Mwimbaji kutoka Burundi, Kidum aliwekewa sumu na kulazwa Hospitali nchini Burundi
Mwanamuziki huyo aliandika kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema ataruhusiwa Jumatatu lakini...
Kupitia ukurusa wake wa instagram, mwanamuziki diamond platnums amepost mjengo wake mpya uliopo south Africa, huku akimpongeza mzazi mwenzie (mama tiffah) kwenye siku yake ya kuzaliwa
Nimewaza sana hivi nini hawa wasanii wengine hawana ambacho wcb wanavyo peke yao,yani licha ya kubaniwa na media but ndo habari ya mjini,yaani you tube yote wameikamata hadI huruma nyimbo zao ndo...
Msanii wa muziki BongoFleva Juma Jux ambaye yuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na Vanessa Mdee, amekanusha taarifa za mpenzi wake huyo kuwa mjamzito na kudai kwa sasa hawajajipanga kufanya hivyo...
Zamani nilimdharau sana niliona kama anadandia fani. Ila siku hizi naona anaimba vizuri sana na biti zake nzuri. Ila mashairi aombe wamtungie, yamekaa kiaunderground sana.
Unapokuwa unapayukapayuka eti kuna wanaume wanakufuatilia, wakufuatilie kwa lipi kama siyo kukuchora tu?
Wewe umri huo sana sana utafuatwa na wazee na vijana wasiojiheshimu walioharibikiwa na...
Kila nikitune redio nakutana na " wezeshaaaa...muwezesheeee...tuma pediiii, au helaaa kwenda namba 555 na uchafu". Shaabash
Eeeeniweei ila Clouds Media mmezidi. Imagine mtu mzima kama mimi...
Mpiga Picha Maarufu wa Diamond ajulikanae kama Kifesi leo ameamua kuacha kazi rasmi kwa sababu alizozitoa nimewawekea hapo chini...
Leo ikiwa ni siku takatifu na siku ya ibada kwangu ni siku...
Msanii wa BongoMovie, Faiza Ally huenda akawa ni moja ya mastaa ambao wamekasirishwa na kitendo cha mwanamama Zari kupata dili la kutangaza nepi za watoto za Soft Care.
Faiza Ally amesema kuwa...
IPP MEDIA
CLOUDS MEDIA GROUP
E MEDIA... FM @ TV
na vimedia taka vingine vinavyofuata mkumbo
Mimi nawaambia. Kwamba Mungu ataendelea kumsimamia na kumuinua kijana huyu.
Wote tunajua historia...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema msanii Diamond anafaa kuwa balozi wa maadili kutokana na ushawishi alionao kwa sasa.
Waziri Mwakyembe amesema hayo...
Mbunge wa Mikumi, Muheshimiwa Joseph Haule au Professor Jay amefunguka na kusema tatizo linalosababisha kufungiwa kwa wasanii na kazi zao mara kwa mara ni kuwepo kwa mrundikano wa watendaji...
Ikiwa imepita miaka takriban mitano tangu isambazwe propaganda kwamba wakati wa Jide umeisha kwaio ilimbidi akabidhi kijiti kwa msanii mwingine wa kike.
Kwa mtazamo wako unadhani ni nani...
Akiunga mkono kauli aliyotoa Diamond wakati anahojiwa na TimesFm.... Joti nae ameunga mkono msimamo wa Diamond wa kutokubali kubuluzwa na media.
Diamond kwa kujiamini alisema wakati wa kuwa...
Wakati mrembo wetu Wema akiwa hapa Tz akituonyesha wowowo, yule mshindan wake kutoka Uganda amewasili kwa mualiko rasmi wa kupiga deal ya tangazo la pampers hapa Tanzania.
Hongera Zari fanya kazi...
Kipindi ametoka na ngoma zake mbili za kwanza 'Libebe' na 'Sikinai' nilihisi amebahatisha hivyo sikumpa attention kubwa kivile, ila kwa sasa nimejisajili kuwa fan wake rasmi, this man is [emoji91]...
Inasemekana matajiri wengi wakubwa wa level ya Forbes akiwemo Bill Gates na watu mbalimbali mashuhuri duniani walihudhuria.
Kwa mujibu wa mtangazaji wa runinga nchini Kenya, ndugu Jeff Koinange...
Msanii Maua Sama ameeleza sababu ya kuachia picha ambazo si za kawaida kabisa kutoka kwake,
Picha hizo ambazo zilimuacha wazi sehemu kubwa ya mapaja yake aliziweka mtandaoni kati ya February 19...
Mod Msiunganishe huu Uzi tafadhari.
Kutokana na kile nilichokiona jana kuhusu Diamond na Wizara ya Habari,Sanaa na Utamaduni kumuandalia kikao Diamond na timu yake inadhihirisha waziwazi kuwa...
Nimejaribu kuvunga sana ...sema nimeshindwa labda mi sina sikio la studio lakini nadhani jux amekuwa na style moja ya kuimba ..yan nyimbo zjmekuwa na ladha moja ..mpka zina kinai mana watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.