Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

ninapokuwa kwenye mitandao ya kijamii hasa hasa instagram, mara kadhaa huwa nakutana na picha au video fupi za comedian captain khalid anayefanya stand-up comedy katika majukwaa mbalimbali ya...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Msanii wa bongo movie Riyama Ally uliyechaguliwa kushiriki Tuzo za Sinema zetu pale Mlimani city na hukwenda lakini umemjibu vibaya mmoja wa wapenzi wa sinema kuwa tuzo hizo ni kama ulihongwa tu...
5 Reactions
32 Replies
9K Views
Oi yeah. Kama heading inavyojieleza huu ni Uzi special kwa mashabiki wa MC bora kutoka bongo Nikki mbishi King of freestyle East Africa Ambae anatambulika kwa umahili wake anapokuwa ameshika...
15 Reactions
95 Replies
15K Views
Mlezi wa hiyari wa msanii Elizabeth Michael aka Lulu amekanusha binti yake kuonekana katika viunga vya Kampala Uganda akila bata wakati wa Pasaka. Dr. Cheni amewataka waandishi kumtembelea Lulu...
4 Reactions
40 Replies
9K Views
Msanii wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya kurap Harmorapa ameibuka na kuiponda Albamu ya Diamond na kudai ni mbaya kama ilivyo sura yake. Harmorapa alijipatia umaarufu kwa kupenda kiki katika...
4 Reactions
32 Replies
8K Views
HII NIMEITOA SEHEMU HUKO INASEMA IMEANDIKWA KUTOKA USA: African music Star,Diamond Platnumz,from Tanzania has come into headlines throughout the world as he Successful switched on his TV Station...
6 Reactions
24 Replies
9K Views
Kuna Siku ulimuomba mungu ivyo ulivyo navyo je umekumbuka ?? Kimshukulu kwa yoye [emoji135][emoji135][emoji135][emoji135][emoji135][emoji135]
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa kizazi hiki ukubali ukatae, Diamond ndio anazungumziwa zaidi kuliko msanii yoyote hapa Tanzania kuanzia mitaani hadi mitandaoni Imekuwa kawaida sana Diamond kushikilia trending tano za juu...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa style hii ya Bongo movie kupigana vijembe na kuonyeshana chuki hadharani kweli mtafika? Juzi baada ya usiku wa tuzo kuisha na wasanii Wema na Gabo kuchukua tuzo wengi wameonyesha...
15 Reactions
73 Replies
8K Views
wapendwa kuna mjadala mkubwa ambao unaendelea wa nani ni real KING kati ya hao ma LEGENDS hapo juu,KWA utafiti ambao nimeufanya nimegundua wengi wanampa kula Michael Jackson sijui KWA kigezo kipi...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Msanii wa nyimbo za Injili nchini, Emmanuel Mbasha amesema amesikitishwa na taarifa alizozipata kuwa amempa ujauzito msichana anayevuma kwenye mitandao ya kijamii Agness na kudai hana mahusiano...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Rais wa WCB, Diamond Platnumz ametangaza habari njema kwa watanzania hasa hasa kwa wadau wa tasnia ya habari kwamba anatarajia kufungua Wasafi FM na Wasafi TV Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri...
6 Reactions
319 Replies
54K Views
Rapper kutoka Canada, Drake ameonyesha kuwa yeye ni moja ya watu walio na love ya kutosha na magari kwa kuamua kuvuta ndinga nyingine ambayo gharama yake ni sawa na gharama ya kurudia uchaguzi kwa...
4 Reactions
61 Replies
8K Views
Msani wa Filamu nchini Monalisa amewapongeza Azam Media kwa kuandaa Tuzo za Sinema zetu kwa wasanii wa Filamu kwani zitaamsha hamasa ya tasnia ya filamu hapa nchini na kuwalaani vikali wote wale...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa kimataifa grade one kutoka nchini Tanzania Diamond Platinums kutokana na kuteswa kimapenzi kila kukicha na walimbwende , ndugu ,jamaa na marafiki wa karibu wameamua kukaa kitako...
0 Reactions
26 Replies
9K Views
kweli Dunia imevaa matambaa ,zile tabia za Sodoma zinaendelea kuzaga. hadi wale watumwa waliopelekwa huko wanasaidia ma boss wao kuusambaza usenge
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wiki mbili zilizopita jina la Diamond Platnumz lilipamba vichwa vya habari. Hiyo iliyokana na mahojiano aliyofanya na kituo cha redio cha Times Machi 19 mwaka huu, akimlalamikia Naibu Waziri wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Zari The Boss Lady ametua nchini Dubai kwa ajili ya kula bata na kufurahia wikiendi ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliposaini dili la mamilioni ya fedha na kampuni moja ya nepi za watato hapa...
7 Reactions
42 Replies
9K Views
Sidhani comedians wetu kama wanaweza kufikia hata nusu yake zaidi ya kuigiza sauti tu
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Watanzania mnayapata wapi mapenzi ya Wema Sepetu kwenye bongo movie? Kipi special kwa Wema ambacho anafaa kupewa tuzo ya Best actress? Nimeangalia Heaven Sent ni movie ya kawaida sana ambaye...
2 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom