Kama hupendi na kufuatilia kashfa zao Utapenda nyimbo zao.
Wanasuswa na media wanasahau dunia ya Leo ni ya kidital ni online advertisement inakutoa.
Kupitia smart phone unaweza kukaa mwaka...
Msanii wa filamu bongo ambaye hivi karibuni amekuwa akipokea michango kutoka kwa watu mbali mbali kwa ajili ya matibabu, ameweka wazi moja ya sababu iliyofanya ndoa yake na kigogo wa CCM Sadifa...
Habari,
Mimi nilisoma vitabu vya mwandishi will Gamba wakati nimeanza kujua kusoma has nikiwa darasa la tatu na nne.Ningependa kufahamu kama kuna mwenye taarifa za huyu mtu.Je huyu Will Gamba...
Uganda. Uongozi wa Jiji la Entebbe nchini Uganda umeifunga Baa ya De ambayo mwanamuziki Moses Ssekibogo maarufu kwa jina ‘Mowzey Radio’ alikuwapo na kujeruhiwa wiki mbili zilizopita...
Kwa anayejua,mrembo wetu Kipenzi,Tunda Sababasita amepeleka mimba wapi?
Mbona nilimwona akiwa na mimba kubwa tu akipokea pongezi nyingi?Aliyeiba mimba ya Tunda naomba airudishe!
Padri aliyeendesha misa ya kumuaga marehemu #MowzeyRadioaitwae Katerega Kiibi jana kaendesha misa vizuri. Nilichopenda kutoka kwake aliongea ukweli wote bila kuficha kitu mbele ya kadamnasi...
Msanii Radio wa nchini Uganda ambaye alifariki Februari 1, amezikwa leo kijijini kwao Nakawuka nchini Uganda, na kuhdhuriwa na maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi hiyo na wasanii wa...
Moja kati ya sector zinazokuwa kwa kasi barani Africa ni fashion na entertainment. Pia nimoja ya sector inayo tengeneza multimillioners wengi Africa. Ma makeup artists wamejizolea sifa yakushiliki...
Mwanamuziki wa kimataifa Rihanna anategemewa kuhudhuria mkutano mkubwa nchini Senegal,lakini vikundi vya dini nchini humo wamekataa kumpokea, chombo ch habari cha Jeune Afrique kimeripoti...
Katika kuonyesha gemu ya Bongo Fleva inashika mizizi wasanii Aslay na Nandy siku ya leo wamevuta mkataba mnono wa takribani milioni 700 na kampuni ya kuchezesha bahati nasibu ya Tatu Mzuka...
Nimekuwa nikipata muda japo si mara zote kufatilia vipindi vya Bongo movie vya huyu mtangazaji machachari Joyce Kiria tangu akiwa Channel ten na sasa EATV,kwakeli namkubali for me she is...
Habari wanabodi.
Mwanasiasa kijana anayependwa mno na vijana wenzie, Mheshimiwa January Makamba Leo ametimiza miaka 44. Mheshimiwa January amezaliwa January 28/1974.
Kwa niaba ya wana Jamii...
Habari za kunyapia zinasema kuwa usiku wa jana damu imemwagika. Baada ya vijana wa Wcb kuwapa kichapo cha mbwa mwizi wambea wa Silawadu sudi brown na kwisa mzee mkavu.
Inasemekana sudi brown...
Wasalaam
Baada ya Queen Darleen kumfumua Baba Diamond, Baba yake mzazi huyo na yeye amemlipua Queen Darleen. Zari, Wema na Mama Diamond watajwa. .
Akizungumza na online TV moja, Queen Darleen...
Wakati Eminem alimpo mdisi Donald Trump wakati akiwa na BET na baadaye kwenye nyimbo kadhaa katika albamu yake iitwayo Revival, Rais huyo hakumjibu mahali popote kwenye vyombo vya habari vya...
Usiku wa kuamkila leo WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz, wamemtambulisha msanii wao mpya Mbosso ambaye alikuwa Yamoto Band.
Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali...
Mitandao ya kijamii kuanzia jana (Januari 30), iligubikwa na taarifa kuhusu kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi kati ya Kinjekitile Mwiru almaarufu Kinje, na kasichana ka mjini, Tunda Sebastian...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.