K Views
Msanii aliyekuwepo kundi la wakali kwanza aliyekuwa anafahamika kwa jina la QJay ameingia kwenye wimbi la madawa y kulevya. Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya. Uteja...
4 Reactions
68 Replies
12K Views
Yu wapi mtu huyu? Au ndio wale walivuma ....??!!
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakati Diamond alivokuwa anatoka kimziki alikuwa ana uhitaji wa dancers lakini nyimbo zake za siku hizi hahitaji tena dancers mfano nyimbo alizotoa hivi karibuni, dah wanahuzunisha kweli ata trip...
5 Reactions
163 Replies
21K Views
Mpoki ni mchekeshaji mzuri na kwa kweli ana kipaji au karama ya kazi hiyo. Ametuchekesha na kuyuelimisha muda mrefu na jina lake lilivuma zaidi wakiwa original comedy pale EA Radio na kubwa lao...
12 Reactions
74 Replies
13K Views
MREMBO wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ametoa kali ya aina yake kuwa, katika maisha ya uhusiano, anafurahia kuwa na mwanaume ambaye atampa kipigo kidogo pale anapokosea. Mwanadada huyo...
7 Reactions
150 Replies
13K Views
Wnajamvi mada hapo juu yakukumbusha kama sio mdogo sana kiumri. ITV na Radio One walikuwa na WATANGAZAJI hapo juu. Sijui wapo wapi hivi sasa na wanafanya mini? Mwenye kujua tushirikishane...
2 Reactions
77 Replies
16K Views
Kazi kweli mjini hapa zimevuja voice notes za Hamisa akiongea na mganga amroge Diamond na wazazi wake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila kwa akili yangu fupi sauti sio kabisaa ya...
20 Reactions
537 Replies
56K Views
Habari wakuu, Mi mgeni humu naomba nizungumze kitu..... First naomba niweke wazi kuwa huyu jamaa hajawahi kunichekesha hata siku moja. Nilitabasamu kiduuuuuchu ile clip ya remy ongala...
1 Reactions
93 Replies
13K Views
Kwanza sijajua hili kundi lipo au limekufa na kama limekufa ni sababu gani zimeliuwa kundi hili lililojizolea umaarufu mkubwa nchini tanzania Kingine ni maisha ya wale comedian wengine wako wapi...
22 Reactions
277 Replies
72K Views
Aslay amefanya vizuri mwaka huu ndio maana ukisikiliza muziki wake mzuri kwenye YouTube utanielewa. Aslay yupo na sauti nzuri ya kuimba kama ya king kiba. Ukilinganisha na wasanii wafutao Jux...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Huyu mtu muhimu sana kwenye siasa za ukombozi wa nchi hii leo anatimiza miaka kadhaa tangu azaliwe , kiukweli nitakuwa mchoyo wa fadhila nikishindwa kumpongeza shujaa huyu wa Taifa , ambaye...
15 Reactions
55 Replies
5K Views
Huyu jamaa anaitwa Madebe Lidai au ukipenda muite nabii mswahili. Jamaa amejizolea umaarufu kwa aina ya uigizaji wake kwa kutumia vijimisemo vyake vya kiswahili swahili na ameigiza filamu nyingi...
4 Reactions
103 Replies
24K Views
Tulitegemea mabadiliko makubwa but mambo ni yale yale Hapa chini ni gari lilitolewa na Diamond karanga
4 Reactions
261 Replies
39K Views
Katika maisha kuna hatua nyingi sana sisi binadamu tunapitia na kila mmoja ana namna au mbinu yake katika kuyafikia mafanikio. Kwa mukhutadha huo nakwenda moja kwa moja kwenye mada hasa hii fani...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Back
Top Bottom