Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

mwananchi_officialMuigizaji Elzabeth Michael 'Lulu', anaisheherekea siku yake ya kuzaliwa kupitia wawakilishi wake katika Hospital ya Taifa Muhimbili na watoto wenye vichwa vikubwa. Lulu...
0 Reactions
80 Replies
12K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Haya Haya Sasa Kumechuka Diamond Ameanza Kuachia Video Akiwa na Mpenzi mpyaa! Ameamua athibitishe Kwa Vitendo kuwa Ameachana Na Mzazi Mwenzie Zari The Bosslady Diamond Amepost videos akiwa na...
5 Reactions
193 Replies
28K Views
Mwanamasumbwi mwenye sifa, mikogo na majivuno makubwa nchini Marekani, Floyd Mayweather amekuja na jipya wiki hii baada ya kudai anaweza kuinunua klabu ya Newcastle United ambayo ipo sokoni kwa...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Kama ulikuwa mfatiliaji mzuri wa stori ya Janjaro kujifanya mwanamke kwenye video yake basi utakumbuka kuwa watu wengi walimpiga vita kufikia hatua ya kutakiwa asifike Arusha na ndipo Enewz...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Akizungumza muda mfupi tu uliopita katika mahojiano na Kituo kimoja cha Television Msanii Peter Msechu amesema kwamba kama kuna kitu ambacho amejifunza kwa Watanzania basi ni tabia zao kubwa mbili...
18 Reactions
45 Replies
5K Views
Msanii wa Muziki Bongo, Nandy amesema anaweza ku-date na Bill Nass ila siyo Dogo Janja kutokana na urafiki wao kuwa wa karibu zaidi. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma...
1 Reactions
54 Replies
12K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka...
1 Reactions
31 Replies
11K Views
Chama kubwa la WCB Leo wameachia wimbo bora wa Kwangwaru wa kijana Chinga boy aliomshirikisha boss wake Diamond saa 10 jioni hii kupitia TV yao wa Wasafi. Nyota yake Harmonize inazidi kung'aa...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Mwanamziki Diamond platnumz amepata dili tamu zaidi kutoka kwa bank moja hapa bongo BANK OF AFRICA (BOA),adai zile video za jana ilikuwa beleare here beleare there tu ila now yuko poa kwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Yawezekana nisiwe chochote kwako lakini si vema ukapuuzia kila unachoshauriwa. Nimekuwa shabiki wako kwa muda mrefu, si shabiki tu bali mtu ninayesupport pia kazi zako. Mie si muhudhuriaji hata...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amempa nasaha za maisha ya ndoa na ujana, Ali Kiba ambaye yuko kwenye harakati za kufunga ndoa hivi karibuni. Ingawa taarifa za awali kutoka Mombasa zimekuwa...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
Kwa mara ya kwanza baada ya kutopiga ngoma za Wcb kwa mda mrefu Tv E inayosimamiwa na majizo saa 11 jioni ya leo imeonesha hii video ya konde boy, hii ndio kumaanisha wameyamaliza bifu zao au Dj...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wadau.. Naamini media nyingi za tanzania zimegundua umuhimu wa diamnond kwenye tasnia ya habar hususan udaku udaku na mambo mengine.. Diamond ni brand kubwa saana ambaya kuipuuzia katika...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Ni yule dingi wa filamu maarufu ya FULL METAL JACKET ikieelezea story ya makuruta wanaojinoa kupambana ktk vita ya Vietnam vs US...anafahamika sana kwa kumhenyesha Private Pyler na Private...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Siku zote inajulikana king of music wa bongo hana skendo mbaya anajitahidi sana kuziepuka na sasa king kiba anaoa hivi karibuni Ameshatoa taarifa kwa watu muhimu muhimu akiwa na mpambe wake ommy...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Elizabeth Michael aka Lulu. Mastaa kibao wanampongeza muigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo gerezani akitumikia kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kumuua aliyekuwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Aliyekuwa mpenzi wa Diamond Platinumz ambaye ni mama wa watoto wawili wa msanii huyo, Zari The Boss Lady ameshindwa kuficha hasira zake na kumshambulia kwa matusi mtandaoni. Mashambulizi ya Zari...
2 Reactions
74 Replies
9K Views
Mwimbaji maarufu wa taarab Khadija Kopa amekabidhiwa taji ya malkia wa nguvu na kusema " Wakuja wametukuta mjini " na kuibua chereko na hoi hoi. Malkia wa nguvu wengine mi pamoja na Joyce Mhaville...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Majina halisi ya wasanii wa kibongo 1. Mwajuma Abdul- Queen Darleen 2. Juma Khaleed- Jux Vuiton 3. Nurdin Bilal- Shetta 4. Emmanuel Simwanga- Izzo B 5. Abbort Charles- Quick Racka 6...
0 Reactions
43 Replies
76K Views
Back
Top Bottom