Ni ukweli usiopingika kwamba Watu maarufu hawa Mwanamuziki Nasib Abdul ( Diamond Platinum ) na Msanii wa Maigizo na Mlimbwende Wema Sepetu ( Sepenga ) ni Watu wenye ' Nyota ' kali sana za...
Usishangae kukuta mtu kama wiz khalifa, snoop dogg, akina lil Wayne ma king katika kupuliza weed aka moshi au jani kitu cha AR wapo ktk kiti cha enzi mbinguni huku watu wema na walokole...
Nimeangalia picha zinazozunguka mitandaoni za hawa mabinti mawili. Kwanza ya Joyce Kiria ambaye anadai mwanaume anayetaka kutoka naye hivi sasa ni lazima alipie gharama za vitu atakavyokuwa amevaa...
Baada ya kuvuja kwa picha na video zikimuonesha mrembo Wema Sepetu akiwa kwenye Swimming Pool.
Hatimaye aliyewahi kuwa Boyfriend wake Idris Sultan amesema picha hizo aliziona na amechukulia...
Moshi. Watanzania watatu na raia wa Marekani, wameteuliwa kutunukiwa tuzo katika tamasha lililoandaliwa na Watanzania waishio ughaibuni (Diaspora) litakalofanyika Dallas nchini Marekani.
Miongoni...
Jamaa alitamba sana na vibao vyake moto moto kama Kizizi, Mapenzi Vionjo na Chagua Moja. Ila amepotea kwenye game saivi.
Naomba nijue yuko wapi na anajishughulisha na nini?
Baada ya mdau mmoja kuanzisha Uzi akizungumzia wasanii was vichekesho wasiojua.
Mimi nawaletea wasanii wangu wanaojua katika sector ya bongo flava
Ninaposema wanaojua nazungumzia aspects nyingi...
Monde ushaambiwa, hapa kazi tu.
Sasa mheshimiwa sana alipokupa nafasi ya kuimba, alitegemea uimbe nyimbo kama za kina Mrisho Mpoto za kusifia maendeleo ya chama na serikali wewe ukaboronga na...
Huyu wa kuitwa jamuhuri mwavyombo anachefua anaposoma Habari anasoma neno moja moja
Ni siku nyingi Sasa nimevumilia hii kero imetosha
Mimi Ni mdau mkubwa wa BBC swahili huyu Mtangazaji anakera...
Shalom,Leo nikiwa nimejipumzisha home baada ya kutoka kanisani nikiwa naangalia Emmanuel TV mara namuona Jerry Muro yuko ndani ya SCOAN,sijui kaenda kutubu.
Heri ya Pasaka wapendwa;
Leo pale maeneo ya Mlimani city hall kutakua na tamasha la film la kwanza Kwa hapa Tanzania ambapo tuzo mbalimbali za film zitatolewa usiku wa Leo kwa wasanii...
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida...
Kama ilivyo ada,kwa dunia ya sasa ya kidigital 90% imetawaliwa na social media...sasa kwa hapa bongo siku ya jana kulikua na matukio makubwa manne ukiachilia mbali pasaka na siku ya wajinga ambazo...
Jana limefanyika zoezi la utoaji wa tuzo katika secta ya filamu Tanzania, ni jambo jema na la kupongezwa kwani ni hatua nzuri kwa tasnia ya filamu Tanzania.
Pamoja na yote dosari niliyoiyona ni...
Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na...
Msanii wa kike wa hip hop bongo Chemical, kwa mara ya kwanza amezungumzia maisha yake ya kimapenzi, kitu ambacho ni nadra sana kwa msanii huyo kufanya hivyo.
Akizungumza na team ya Planet Bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.