Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mtoto wa mama richad kaachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ngedele hii ngoma ni sumu moja mbay sana Ninachojiuliza kwanin mavoko hapo awali hakuwahi kutoa ngoma kali kama hii why soo...
6 Reactions
71 Replies
12K Views
Eti mange kimambi ni mwenyeji wa wapi??
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi sifatilii sana celebrities wa tz lakn nampenda sana hamisa mobetto napenda physical appearance yake. natamani siku moja nije kua km yeye niwe model lakin wazaz wangu hawakubaliani na mimi kua...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Aisee, huyu dada ambae sifa zake zimejaa Tz na kuimbwa mara kwa mara kwenye miziki ya wanamziki wakubwa hapa bongo leo nimemwona live Supermarket moja msasani. Niseme wazi bila chuki, Wema hana...
49 Reactions
228 Replies
39K Views
Mama watatu na mtangazaji mashuhuri wa kipindi vya mahojiano Zamaradi Mketema amesema hana mpango wa kuajiriwa kwa sasa. Akielezea uhusiano uliopo kati yake na WASAFI amesema yeye na WASAFI ni...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Msanii wa Bongo Movie Wastara Juma, amesema kwamba kwa muda huu haitaji msaada wowote zaidi ya kumuombea dua ili aimarike kiafya. "Nawaomba watanzania waniombee dua, kwa sasa sihitaji msaada...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwenye namba zake huyu binti mwenye sauti laini au ni jinsi gani naweza kuwasiliana nae anisaidie washkaji zangu. Instagram hajibu DM na pia kama yupo humu naomba anitafute hata private Sent...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Msanii wa bongo fleva na mjasiriamali nchini, Zuwena Mohamed maarufu kama Shishi Baby amefunguka na kudai yeye sio mtu wa kufake maisha kama baadhi ya watu wanavyomfikiria mitandaoni huku...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na stori za hapa na pale kuwa muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Machael 'Lulu' anaolewa na Majey. Sasa basi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda jana August...
6 Reactions
53 Replies
8K Views
Waungwana nimeiona video ya wimbo mpya wa Rich Mavoko uitwao ndegele ikiwa ni wiki kadhaa baada ya yeye kujitoa WCB. Kiukweli naona ni wimbo wa kawaida sana na asipoangalia atapotea bora ajaribu...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Aretha Franklin, mwimbaji mahiri na mashuhuri wa Marekani, amefariki dunia huko Detroit, Michigan. Alikuwa na umri wa miaka 76. Pumzika salama mama. R.E.S.P.E.C.T
14 Reactions
71 Replies
8K Views
Wakati msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz akiendelea na matibabu Afrika Kusini, daktari bingwa wa upasuaji wa magonjwa ya koo, masikio na pua wa Chuo Kikuu Kishiriki Muhimbili (Muhas), Godlove...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Jumamosi juzi alichukua 1.5mn za u MC akiahidi atafanya pale Danken na tena kumbe akachukua pesa zingine kuwa atahudumu kama MC kule Picolo! Siku yenyewe alituma mtu amshike pale Danken lakini...
1 Reactions
35 Replies
8K Views
Mwanamuziki na mkali wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz ambaye yuko Afrika Kusini kwa matibabu, amewataarifu watanzania kwamba anaendelea vyema na sasa ana nafuu ijapokuwa bado anaumwa. "Ugonjwa huu wa...
3 Reactions
98 Replies
22K Views
Wiki hii huko mitandaoni haswa Instagram kuna machafuko makubwa ambayo sababu kubwa ni madai kwamba Diamond Platnumz amewadhalilisha wanawake anaotembea nao ambao wanaosemwa haswa kwamba hilo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Alisifika kwa burudani ya nyimbo za injili, akazinguana mumewe na kutengana naye! Akapata mpendwa mpya naamini ametulizwa kutokana na ukimya unaojitokeza. Majirani tupeni abc zake maana si vibaya...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Kwa habari zilizotufikia za chini ya kapeti inasemekana tayari pale madale wameshatafuta ushauri wa kisheria ni jinsi gani watamtia hatiani kijana pozi kwa pozi, Kwa kile kinachodaiwa ni post...
6 Reactions
203 Replies
33K Views
Kwa upande wangu Mbosso ni mkali kuliko Aslay ,hii ni kutokana na mashairi ya nyimbo zake anazoimba kwa mfano Nipepee,Nadekezwa,Alele' Nk: ukiangalia mashairi ambayo anaimba mbosso yamekaa ki utu...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Eti wananzengo mnijuze kidogo ,hivi huyu mwanadada Mange Kimambi kimemtokea nini haswa siku hizi mpaka ameanza kusapoti kazi za Diamond Platnumz?? Ninaona siku hizi analeta leta shobo sana kwa...
2 Reactions
23 Replies
8K Views
Baada ya ukimya wa Darassa na kutoonekana kabisa mahali popote taarifa nyeti na za uhakika ni kwamba msanii Darassa amefungiwa na ndugu zake kwa baba yake mkubwa Kiwalani kutokana na matumizi ya...
22 Reactions
156 Replies
24K Views
Back
Top Bottom