Aslay ameamua kuachia ngoma nyingine akimshirikisha msanii Bahati kutoka kenya wimbo ukiwa unaitwa BORA NIFE huku WCB wakiwa wameachia video ya wimbo wao unaotrend KWANGARU Karata yako inakwenda...
Jux kupitia brand yake ya African Boy alisaini dili nchini China. Sasa mpenzi wake, Vanessa Mdee hajawa nyuma kwenye hilo
Vanessa Mdee amempongeza Jux kwa hatua hiyo aliyopiga na kuwashukuru watu...
LICHA ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume bado hali ya staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ ni tete ambapo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, amejitosa...
Mbosso ni msanii mpya chini ya uongozi wa WCB. Kabla ya kusajiliwa WCB, Mbosso alikuwa Msanii wa Yamoto band..
Mbosso ameonyesha tamaa ya pesa baada ya kutoa nyimbo yake ya kwanza WATAKUBALI...
Mtangazaji wa Cloud aacha kazi ya utangazaji,aamua kufanya muziki afuata nyazo za kina Ray C
MTILAH BLOG / 7 hours ago
Michael Lukindo
Kama wewe ni msikilizaji mzuri wa radio hasa Cloud Fm...
Kuna wakati nilipita kule kwa wenzetu ule mtandao ulionishinda nikakuta huyu dada anaonewa sana kwasababu ya alitangaza ametengeza million 100 kuuza mtumba na duka lake kwenye hii kipindi fulani...
Tafadhali nitajie watu maarufu waliopo humu JF,wamuziki ,bongomovie,wanamichezo,...nk mana naweza mkuta msanii wangu pendwa humu bila kutegemea nikawa karibu nae.
niliona post moja carol ndosi...
Wakuu
Mimi naomba kufahamishwa kuhusu huyu Apocalypse Bella,ni mtu wa namna gani.Anajishughulisha na nini,na raia wa nchi gani.
Mara nyingi huwa namskia Christian Bella akimuimba Sana,na yeye...
Heshima kwenu wanaJF,
Naomba nizungumze kidogo juu ya Dada yetu, ambae amekuwa mstari wa kuupotosha umma wa wanawake kwenye kudai haki zao.
Naomba ieleweke hakuna mila inayomkandamiza mwanamke...
Taarifa za chini chini kutoka kwa mchunguzi konyo mange kimambi inasemekana Diamond platnumz anamiliki asilimia 20 ya wasafi TV na radio...Mara ya kwanza watu walivyodhani hii TV na radio...
London (CNN)World leaders and political figures will not be invited in their official capacities to the wedding of Prince Harry and Meghan Markle, the UK royal family announced Tuesday.
Former US...
Amber Lulu kauanza vizuri sana huu mwaka, akiendelea kukaza hivi baada ya mda mfupi atakuwa mbali sana. Jini kisirani imekuwa hit song kama ilivokuwa papa ya gig money mwaka jana.
Umeua sana...
Wimbo wa picha yake ndio ujio mwingine Mbosso kutoka wcb.
Safari hii producer ni mhindi mwenzie Akili the brain, ama kweli producer wa sasa kamtendea haki wimbo una hisia na kunachemistry kati...
Kuna baadhi ya wasanii wa 'hip hop' ambao wamekuwa wakijiita ni 'bora zaidi' na wao wanafaham misingi ya Hip Hop! Kati ya wasanii wanaojiita hivyo ni Kalapina na kundi lake la kikosi cha mizinga...