Niende moja kwa moja kwa huyu mwamba joslini mzeee Wa pafyumu yaani alitikisa balaaaa na baadhi ya nyimbo zake kama niite mpenzi,mshikaji mmoja,maisha yanatisha ft nuruel,huyu demu simwelew ft...
Salute comrades..
Leo namleta kwenu mchekeshaji na mwigizaji maarufu kutoka Afrika kusini Leon Schuster aka Mr bones.
Kwa wapenzi wa filamu basi watakua wanamfahamu huyu jamaa .
Anaitwa Leon...
February 19, 2018
Mwanamitindo maarufu Nchini Tanzania amealikwa ktk Makazi ya Malkia Buckingham Palace ya London Uingereza. Mustafa Hassanali amepata nafasi ya kualikwa kuhudhuria maonesho ya...
Kila nikimsikia akifanya ' mahojiano ' yake ya Media mbalimbali hapa Madafuni / Tanzania utamsikia Msanii Ben Paul akitamba / akijifaragua / akijishebedua / akijimandingondingo kuwa Yeye ni Mfalme...
Msanii wa Filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kuhusu tabia ya baadhi ya wanawake kutopenda mafanikio ya wazao badala yake wapo tayari kushuhudia wenzao wakishindwa.
Muigizaji huyo amesema watu...
Salaaam wanajamvi.
Kwa wale watumiaji wenzangu wa mtandao wa kijamii wa instagram wengi wenu mtakuwa mmemfollow mwanadada machachari anaeweza kuikosoa serikali bila woga:- Mange Kimambi...
Divorce act inahusu watu walio nje ya ndoa pia: NENO TARAKA LIMETUMIKA KWA KUKOSEKANA KWA TAFSIRI YA KISWAHILI
NOTE: PLEASE, SOMA ARTICLE NZIMA KABLA YA KU COMMENT ILI KUELEWA MADA.
Vyanzo vya...
Wasanii Aslay na Nandy wamepigwa faini ya milioni 5 kwa pamoja kutokana na kukiri, kukubali kosa kuimba wimbo wa 'Subalkheri Mpenzi' bila kufanya mawasiliano na wamiliki wa wimbo huo ambao ni...
1.Vanessa mdee
Huyu pamoja na kuwa na jina kubwa ila hana lolote kiukweli anaboronga sababu nyimbo nyingi anajifanya anaimba kizungu. Huyu dada ukisikia ameenda nje ya nchi ni kutafuta collabo au...
Blogger Mange Kimambi wa u-turn Blog ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam.
Polisi wamemkamata wakati ameenda kuchukua fomu ya kutia nia kuomba ridhaa ya kugombea ubunge...
Kwa ninachokiona hapa Escape 1,ni tofauti kabisa na kile kilichokuwa kinapewa promo na Clouds,kwamba hii ndio show kubwa ya kwanza 2018....mmmmmmhhhhhhhhh,jamani LIVE band itabaki kuwa ni ya...
Ndugu wadau mimi ni mpenzi wa TV 1 hasa kwenye kipindi tajwa hapo juu huwa nakipenda sana japo kinaonyesha ni cha muda mrefu huwa nikiangalia napata maswali sana moja ya swali ni Yule kiongoz wa...
Huyu dada kila ukitaja wasanii wa hip hop wa kike hapa Tz huwezi kumkosa.
Lakini personally uwa anavyo flow naona kawaida sana hata mistari yake naona myepesi tu.
Wimbo nilioukubari ni up in the...