mwananchi_officialMuigizaji Elzabeth Michael 'Lulu', anaisheherekea siku yake ya kuzaliwa kupitia wawakilishi wake katika Hospital ya Taifa Muhimbili na watoto wenye vichwa vikubwa. Lulu...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka...
Haya Haya Sasa Kumechuka Diamond Ameanza Kuachia Video Akiwa na Mpenzi mpyaa! Ameamua athibitishe Kwa Vitendo kuwa Ameachana Na Mzazi Mwenzie Zari The Bosslady
Diamond Amepost videos akiwa na...
Mwanamasumbwi mwenye sifa, mikogo na majivuno makubwa nchini Marekani, Floyd Mayweather amekuja na jipya wiki hii baada ya kudai anaweza kuinunua klabu ya Newcastle United ambayo ipo sokoni kwa...
Kama ulikuwa mfatiliaji mzuri wa stori ya Janjaro kujifanya mwanamke kwenye video yake basi utakumbuka kuwa watu wengi walimpiga vita kufikia hatua ya kutakiwa asifike Arusha na ndipo Enewz...
Akizungumza muda mfupi tu uliopita katika mahojiano na Kituo kimoja cha Television Msanii Peter Msechu amesema kwamba kama kuna kitu ambacho amejifunza kwa Watanzania basi ni tabia zao kubwa mbili...
Msanii wa Muziki Bongo, Nandy amesema anaweza ku-date na Bill Nass ila siyo Dogo Janja kutokana na urafiki wao kuwa wa karibu zaidi.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka...
Chama kubwa la WCB Leo wameachia wimbo bora wa Kwangwaru wa kijana Chinga boy aliomshirikisha boss wake Diamond saa 10 jioni hii kupitia TV yao wa Wasafi.
Nyota yake Harmonize inazidi kung'aa...
Mwanamziki Diamond platnumz amepata dili tamu zaidi kutoka kwa bank moja hapa bongo BANK OF AFRICA (BOA),adai zile video za jana ilikuwa beleare here beleare there tu ila now yuko poa kwa...
Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata...
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amempa nasaha za maisha ya ndoa na ujana, Ali Kiba ambaye yuko kwenye harakati za kufunga ndoa hivi karibuni.
Ingawa taarifa za awali kutoka Mombasa zimekuwa...
Kwa mara ya kwanza baada ya kutopiga ngoma za Wcb kwa mda mrefu Tv E inayosimamiwa na majizo saa 11 jioni ya leo imeonesha hii video ya konde boy, hii ndio kumaanisha wameyamaliza bifu zao au Dj...
Habari wadau..
Naamini media nyingi za tanzania zimegundua umuhimu wa diamnond kwenye tasnia ya habar hususan udaku udaku na mambo mengine..
Diamond ni brand kubwa saana ambaya kuipuuzia katika...
Ni yule dingi wa filamu maarufu ya FULL METAL JACKET ikieelezea story ya makuruta wanaojinoa kupambana ktk vita ya Vietnam vs US...anafahamika sana kwa kumhenyesha Private Pyler na Private...
Siku zote inajulikana king of music wa bongo hana skendo mbaya anajitahidi sana kuziepuka na sasa king kiba anaoa hivi karibuni
Ameshatoa taarifa kwa watu muhimu muhimu akiwa na mpambe wake ommy...
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Elizabeth Michael aka Lulu. Mastaa kibao wanampongeza muigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo gerezani akitumikia kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kumuua aliyekuwa...
Aliyekuwa mpenzi wa Diamond Platinumz ambaye ni mama wa watoto wawili wa msanii huyo, Zari The Boss Lady ameshindwa kuficha hasira zake na kumshambulia kwa matusi mtandaoni.
Mashambulizi ya Zari...
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wametukuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.