Kuna kijana maarufu sana enzi hizo aliwika miaka ya 90, kama sikosei alikuwa anajishughulisha na udhamini wa mpira wa miguu na pia alikuwa na timu yake, baadae alitimkia nchi za ulaya.
Naomba...
Wakuu, heshima kwenu! Katika pitapita yangu kwenye mitandao ya kijamii, nimekutana na huyu mrembo, jina lake anaitwa Precious Mary akiwa amefanya cover ya wimbo wa msanii wa muziki wa kizazi...
Huyu jamaa nimemkumbuka na kile kibao chake cha VITUKO uswahili,
"Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi"
"Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu...
Msanii wa kizazi kipya aliyekuwa kundi la Wakali Kwanza, Q Jay kwa sasa amekuwa kama chokoraa kwani amekuwa anaokota makopo na kuongea vitu visivyoeleweka
Chanzo cha matatizo yote ni kutokana na...
Leo nimeangalia wimbo wa Diamond uitwao Baila...nikamwangalia video queen wake, nikagundua ndio yule wa kwenye wimbo wa If ya Davido. Dada huyu ametusua careerwise maana hao ni wasanii wakubwa...
Habari
Nimekuwa nikifuatilia sana Churchill Show ya Kenya ambayo kiukweli huwa napunguza sana stress hasa akisimama Professor Hamo.
Sasa nipo Dar hapa najiuliza ni wapi kumbi za Comedy ambazo ni...
Wasalaam..
Pamoja na kupatikana mshindi ambaye kwangu naona amestahili lakini shindano hili bado lina mambo yale yale yanayo tia shaka au unaweza kuyaita maajabu...
Moja ya maajabu kwenye hili...
Kwanza nianze kwa Kuupongea Uongozi wa EATV kwa kuja na Kipindi kama hiki ambacho ni kizuri sana na pia nichukue nafasi hii kuwapongeza sana Watangazi wake kuanzia kwa Program Brand Manager wake...
Nimeisikiliza nyimbo hii zaidi ya mara tano. Ni wimbo wa kawaida sana ila kwasababu umeimbwa na Ali Kiba basi naamini utakuwa mkubwa. CMG wote wamejipanga kuanzia asubuhi kuhakikisha wanamuinua...
Ahlan wa Sahlan ndugu zangu naomba niliwasilishe hili kwenu wanajamii na kimshauri huyu brother ninaemuheshimu na kumuona mtu wa kupigiwa mfano kutokana na jitihada zake kimaisha na kusaidia...
Katika interview aliyofanyiwa na channel ya Sam Misago kwenye Youtube amekubali kuwa huwa anaenda kwa waganga wa kienyeji.
Anasema ''mimi ni mfanyabiashara, kwenda kwa mganga lazima. Kuna wakati...
Mwanamuziki Nasir aka Nas amefunguka na kuelezea tabu na manyanyaso ambayo ameyapata kutoka kwa mtalaka wake Kelis ikiwa ni pamoja na kumtolea maneno ya kashfa na kumnyima fursa ya kuonana na...
Mwanamuziki mkubwa na mwenye jina kubwa afrika na duniani kwa ujumla kutoka Tanzania Diamond Platinumz ameamua kuweka wazi maisha yake ya sasa ya mahusiano na kusema kuwa kwa sasa hana mahusiano...
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.
Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa...
Sio Siri Tena alikiba ni mchezaji mpira wa coastal union nilipopata habari sikuelewa . Lakini nilipomsikiliza Mwenyewe akieleza nia yake kwenye interview ya Azam tv nikatambua kuwa ana uwezo ya...
Watu hujikinga dhidi ya Uchawi kwa njia mbalimbali,kuvaa Rozari,Pete,wengine huchanja chale mwilini maana hata Mungu huitumia njia hii kuchanja aliowachagua kufanya nao kazi
wengine huokoka na...
Alie sema huu msemo hakukosea. Hasa ukimuangalia wema sepetu. Mimi wema sepetu nimeanza kumsikia sanaa 2015 sababu ndio mwaka nilianza kua active na social media.
Kipindi hicho alikua ashikiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.