Kwa hakika kama unamfuatilia Soudy kwa makini utagundua fika kuwa umbeya wake umejikita kwa wasanii wa bongo muvi na bongo fleva , video vixens ,na wana mitindo .
Kamwe huwezi kumuona Soudy...
Maisha ya bondia Conor McGregor yamebadilika kabisa kwa sasa toka alivyopigana na Mmarekani Floyd Mayweather katika pambano la kihistoria na lililoingiza fedha nyingi.
Gregor amekuwa akiishi...
Kiukweli kama Mwanaume ambaye Kiafya kila siku lazima tu Mnara wangu wa Babeli ( namaanisha Uume wangu au Mkuyenge ) huwa unasimama asubuhi kunidhihirishia kwamba nipo vyema Kiurijali huwa natokea...
Mtangazaji wa Taarifa ya habari ya Azam two, Ivona Kamuntu jitahidi ubadilike kwani unatuboa sisi watazamaji wako wa taarifa ya habari. Umekuwa na tabia ya kurudia rudia hilo gauni lako la kitenge...
Mama Mobeto.
KWA siku kadhaa kumekuwa na ubuyu mzito kuwa, mwanaume anayedaiwa kumuona mama wa msanii wa Bongo Fleva, Sanura Kassim almaarufu Bi Sandra anayetambuliwa kwa jina la Salum Shamte...
Ni Aibu kuu tumedhalilishwa sana watanzania pamoja na wanawake wengine wooote kwa alichokifanya Dada Faiza, kupitia page ya Mange Kimambi Instagram, kutoa na kuonyesha hadharani Chupi yake...
Kila kitu na wakati wake
Naona ngoma ikivuma sana mwisho upasuka sasa naona upepo wa Team diamond,Team Kiba umefika mwisho. Hii imetoka na wadau wa Muziki kuchoka na kuona kuwa uwezo wao wakuimba...
Mtumishi wa mungu sijui mungu gani anajua yeye ,,
kajua kunivunja mbavu aisee kampa huyu mwanamke kichambo cha haja cha kistaarabu nimecheka sana ila watu wengi kwenye kuzingatia kuandika ni...
Mke wa mchekeshaji steve Nyerere amezungumzia kuhusu dada mmoja wa bongo movie kunyang'anya mume wake na kudai kuwa steve ataenda popote lakini atarudi tu kwa kuwa yeye ana watoto wake,
Amesema...
Kiukweli huyu mzee tulivipenda vitu vyake ila tusimlazimishe kurudi kwenye Sana'a ya mziki! Huyu mzee kachoka na kazeeka hivyo hata akirudi kwenye muziki performance yake itakuwa poor.
Ingawa...
Washiriki wa shindano la Avance Media kwa Watanzania 50 wenye umri mdogo na wenye ushawishi kwa mwaka 2017 wametajwa.
Watanzania hao 50 huchaguliwa kwa kupigiwa kura wakitokea katika sekta...
Huyu jamaa nimekuwa nikimfuatilia muda mrefu.. Aisee huyu jamaa ni kichwa sana.. Yaani unaweza ukachukua threads kibao za JF na comments za watu, lakini yeye akaweza kuyapresent kwa mchoro mmoja...
Baada ya kimya cha mda mrefu ruby amukuja na muonekano mpya wa kimaumbile ambao unashawishi kumtazama kila akipita mbele yako, hakika zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo
Kulikua na mburudishani mmoja miaka ya mwishoni ya 80 akijulikana kama Queen Clouds alikua ni mchezaji wa disko miaka hiyo , mwenye kumkumbuka na kujua yuko wapi atupatie taarifa.
Wanasema "Like Father, Like Son" naona mtoto wa zari na aliyekua mpenziwe marehem Ivan Don, Raphael, ameanza kufata nyayo za baba yake baada ya kuonekana akiwa na mabunda ya hela huku akileta zile...
Umofia Kwenu wana JF,
Habari zilizonifikia hapa minjingu ni kwamba msanii wa sinema za kibongo aliyetamba na movie ya swahiba,Rich mtambalike alias Rich Richie ameshusha mjengo wa ghorofa moja...