Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ni zaid ya miaka mitano sasa Fid q anatupiga kalenda kuhusu ujio wa album yake ya KITAAOLOJIA na Jay moe nae anatuzuga kuhusu album ya MOCUMENTARY. Na mwaka huu Joh Makini naye kaja na nae...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa burudani Team kiba na team diamond naomba mtupe nafasi kidogo maana naimani wengi wenu hamjui uyu mtu ila kwa tarifa yenu kuna wasanii walishafanya makubwa uko nyuma sema...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanya
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Yawezekan zipo nyuzi nyingi kuhusu Wasafi FM na TV ila mod naomba usiunganishe uzi huu ili mawazo yangu hatimae yamfikie Fella, Salaam na Tale. Ninashauri hawa wasemaji wawili Manara na Muro, kama...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Hivi ndivyo ilivyokuwa I guess only totoz where invited..
3 Reactions
185 Replies
26K Views
Inasemekana hawa jamaa huwezi kuwapika chungu kimoja na haziivi kabisaaa eti kisa tu kila mmoja anajiona ni zaidi ya mwenzake. Imekuwa ni vigumu Kwao kukubali au kukanusha hili pale wanapohojiwa...
3 Reactions
374 Replies
54K Views
Kwa wale wapenzi wa burudani watakuwa sio wageni na pichaa hii ya fiesta morogoro 2012 ilisambaa sana kwenye mitandao sema wengi mlikuwa primary
3 Reactions
30 Replies
11K Views
Vichwa vya wasafi group kwa sasa vimejaa starehe tu na vinafikria ngono na pombe. Hawawezi kujishughulisha kutunga tena wimbo kwa kutumia vichwa vyao kama ilivyokuwa zamani. Alianza kubwa lao...
5 Reactions
48 Replies
7K Views
Hiyo ndiyo hali halisi ya sanaa ya bongo kwa sijui ni kwa sababu vyuma vimebana au vipi,jibu wanalo wao wasanii wa bongo kwa sasa wale wenye majina wamebaki kupiga copy na kupaste mradi majina yao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndiyo wakuu ! Kwa walio na access to Radio na Tv cloudz ,taratibu za kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa The Great zinaendelea. Tayari viongozi wa kitaifa wamesha wasili. Vilevile mwili wa...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Huyu ndio sepenga wa 2018, mambo ni motooooo.. Ila mi nasemaga skuzote wema asingemkabizi mchina hlo kalio lake alikua ni moja kati ya wanawake warembo kuwahi kuzaliwa kwenye ardhi hii ya...
4 Reactions
29 Replies
8K Views
Msanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu, Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake...
4 Reactions
54 Replies
7K Views
Hii tabia ya kung'ata lips kisha unaishia kwa kasi hadi inatoa sauti mimi najisikia mfadhaiko sana. Kila ukisoma habari hapo luningani Azam two mimi husubiria tukio hilo unalolipendaga mara kwa...
9 Reactions
64 Replies
19K Views
Nimekuwa nikiongea na wanamuziki wengi wa kutoka DRC zamani Zaire wanasema mafanikio yao yanachangiwa sana na kuheshimu mchango wa Mwalimu wako wa Music. Mfano Mwanamuziki kama Koffie Olomide...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakulu huyu ndio Mbunge mtarajiwa jimbo la mtera na waziri wa Teknolojia mtarajiwa Mutuz Le Baharia Big Show @ NEW YORk Currently @ Dodoma,Bongo!
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Ndugu yangu Le Baharia Lemutuz, the Big show, Sauti za Umeme @NY amepata ajali nyingine ya kisiasa pale kigamboni baada ya kuangukia pua katika uchaguzi wa viongozi. Waliopita kidedea ni Ndg...
3 Reactions
189 Replies
28K Views
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu jana alionekana viwanja vya Hilton Double Tree Hotel akiwa anavinjali na mzee mzima Le Mutuz anaejiita "The King Of All Bongo...
0 Reactions
117 Replies
18K Views
@ My new home 3 bedrooms apartment at downtown bongo Jamhuri Street, nilipoanza kuikarabati miezi sita iliyopita na leo baada ya kuhamia I just want to thank my God kwamba 3 years za ku hustle...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
Le Mutuz amepost hii kwenye blogu yake Makelele yamekuwa mengi sana nimesema hivi ninapata taabu sana kubishana na na hicho kimama kizee huko UK kinachopiga mapicha ya uchi kikiwa kimevaa...
0 Reactions
302 Replies
54K Views
Back
Top Bottom