Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mi naona kama wanashabihana for some character huwa siwaelewi hawa ndugu zetu Any wayz. Najua wana bodi mna mengi kuhusu hawa watu Hasa ki mienendo yao.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mkali wa muziki wa Chakacha na Mduara AT ambaye jana tu ameachia wimbo wake mpya wa 'Kazi yao', ametoa ushauri mzito kwa Babu Seya akimtahadharisha kuhusu kiki. Ikiwa ni muda mfupi tu tangu atoke...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Mastaa wetu wa Kibongo mmelewa nini na jina "Lulu" mnatuchanganya wadau wenu. Ona hapa 1. Lulu Maiko 2. Lulu Diva 3. Lulu Semango 4. Amber Lulu 5. Aunty Lulu nk nk Wataalam wa "Brand Name"...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa tangu amtongoze mzazi mwenzie, Zari mwaka 2014 ndio ilikuwa mara yake ya mwisho kufanya hivyo hajawahi tena kutongoza mwanamke...
0 Reactions
64 Replies
15K Views
Hivi kati ya hawa wasanii wawili wanaounda kundi la weusi nani mchafu zaidi katika kurap.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Msanii wa filamu, Wema Sepetu ameibuka na kudai kwamba yeye si mwanamke ayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza. “Mimi napenda mwanaume anayejielewa,mwenye upendo...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
The lendary and only one trumpeter wa Afrika Kusini,Hugh Masekela amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78. Kwa vijana wa kileo itakuwa vigumu kumfahamu huyu gwiji wa jazz toka Sauzi. Lakini kwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Hello guys Kwa mnaofuatilia vizur patrick ngowi alivokuwa na miaka 27 aliingia kwenye forbes africa under 30 list huku kampuni zake za solar ikiwa na revenue ya 2million usd kwa mwaka, akaitwa...
17 Reactions
90 Replies
14K Views
Mange Kimambi on Wanawake LIVE! Azungumzia maisha yake binafsi, mipango yake na ndoto yake ya kuolewa na mzungu.
1 Reactions
78 Replies
12K Views
Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la "I'M SORRY MAMA" mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi...
1 Reactions
207 Replies
70K Views
Mama mzazi wa muigizaji wa filamu hapa nchini, Irene Uwoya amefunguka na kueleza kuwa hamtambui mume wa sasa wa mwanaye, Dogo Janja na anachokijua yeye ni kuwa mume wa ndoa wa mwanaye amefariki...
3 Reactions
49 Replies
8K Views
Habari wanabodi, Jana majira ya saa nne nilipokea simu kutoka mtu wa karibu kunifahamisha vifo vya members wa team ya Diamond online,Platnumzmond na Nevvo Msafi ,walipata ajali maeneo ya...
4 Reactions
90 Replies
16K Views
BARUA KWA MAMA. Jina langu ni Aslay Isihack, jina hili alinipa Mama yangu mwenyewe Bi. Mozza kutokana na maisha niliyopita ya Muziki wengi wananifahamu kwa jina la Aslay. Barua kwa Mama yangu...
8 Reactions
59 Replies
51K Views
Habari za uhakika ni kwamba wadhamini wa kipindi cha wanawake laivu wameacha kukidhamini kipindi hicho Katika hali yakubabaika mwanadada huyo kageukia chama cha mapinduzi ili kimsaidie na kama...
13 Reactions
99 Replies
15K Views
Habari wadau. Najua wengi tumeona habari za ajali ya vijana wawili ambao ni mashabiki tu wa WCB >> Tanzia: Team Diamond, Nevvo Msafi na Platnumzmond wafariki dunia Imekuwa huzuni mitandaoni...
23 Reactions
45 Replies
11K Views
Mtangazaji mahiri aliyetikisa na kipindi cha Take One ya Clouds TV, Zamaradi Mketema amewajibu waliodai kuwa baadhi ya jumbe zake kwenye Instagram zinatokana na kuwa na msongo wa mawazo(stress)...
4 Reactions
30 Replies
8K Views
Mwamba wa Kaskazini anayesumbua masikio ya wapenda burudani na ngoma ya 'Mipaka' Joh Makini amepangua tetesi za kujihusisha kimapenzi na mwanamuziki Mimi Mars ambaye pia ni mdogo wake msanii...
0 Reactions
33 Replies
9K Views
Nyamirambo - Kigali, Watu kutoka huku na kule walifurika siku ya Jumamosi Januari 20, 208 kumuona mubashara msanii wa kitanzania Diamond Platnumz. Msanii huyo alikwenda sehemu inaitwa Tapis Rouge...
3 Reactions
25 Replies
8K Views
Huyu dada ana shida, Watanzania huyu dada anaumwa anahitaji msaada. Nimemuona Clouds tv akijieleza kwa uchungu! Tuweke mzaha, masihara pembeni tumsaidie atibiwe. Kiukweli ukitazama akiongea...
7 Reactions
94 Replies
11K Views
Nimejaribu kupitia post za hii akaunti ya mtu anayejiita Joyce Kiria kwenye facebook lakini hizi post zinanipa wasiwasi kama kweli ni yeye kapost au ni mahasimu wake. Ili kama si yeye anayepost...
6 Reactions
384 Replies
74K Views
Back
Top Bottom