Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari za jpili bandugu, wanajukwaa. Kuna kitu mimi huwa kinanipa shida sana kukubaliana nacho. Tutafakari kwa pamoja suala hili. Kwa muda mrefu sana wasanii mbalimbali wwamekuwaa music, maigizo...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Hii ndio picha aliyopost leo ikionyesha mwanamke ambaye anatoka damu
2 Reactions
97 Replies
12K Views
Nimejiuliza sana,kuhusu Bongo muvi kuuvalia njuga msiba wa Agnes Nyie kama wakina nani? kwenye kesi yake mbona hamkuonekana hata? mnatoka na taarifa zinazotuchanganya mara mnasema kafa kwa homa ya...
8 Reactions
63 Replies
8K Views
KUTOKA KWA : MSANII, JOTO LA MOTO. Nimekaa na kuwaza, kuhusu huyu jabali. Ni mengi ametufunza, kwa tungo zenye akili. Inabidi kuitunza,heshima ya huyu nguli. Tumuenzi Marijani,ni jabali la...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
KWAHERI MASOGANGE...HATUKUKUTENDEA HAKI! #Mtatiro J Ndugu zangu, uvumilivu umenishinda na nikaona lazima niandike jambo. Ni kawaida yetu kwenye taifa letu kuandika kurasa nyingi za wasifu wa...
18 Reactions
38 Replies
7K Views
Waba jf. Huu mwezi umeniacha njia panda baada ya kulinganisha matukio yatokeayo ndani ya mwezi wa nne. Mwezi wa nne ulimchukua mwigizaji Maharufu Kanumba. Pia ndio mwezi huo aliozaliwa Elizabert...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Kwa wale wapenzi wa jumba la dhahabu mnamkumbuka huyu
4 Reactions
69 Replies
17K Views
Kwa mtu ambaye ametokea kwenye maisha ya kawaida kama Aggy, bila shaka nafasi hiyo adimu aliyoipata angeitendea haki, either kwa kujiendeleza kielimu au kibiashara. Ni mda mrefu umepita toka binti...
9 Reactions
102 Replies
31K Views
Wasanii mbalimbali na wakazi wa jiji la Dar es Salaam, wamejitokeza leo katika Viwanja vya Leaders, jijini hapa, kwa ajili ya kumuaga msanii anayepamba video za wasanii ‘video queen’ Agnes Gerald...
4 Reactions
290 Replies
56K Views
barnabaclassic: #RestIn peace Tunawapenda Wote mwende mkawe na neema na milango Ya pepo ifunguke na iwapokee Amina R.I.P Agness R.I.P JEB #Swahiba na wengine Wote mungu awalaze Pema peponi #rest...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wamesitisha top 20 kucover msiba wa Agness. Hawa jamaa ni wanafiki sana. Sana sana.
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Napenda kuuliza juu ya msanii wetu MRISHO MPOTO mbona tangu tupate uongozi mpya ni kama game ime-shake kwa upande wake au mimi ndo nimepunguza ushabiki? au na yeye ameenda kuunga mkono juhudi za...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Kumsaidia mtu ni kumwambia ukweli, haijlishi ataupenda au hataupenda ila siku zote ukweli huweka kila kitu huru (Hua napenda sana huu mstari wa Kikiristo wa Yohana 8:32- Utaijua kweli na hiyo...
1 Reactions
119 Replies
18K Views
Dogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike...
5 Reactions
119 Replies
24K Views
Watanzania unafiki ni sehemu ya maisha yetu. Nadhani ni sababu mojawapo kwa nini hatuendelei. Pamoja na hilo kuna watu tusiojua kabisa kuhusu unafiki, we call a spade a spade, white colour white...
21 Reactions
233 Replies
26K Views
Hii kitu niliiiona siku nyingi ila leo nimeona Afande sele akimchamba Gsolo nikaikumbuka. Taarabu huwa ni nyimbo zilizojaa majisifu na kupakana maneno na Hiphop imejaa sana hizi ishu. Ukianza...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mambo vipi wana JF! Hivi ile adhabu ya Mondi kula ban imeisha maana leo naona millard ayo kapost habari kumuhusu mondi pia na mic ya clouds ilikuwepo kwa pembeni kunyonya habari.... Ndio adhabu...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Huenda ungependa kufahamu kuhusu mwanamuziki wa kale Ludwig van Beethoven. Hayumkini ndiye mwanamuziki nguli wa wakati wote wa miondoko ya klasiki (classical music). Alizaliwa Ujerumani Disemba...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond platnumz amemtakia Ali kiba Ndoa njema yenye baraka na furaha Tele! Kitu ambacho watu wengi hawakutegemea lakini diamond kakifanya hakika kweli Sanaa...
1 Reactions
86 Replies
13K Views
Nimekuwa mdau wa bongo movie kwa muda mrefu sana, tangu kipindi kile kina TID na JAYMOE walipokuja na movie yao ya GIRLFRIEND na wengineo wengi waliofuata. Nachoweza kusema kwa ujumla ni kwamba...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom