Hitmaker wa Makulusa, Rayvanny aliyesainiwa kwenye label ya WCB-Wasafi iliyo chini ya Diamond Platnumz, amepatiwa tuzo na YouTube.
Na hawa ni baadhi ya mastaa duniani waliopewa tuzo na YouTube...
Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa...
Msanii Ali Kiba anaye amezindua biashara ya kuuza kofia aina ya Cap huko Nairobi Kenya, gavana wa Mombasa Hassan Joho ameonekana akizipigia promokwa kuzivaa
Ali Kiba pia ameibuka kididea kwenye...
Kutoa ni moyo na wala sio utajiri. Rapper Sean John Combs maarufu kama P Diddy amechangia kiasi cha dola 100, 000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 224 za kitanzania.
Msanii huyo ametoa fedha...
Inasemekana hali ya steve nyerere bado sio nzuri ,aomba kama kuna aliyemloga amsamehe
=======
Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema ana wiki mbili yupo...
Inasemekana ule msemo wa chenye mwanzo kina mwisho umetimia kwa hii couple ya diamondplatnumz na zarithebosslady imevunjika rasmi,chanzo cha mvurugiko huo ni usaliti wa diamondplatnmz
Inasemekana...
Umeshawahi kusikia chochote kuhusu LB Apparel Brand ya Fashion inayomilikiwa na Mtanzania Mwenzetu in US?
Basi ndio huyu, She is 41;but look at her yashhhh, Salut
BTW,she is a sister of a former...
Habari zenu ndugu zangu Watanzania,
Jana nilibahatika kutazama kipindi kinaitwa Shilawadu, na mwishoni yule mtangazaji akasoma makala iliyoandikwa na Wastara, waraka ule unatia huruma sana na...
Mim huyu kaka aigize sterling ama jambazi napenda tu movie zake,,
Hapa nilipo nimechelewa kwenda sehemu ilianza kuonyeshwa movie yake ya crank kama sikosei hakika huwa hakosei.
Sio kwamba...
lemutuz_superbrandtzMKATABA MPYA MIAKA 2 KUWA BALOZI WA CONTEMPORARY PROPERTIES COMPANY LIMITED.....After the Beach back to Serena Hotel a Business meeting with Team Contemporary Properties...
Mwaka 2018 umeanza vizuri kwa nyota wa Tanzania diamond platnumz baada ya usiku wa kuamkia leo nchini Nigeria kulifanyika tuzo za Sound City MVP na kuudhuriwa na mastaa wote wa Nigeria.
Diamond...
Nimekutana na kaubishi jioni hii .
vijana watatu wakibishania Mkali wa Jamaica katika miondoko Ya Dance Kali Kali inayochanganya na reggae .
Mi sikuwaingilia kwasababu pale Jamaica Bangi nyingi...
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
Leo nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita...
wadau huyu mtangazajiwa chanel ten cyprian Musiba ametokomea wapi sijamuona kwenye kipindi cha sport long time au anajipanga kula za maoni ubunge 2015 ?
Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Ilala imekubali kusikiliza maombi ya kampuni ya Tigo, kuhusu fidia ya Sh2.1 bilioni ilizoamriwa kuwalipa wasanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya, Hamisi...
Huu ni ujinga kufanywa na babu anaekaribia kufikisha miaka 60, Tafadhali old boy waheshimu hata wanao uliowazaa they don't deserve Father of this category.
Sherehe ya kuchumbiwa kwa Staa wa sinema za Kibongo na Malkia wa Mavazi, Jacqueline Wolper imezua gumzo la aina yake baada ya muoaji kufanya kufuru ya aina yake. Sherehe hiyo iliyohusisha msafara...
Natoa ushauri wangu wa bure kwa Lemutuz aache kabisa kutoka na watoto maana leo kadhalilishwa mpaka tumeona tusivyotakiwa kuona.
Please oa kabisa, sidhani kama angekua mkeo angefanya kitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.