Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wadau Ray C yupo live TBC akiwa Mlimani City ana perform kwenye tamasha la Dar fresher's day. Ukweli yupo vizuri sana tofauti na niliaminishwa hapo awali. Mungu azidi kumtia nguvu na afya.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni orodha ya wasanii ambao kwa mwaka huu umekua mzuri kwao, nikimanisha ndio wanaongoza kwa kulipwa pesa nyingi.. Namba 10- Le Bron James mchezaji kikapu mahiri mwaka huu kaweka kibindoni...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndo maana ni vigumu kuona mweusi akiwa sehem ya mamlaka akamnyanyua mweusi mwenziye kwa kumpa tenda atampa mtu wa rangi tofauti tuu ndo maana nchi yetu uchumi umetawaliwa kwa %80 na watu wenye...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Mara nyingi kipindi cha hivi karibuni amekuwa akitoa Audio ambazo huwezi kusikiliza mara mbili sikioni tofauti na mwnzake king kiba Domond amekuwa akiuza sana kupitia vidio tofauti na Audio maana...
5 Reactions
28 Replies
8K Views
Ulishawahi kujiuliza kwamba maisha yatakuaje kama ungekua na utajiri wa Bilioni 900 za kitanzania.? Fikiria umeipata hicho kiwango kwa siku moja au kwa kujumuisha miaka yako yote..utazitumiaje...
17 Reactions
129 Replies
18K Views
Asiwapigie rafiki zangu..niacheee....nasema niacheeeee....Ntakudanganya kwa tabasamu..ntakudanganya kwa kulikie picha.. wanasema kitanda ukitandika lazima ukilalie.. kijana unajua sana. hata...
24 Reactions
120 Replies
58K Views
Ipi kati ya maumivu per day (kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya kariakooo) na hii ya waka waka ( kutoka kwa simba anayepatikana mbuga ya tandare) ambayo platnumz kamshirikisha yule mvuta...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
habari za majukumu wana jamvii..? kama kichwa cha uzi kinavojieleza. Nina ka hotel kangu huko mikoa ya pwani.Tokana na wimbi kubwa la wateja wangu wanapenda singeli.Nimeonelea hawa wasanii...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi. Diamond...
6 Reactions
312 Replies
32K Views
Bilionea wa Jiji la Dar es Salaam ambaye kwa sasa amekuwa gumzo Dkt Louis Shika aliyejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
.
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Usiku wa jana palikuwa na tuzo za dunia huko uingeleza london Wasanii kutoka afrika walikuwa wanashindania tuzo mbili ambazo ni kipengere cha msanii bora wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Msanii kutoka label ya king's music inayomilikiwa na Ali Kiba aitwae Abdukiba anatoa wimbo iitwayo Single. Akiwa amemshirikisha AliKiba. Nimeona vipande vya hiyo video ni nyimbo mbaya haijawahi...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Mmoja kati ya vijana wa yamoto band (mkubwa na wanawe) Maromboso yupo kimya sana tofauti na wenzake kama Aslay, Beka flavour, Enock wote wametoa nyimbo as solo artist. Lakini bado maromboso...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Frola Mtegoa. MAMA wa staa wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema kuwa, kutokana na matatizo yaliyompata staa wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kuhukumiwa...
0 Reactions
39 Replies
11K Views
Kiukweli tusiseme uongo hakuna asiye jua kazi nzuri ya huyu kijana wetu hapa Bongo.. Dogo Aslay pamoja na kuwa na kipaji cha sauti.. Yani sauti natural haimbii puani anautunzi flani hivi mzuri...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Jacquline Wolper amesema kuwa mastaa wengi hawapendi kupeana ‘sapoti’, kiasi kwamba hata kama staa mwenzao akiwa na biashara yake wapo radhi kununua kwingine lakini si kwake, ili tu wamkomoe...
7 Reactions
32 Replies
5K Views
Hatimaye bondia machachari na mwenye pesa, alieweka rekodi ya kutopigwa kwa mapambano ya ngumi 50, amejipongeza kwa kushinda pambano lake la mwisho na McGregor ambae ni bingwa wa UFC, kwa kununua...
10 Reactions
191 Replies
13K Views
Kama ambavyo ukitaja majina ya wanasayansi wakubwa huwezi kukosa kumtaja Newton, hivyo hivyo huwezi kutaja waandishi wa vitabu vya lugha ya Kingereza bila kumtaja William Shakespear. Huyu ni...
8 Reactions
74 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…