Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Asley kaimba - Angekuona, Likizo, Mhudumu,Baby, Nibebe,Natamba, Pusha, nyaku nyaku. Totoa, Harmonize - Aiyola, Bado, Niambie, Sina, Kwangwaru, Atarudi, DM chick, Happy birthday, Matatizo Hawa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
He is boy from KIGOMA . Kwasasa anafanya vzr nakibao kinachojulikana kwa jina mboni yangu
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna kijana maarufu sana enzi hizo aliwika miaka ya 90, kama sikosei alikuwa anajishughulisha na udhamini wa mpira wa miguu na pia alikuwa na timu yake, baadae alitimkia nchi za ulaya. Naomba...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Wakuu, heshima kwenu! Katika pitapita yangu kwenye mitandao ya kijamii, nimekutana na huyu mrembo, jina lake anaitwa Precious Mary akiwa amefanya cover ya wimbo wa msanii wa muziki wa kizazi...
3 Reactions
57 Replies
10K Views
Huyu jamaa nimemkumbuka na kile kibao chake cha VITUKO uswahili, "Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi" "Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu...
0 Reactions
177 Replies
23K Views
Msanii wa kizazi kipya aliyekuwa kundi la Wakali Kwanza, Q Jay kwa sasa amekuwa kama chokoraa kwani amekuwa anaokota makopo na kuongea vitu visivyoeleweka Chanzo cha matatizo yote ni kutokana na...
4 Reactions
82 Replies
14K Views
Leo nimeangalia wimbo wa Diamond uitwao Baila...nikamwangalia video queen wake, nikagundua ndio yule wa kwenye wimbo wa If ya Davido. Dada huyu ametusua careerwise maana hao ni wasanii wakubwa...
5 Reactions
64 Replies
11K Views
Habari Nimekuwa nikifuatilia sana Churchill Show ya Kenya ambayo kiukweli huwa napunguza sana stress hasa akisimama Professor Hamo. Sasa nipo Dar hapa najiuliza ni wapi kumbi za Comedy ambazo ni...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wasalaam.. Pamoja na kupatikana mshindi ambaye kwangu naona amestahili lakini shindano hili bado lina mambo yale yale yanayo tia shaka au unaweza kuyaita maajabu... Moja ya maajabu kwenye hili...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Kwanza nianze kwa Kuupongea Uongozi wa EATV kwa kuja na Kipindi kama hiki ambacho ni kizuri sana na pia nichukue nafasi hii kuwapongeza sana Watangazi wake kuanzia kwa Program Brand Manager wake...
5 Reactions
25 Replies
6K Views
Nimeisikiliza nyimbo hii zaidi ya mara tano. Ni wimbo wa kawaida sana ila kwasababu umeimbwa na Ali Kiba basi naamini utakuwa mkubwa. CMG wote wamejipanga kuanzia asubuhi kuhakikisha wanamuinua...
16 Reactions
457 Replies
72K Views
Ahlan wa Sahlan ndugu zangu naomba niliwasilishe hili kwenu wanajamii na kimshauri huyu brother ninaemuheshimu na kumuona mtu wa kupigiwa mfano kutokana na jitihada zake kimaisha na kusaidia...
11 Reactions
95 Replies
13K Views
Katika interview aliyofanyiwa na channel ya Sam Misago kwenye Youtube amekubali kuwa huwa anaenda kwa waganga wa kienyeji. Anasema ''mimi ni mfanyabiashara, kwenda kwa mganga lazima. Kuna wakati...
5 Reactions
35 Replies
4K Views
Mwanamuziki Nasir aka Nas amefunguka na kuelezea tabu na manyanyaso ambayo ameyapata kutoka kwa mtalaka wake Kelis ikiwa ni pamoja na kumtolea maneno ya kashfa na kumnyima fursa ya kuonana na...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwanamuziki mkubwa na mwenye jina kubwa afrika na duniani kwa ujumla kutoka Tanzania Diamond Platinumz ameamua kuweka wazi maisha yake ya sasa ya mahusiano na kusema kuwa kwa sasa hana mahusiano...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni. Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa...
47 Reactions
202 Replies
27K Views
Sio Siri Tena alikiba ni mchezaji mpira wa coastal union nilipopata habari sikuelewa . Lakini nilipomsikiliza Mwenyewe akieleza nia yake kwenye interview ya Azam tv nikatambua kuwa ana uwezo ya...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu hujikinga dhidi ya Uchawi kwa njia mbalimbali,kuvaa Rozari,Pete,wengine huchanja chale mwilini maana hata Mungu huitumia njia hii kuchanja aliowachagua kufanya nao kazi wengine huokoka na...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Alie sema huu msemo hakukosea. Hasa ukimuangalia wema sepetu. Mimi wema sepetu nimeanza kumsikia sanaa 2015 sababu ndio mwaka nilianza kua active na social media. Kipindi hicho alikua ashikiki...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Back
Top Bottom