Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ni Marc Dizzo,mchizi w da Skendo miaka ile ya 2000s,jamaa alikuwa anajua sana sema na yeye ndo dizaini ya Kina Jay Mo wakali sana ila nyota hawana.. Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo"...
2 Reactions
36 Replies
12K Views
Tusaidiane, nani mkali zaidi hapo, tuangalie vigezo viwili tu.. sauti na mashairi.. Karibun
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Wadau huu mwaka tutashuhudia positive music battle kati ya Fiesta na WasafiFestival kwa upande wangu hii battle naichukulia positive kwa ukuaji wa muziki wetu kwa sababu kama mtoto wa juzi diamond...
8 Reactions
46 Replies
6K Views
Muimbaji Shilole amezungumza na Ayo TV pamoja na millardayo.com ambapo amesema kuwa anatamani sana siku moja kuteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Igunga mahali ambapo ndipo alipotokea, Shishi amesema...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za Bongo wa Fleva leo hii amewaka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. Amethibitisha hayo katika post zake za instagram. Wambea hatuna...
4 Reactions
129 Replies
18K Views
kila Siku anatoa hit song duh BACK 2 BACK
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Ameyasema hayo wakati akihojiwa na EATV. Kasema kila shindano alikuwa anashinda, na siri ya Ushindi ni Maomba ya Baba mchungaji wake wa Kiroho. "Mimi naishi magotini mwa bwana". Baada ya...
4 Reactions
61 Replies
11K Views
Msanii wa kibongo anayechipukia aitwae Davista, ameomba kwa mtu yeyte mwenye connection na msanii Tekno aweze kumfanyia mchakato akutane nae kwa maana anaamini kutokana na kufanana kwao kwa kiasi...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Binafsi naiheshimu sana sanaa kwani ni ubunifu ambao mtu anajigundua nao kisha anautumia kwa kujitafutia ridhiki huyu mchekeshaji maarufu kama MC pili pili nimemuona kwenye video moja inayozunguka...
7 Reactions
53 Replies
10K Views
Msanii yupi ambae kwa sasa hivi anafanya vizuri sana kwa katika kazi zake za muziki mwaka huu ni nani ?
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Msanii diamond platnumz ni moja ya wasanii wenye mafanikio sana katika medani ya muziki Tanzania na Afrika kiujumla... safari yake kimziki ilianza miaka tisa iliyopita (2009) baada ya kutoa wimbo...
17 Reactions
66 Replies
15K Views
Habari. Jana nimesikiliza kipindi cha Ala za Roho ambacho kinaendeshwa na Diva wa Clouds FM. Pamoja na yote aliyoyandaa lakini nilijiuliza sana kwa kile anachokiita Diva Charity kwa maana ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wadau bila kupepesa , huu mwaka harmonize ndiye kafanya kazi zilizotrend, ukipita mikoani unagundua harmonize ana fanbase almost sawa na diamond, inawezekana ndiye mrithi wa diamond,
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Yamoto band ni kundi lililotikisa sana miaka michache ya nyuma hapa bongo... liliundwa na vijana machachari wenye mashairi pendwa kwa rika zote. Baada ya hilo kundi kuvunjika kila msanii alianza...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Woyoooo niaje?! Nigerians once again wametisher movie ya Kwanzaa Africa kuingia Netflix imetokea Nigeria inaitwa Lion Heart Jamaica Bongo Movie tutaingia Netflix lini? ! Roho inaniumaje? ! wapi...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Yule Mkongwe na gwiji wa freva za bongo za ukweli inspector haron yu wapi?
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Hio Mibangi unayokula ni sistimu za kulanduka Kama sio fani yako kwakeli utaumbukaaa
3 Reactions
79 Replies
10K Views
Kuna mambo nayasikia Sana kuhusu mateja wanaokula unga.kwamba Hawa mateja waliochoka wachafu wanakula unga mchafu.Lakini wapo wenye hela zao wengi tu wanakula unga. Research yangu fupi nikaifanya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom