Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Baada ya tetesi kuzidi kuenea katika mitandao ya kijamii na watu kuzidi kusema kuwa inawezekenaTunda ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond Platnumz kutokana tu na ukaribu walionao wawili hao...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Anaandika Kibona Dickson: Huwa sina tabia ya kujadili mambo ya watu binafsi.Leo,ngngoja nitoe maoni yangu juu post ya Joyce Kiria,inayozunguka sana kwenye social media. Joyce Kiria ni mwanamke...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii wa muziki Bongo, Dully Sykes amesema baadhi ya watu wamekuwa wakihofia kumpa nafasi anayostahili katika muziki kwa madai kuwa huwa hapandi ndege wakati yeye ndiye msanii wa kwanza Bongo...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwanini joyse kiria super woman huwa havai pete ya ndoa?
1 Reactions
49 Replies
12K Views
Anaandika Dada Joyce Kiria wa Wanawake Live! -------- Nimekunwa mnoooooo na hii post ya Mange huko www.u-turn.co.tz hii post nimecopy ukitaka orijino ya Mange nenda www.uturn.co.tz MANGE...
0 Reactions
84 Replies
12K Views
....CONGRATULATIONS....JOYCE KIRIA...! Starring Bongo Movie na Mtangazaji wa vipindi vya Bongo Movie na Wanawake Live vinavyooneshwa na ting'a kali No 1 kwa vijana aka 5-EATV,Joyce Kiria kwa...
1 Reactions
59 Replies
21K Views
Mtangazaji Mashuhuri wa Kipindi cha Wanawake Live Bi Joyce Kiria leo 06/03/2012 ameweka bayana kiwango chake cha elimu na kusema kwamba licha ya kwamba ameishia darasa la saba tu lakini ni...
7 Reactions
190 Replies
31K Views
Nimemchunguza kwa muda mrefu na hatimaye nimegundua kuwa msanii kutoka tiptop connection Tundaman aliyewahi kutamba na ngoma kama vile starehe gharama , nipe ripoti nk anamchukia kupita kiasi...
6 Reactions
54 Replies
14K Views
Mrembo mwenye mvuto wa hajaa aliyebarikiwa kuanzia unyayo mpaka ncha ya nywele ambaye hachoshi kumtazama ajulikanaye kama Anna Patrick Kimaro (Tunda Saba Sita au Cleopatra) hatimaye wazee wa...
1 Reactions
272 Replies
43K Views
Msanii Mkongwe wa Bongo Flava, Afande amefunguka sababu ya kukaa muda mrefu bila kutoa ngoma mpya. Mkali huyo wa rhymes ameiambia Planet Bongo ya EA Radio yupo mbioni kutoa ngoma mpya kwani watu...
5 Reactions
58 Replies
10K Views
Wadau huyu jamaa amesikika kwenye beat nying sana mpaka sasa, achilia mbali kusikika tu ila ameweza kuleta ladha ya kipekee katika bongo fleva.... Wasanii kama Aslay, Rayvan, Y tonny, Timbulo na...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Faiza Ally amempa ushauri msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kuwa kwa sasa ni muda wake wa kula ujana na kuizunguuka dunia na sio muda wa kujipa...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
kipibora kwakijana alive kata tamaa ya kuishi kufabila mtoto au kuacha mtoto bila malezi bora ya baba na mama ?
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Heloo! Yule mrembo anaitikisa kwenye baadhi ya video na show off za instagram Tunda yasemekana yupo kwenye mahaba mazito na nguli wa bongo fleva baba Dylan aka baba Tiffah dangote. Wawili hao...
13 Reactions
174 Replies
30K Views
Habari wadau, Katika vijana wakubwa sana kuzaliwa Africa. Diamond huwezi muweka pembeni. According to forbes George weah ndio most famous african son kuliko wote.. baada ya Nelson Mandela ambaye...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani jamani haka katoto Tunda katakuja kuvunja ndoa yangu siku si nyingi walahi. Yaaani haka katoto kamebarikiwa kila sekta hakika nathubutu kusema aliumbwa na kunakshiwa na udongo wenye...
6 Reactions
79 Replies
13K Views
Msanii wa kike wa muziki wa Pop nchini Misri ajulikanaye kwa jina la, Shyma amejikuta mikononi mwa polisi Jumamosi ya wikiendi iliyopita baada ya kuachia video ya wimbo wake mpya ujulikanao kwa...
7 Reactions
83 Replies
16K Views
Habari wanajamvi..... Hili post/thread halihusiani na siasa........ Jana nilimwona wastara wakati anahojiwa na Vijana wa shilawadu (Kwisa na Soudy Brown) kiukweli huyu dada n mgonjwa na...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Sijui ni Mimi tu namuona hivo au na wengine wanamuona hivo lakini ukweli ndio huo. Ni mshamba hata kwenye arusi yao alithibitisha ushamba wake
4 Reactions
126 Replies
17K Views
Wadau wa JF, Wapo wasanii/ awnamichezo wengi waliofanikiwa duniani kupitia kazi za mikono yao. Hata hivyo wapo wachache walioamua kuishi maisha ya kumcha Mungu wakiwa bado katika kilele cha...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom