Wadau
Ray C yupo live TBC akiwa Mlimani City ana perform kwenye tamasha la Dar fresher's day.
Ukweli yupo vizuri sana tofauti na niliaminishwa hapo awali.
Mungu azidi kumtia nguvu na afya.
Hii ni orodha ya wasanii ambao kwa mwaka huu umekua mzuri kwao, nikimanisha ndio wanaongoza kwa kulipwa pesa nyingi..
Namba 10- Le Bron James mchezaji kikapu mahiri mwaka huu kaweka kibindoni...
Ndo maana ni vigumu kuona mweusi akiwa sehem ya mamlaka akamnyanyua mweusi mwenziye kwa kumpa tenda atampa mtu wa rangi tofauti tuu ndo maana nchi yetu uchumi umetawaliwa kwa %80 na watu wenye...
Mara nyingi kipindi cha hivi karibuni amekuwa akitoa Audio ambazo huwezi kusikiliza mara mbili sikioni tofauti na mwnzake king kiba
Domond amekuwa akiuza sana kupitia vidio tofauti na Audio maana...
Ulishawahi kujiuliza kwamba maisha yatakuaje kama ungekua na utajiri wa Bilioni 900 za kitanzania.? Fikiria umeipata hicho kiwango kwa siku moja au kwa kujumuisha miaka yako yote..utazitumiaje...
Ipi kati ya maumivu per day (kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya kariakooo) na hii ya waka waka ( kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya tandare) ambayo platnumz kamshirikisha yule mvuta...
habari za majukumu wana jamvii..?
kama kichwa cha uzi kinavojieleza.
Nina ka hotel kangu huko mikoa ya pwani.Tokana na wimbi kubwa la wateja wangu wanapenda singeli.Nimeonelea hawa wasanii...
Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond...
Bilionea wa Jiji la Dar es Salaam ambaye kwa sasa amekuwa gumzo Dkt Louis Shika aliyejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Usiku wa jana palikuwa na tuzo za dunia huko uingeleza london
Wasanii kutoka afrika walikuwa wanashindania tuzo mbili ambazo ni kipengere cha msanii bora wa...
Msanii kutoka label ya king's music inayomilikiwa na Ali Kiba aitwae Abdukiba anatoa wimbo iitwayo Single. Akiwa amemshirikisha AliKiba.
Nimeona vipande vya hiyo video ni nyimbo mbaya haijawahi...
Mmoja kati ya vijana wa yamoto band (mkubwa na wanawe) Maromboso yupo kimya sana tofauti na wenzake kama Aslay, Beka flavour, Enock wote wametoa nyimbo as solo artist. Lakini bado maromboso...
Frola Mtegoa.
MAMA wa staa wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema kuwa, kutokana na matatizo yaliyompata staa wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kuhukumiwa...
Kiukweli tusiseme uongo hakuna asiye jua kazi nzuri ya huyu kijana wetu hapa Bongo.. Dogo Aslay pamoja na kuwa na kipaji cha sauti.. Yani sauti natural haimbii puani anautunzi flani hivi mzuri...
Jacquline Wolper amesema kuwa mastaa wengi hawapendi kupeana ‘sapoti’, kiasi kwamba hata kama staa mwenzao akiwa na biashara yake wapo radhi kununua kwingine lakini si kwake, ili tu wamkomoe...
Hatimaye bondia machachari na mwenye pesa, alieweka rekodi ya kutopigwa kwa mapambano ya ngumi 50, amejipongeza kwa kushinda pambano lake la mwisho na McGregor ambae ni bingwa wa UFC, kwa kununua...
Kama ambavyo ukitaja majina ya wanasayansi wakubwa huwezi kukosa kumtaja Newton, hivyo hivyo huwezi kutaja waandishi wa vitabu vya lugha ya Kingereza bila kumtaja William Shakespear.
Huyu ni...