Wakazi afanikiwa kuzindua album yake, uzinduzi ulifana sana na kuhudhuriwa na watu wengi sana akiwemo mmoja wa waasisi wa Hip Hop bongo KBC
Wa Kwanza Unit na mademu wazuri kibao, wakazi ni mmoja...
Jaman kwa kweli huyu mrembo kanivuruga vuruga sana, yaani mimi nampendaga tu yaani, kisura chake, umbo lake mm hoi taabani. Aliye karubu naye afanye mpango basi nipate hata namba zake, mimi...
Aman iwe nanyi wapendwa
Mimi naomba kujua azam alitumia vigezo gan had akina wema wakapata tuzo
Je, kulikuwa na upigaj wa kula ama kulikuwa na nini
Je, wema ana filamu gan kwa sasa sokon had...
Mwanadada Joyce Kiria ambaye pia ni mtangazaji maarufu wa kipindi cha Wanawake Live ni miongoni mwa wanawake waliofika leo katika kuitikia agizo la Mh. RC Paul Makonda linalowataka wanawake wote...
Msanii Niki mbishi kutoka tamaduni music ameacha hiphop na
Sasa anafanya bongo flava , Niki huwa anachukuliwa kama mmoja ya wasanii wakali kabisa wa Hip Hop barani Afrika lakini unfortunately...
Huyo Dogo anapiga midundo mitamu Sana, ile midundo yenyewe ya hiphop kama brooklyn, kwa sasa ameshatengeneza hasi 15 ya nash mc maisha ya mitaa nayo ya nash mc pamoja na shujaa nayo ni ya nash mc...
Bila shaka wale wapenzi wa burudani hasa muziki wa Congo watakua wamekumbana na kadhia hii ya kuahirishwa kwa show ya nguli wa burudani Noel Ngiama 'Werrason"iliyokua ifanyike tarehe 6 mwezi april...
wanamwita mbosso khan au mhindi wa kibiti... anaitwa mhindi au khan sababu ya hisia zake za kweli anapoimba akawii kumwaga machozi.
ndio msanii bora kabisa kwenye bongofleva zama hizi anayeweza...
Baada ya watu kuongea mengi kuhusu awa member kutoka yamoto band.
Aslay ameonyesha hakuna lolote baya linaloendelea kati yao.
Haya sasa vijana tupambane tujenge nchi awajakubali kugombanishwa...
USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na...
Wakuu habarini za mchana!!!!!!
Nisipoteze muda aisee na imani wengi wao tuko vyema.
Ni miezi 10 sasa imepita bila ya kusikia ngoma mpya kutoka kwa Darassa huku ngoma yake ya mwisho ikiwa ni...
Nabii Olivia wa Kanisa la Repohim Church akimpanga muumini apige kelele akiashiria mapepo yanamtoka.
SOUDYBROWN: Mambo ni hiviii
Jamani Mtumishi Wa Mungu Askika Akimpanga Muumini apige kelele...
Aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2000 na kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, Jacqueline Ntuyabaliwe, mwaka 2015 alifunga pingu za maisha na mfanyabiashara mkubwa na maarufu...
Wanajamvi
Salaam;
Sijawahi kupost ktk hili jukwaa,lkn nimelazimika kufanya hivi leo kutokana na huu unafiki unaoendelea kuonyeshwa na watanzania.
Kilichonichukiza ni hiki kitendo cha kumsifia...
Mrembo aitwae Suzan Labia amefunguka wazi mapenzi alionayo kwa millard ayo na kuonesha hisia kali sana kwamba anampenda sana Millard. Suzan ambae bado ana usichana wake ni binti wa miaka 20 tuu na...
Serikali imemkabidhi Bendera ya Taifa muigizaji wa filamu, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa anayetarajia kwenda nchini Ghana kuwania tuzo ya #TheAfricanPrestigiousAwards kipengele cha Msanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.