Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

WCB wameshawapumbaza wabongo kweli...Diamond akinya breaking news ..kiato kimekatika breaking news. kifesi kuachishwa kazi breaking news.. kiba kuoa mombasa wamemupotezea... kiba sijuwe kafanya...
3 Reactions
54 Replies
7K Views
Ni ukweli usiopingika kwamba Watu maarufu hawa Mwanamuziki Nasib Abdul ( Diamond Platinum ) na Msanii wa Maigizo na Mlimbwende Wema Sepetu ( Sepenga ) ni Watu wenye ' Nyota ' kali sana za...
6 Reactions
48 Replies
5K Views
Usishangae kukuta mtu kama wiz khalifa, snoop dogg, akina lil Wayne ma king katika kupuliza weed aka moshi au jani kitu cha AR wapo ktk kiti cha enzi mbinguni huku watu wema na walokole...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Nimeangalia picha zinazozunguka mitandaoni za hawa mabinti mawili. Kwanza ya Joyce Kiria ambaye anadai mwanaume anayetaka kutoka naye hivi sasa ni lazima alipie gharama za vitu atakavyokuwa amevaa...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Nina hadithi ndefu sana inayohusu maisha yangu binafsi(mapenzi),naamini ikichezwa filamu itavunja rekodi kwenye soko.
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Baada ya kuvuja kwa picha na video zikimuonesha mrembo Wema Sepetu akiwa kwenye Swimming Pool. Hatimaye aliyewahi kuwa Boyfriend wake Idris Sultan amesema picha hizo aliziona na amechukulia...
1 Reactions
20 Replies
9K Views
Moshi. Watanzania watatu na raia wa Marekani, wameteuliwa kutunukiwa tuzo katika tamasha lililoandaliwa na Watanzania waishio ughaibuni (Diaspora) litakalofanyika Dallas nchini Marekani. Miongoni...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamaa alitamba sana na vibao vyake moto moto kama Kizizi, Mapenzi Vionjo na Chagua Moja. Ila amepotea kwenye game saivi. Naomba nijue yuko wapi na anajishughulisha na nini?
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Baada ya mdau mmoja kuanzisha Uzi akizungumzia wasanii was vichekesho wasiojua. Mimi nawaletea wasanii wangu wanaojua katika sector ya bongo flava Ninaposema wanaojua nazungumzia aspects nyingi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Monde ushaambiwa, hapa kazi tu. Sasa mheshimiwa sana alipokupa nafasi ya kuimba, alitegemea uimbe nyimbo kama za kina Mrisho Mpoto za kusifia maendeleo ya chama na serikali wewe ukaboronga na...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Huyu wa kuitwa jamuhuri mwavyombo anachefua anaposoma Habari anasoma neno moja moja Ni siku nyingi Sasa nimevumilia hii kero imetosha Mimi Ni mdau mkubwa wa BBC swahili huyu Mtangazaji anakera...
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Shalom,Leo nikiwa nimejipumzisha home baada ya kutoka kanisani nikiwa naangalia Emmanuel TV mara namuona Jerry Muro yuko ndani ya SCOAN,sijui kaenda kutubu.
6 Reactions
66 Replies
10K Views
Heri ya Pasaka wapendwa; Leo pale maeneo ya Mlimani city hall kutakua na tamasha la film la kwanza Kwa hapa Tanzania ambapo tuzo mbalimbali za film zitatolewa usiku wa Leo kwa wasanii...
5 Reactions
388 Replies
28K Views
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama ilivyo ada,kwa dunia ya sasa ya kidigital 90% imetawaliwa na social media...sasa kwa hapa bongo siku ya jana kulikua na matukio makubwa manne ukiachilia mbali pasaka na siku ya wajinga ambazo...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Jana limefanyika zoezi la utoaji wa tuzo katika secta ya filamu Tanzania, ni jambo jema na la kupongezwa kwani ni hatua nzuri kwa tasnia ya filamu Tanzania. Pamoja na yote dosari niliyoiyona ni...
7 Reactions
15 Replies
3K Views
hatimae dada yake chibu esma platnumz amesema kuwa kifesi amefukuzwa kazi wala hajaacha kazi kasema wao wamemshindwa sembuse yeye mtu baki
2 Reactions
145 Replies
19K Views
Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Msanii wa kike wa hip hop bongo Chemical, kwa mara ya kwanza amezungumzia maisha yake ya kimapenzi, kitu ambacho ni nadra sana kwa msanii huyo kufanya hivyo. Akizungumza na team ya Planet Bongo...
3 Reactions
40 Replies
15K Views
Ama kweli kutoa ni moyo na wala so utajili,hawa ndo wasanii tunao wataka,awe kioo cha jamii haswa. Nawasilisha hoja
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom