Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mr.Nice akifunguka kuhusu utajiri wake ulivyotoweka ghafla!. Katika hali yakushangaza, Lucas Mkenda au maarufu kama Mr.Nice, finaly afunguka kuhusu utajiri wake na sababu za kushuka kwake...
4 Reactions
88 Replies
27K Views
Mnayakumbuka haya;mahujaji kadhaa wameamua kuswali kwa ajili ya yote aliehusika na matatizo na usumbufu wa mahujaji waliolala pale airport ya dar es salaam; kazi kwelikweli Makala Nakala...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Distance: Lady Jaydee Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza, mpenzi uko mbali nami Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza, mpenzi uko mbali nami...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Hili bifu naona limevuka mpaka sasa, yani ukiona kuna bifu mpaka kufika hatua ya kukataa kuzikana ujue hilo bifu si la kitoto. Ila ninachojiuliza mimi , bifu lao ni hiyo tuzo tu au kuna lingine...
6 Reactions
71 Replies
4K Views
Baadhi ya Wasanii Waliowahi Kutangaza Kuachana na Muziki Suma Lee Msanii huyu aliyetamba na wimbo wake wa "Hakunaga" alitangaza kuachana na muziki 2015 na kuamua kumrudia Mungu. Alisema nyimbo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
GTs, Nimekuwa nikiona wana jukwaa mnavyomsema vibaya Christina kisa kuachana na mume wake Mzee Shusho. Wengi wenu ni wanaume ambao hamjui hali aliyoipitia Christina ktk maisha yake ya kuolewa ktk...
10 Reactions
83 Replies
4K Views
Huyu presenter wa eatv kipindi cha 5 select Fevushka ananibamba sana kuanzia sura na appearance kwa ujumla(modo) ni aina ya sampuli ya wasichana wenye sifa zote zinazonivutia in short she is my...
7 Reactions
50 Replies
1K Views
Baada ya Rihanna na Katy Perry na Pitbull, Justin Bieber alipwa shilingi bilioni 26.4($10 mil ) kutumbuiza katika shamrashamra za harusi ya mtoto wa tajiri namba moja India na bara la Asia kwa...
39 Reactions
258 Replies
10K Views
Nimepitia jukwaani nikaona picha ya Amina Chifupa nikakumbuka namna alivyofariki na kutuachia maswali mengi. Hayati Amina Chifupa alisema ana list ya wauza “poda” na atawataja hadharani bungeni...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu habari za leo? Nimepata mtafaruku wa moyo sana leo kuwaza ni kipi kimewahi kua kipindi bora zaidi cha Radio na Television hapa nyumban Tanzania. Kwa upande wa Television kwangu vipindi...
5 Reactions
73 Replies
12K Views
Ukiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me! Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka...
38 Reactions
170 Replies
11K Views
Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi. Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii...
23 Reactions
134 Replies
12K Views
Video kuwa na budget kubwa haimaanishi kuwa itakuwa bora Kuna utofauti mkubwa kati ya video ya gharama na video iliyo Bora. Kwa mtazamo wangu ambao sio lazima Kila mtu awe nao kwangu Music video...
6 Reactions
12 Replies
727 Views
Diamond Platnumz ni Msanii mkubwa duniani, BASATA pamoja TASUBA kuna haja ya kumpongeza kwa jitihada zake za kukuza lugha ya Kiswahili Diamond ni kijana wa Tanzania mwenye kiu ya kufikisha mbali...
2 Reactions
5 Replies
703 Views
Msaniii pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara hatimaye Leo kaachia video la Dunia inaitwa Comasava hili goma sisi yanga day 🙌tuta enjoy sana kwa mkapa Cc ephen_ Hapa director folex katisha...
29 Reactions
106 Replies
5K Views
Pongezi ziende Kwa wazazi wote pastor John shusho na Christina niwatakie maandalizi mem
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kufa tutakufa kikubwa kujiandaa ,Asalam aleykum wanajukwaa hiyo ni salamu kwenu. Tafadhali nina shida na namba za simu au mawasiliano ya aina yoyote kwa wasanii wafuatao nahitaji ikiwa unazo...
4 Reactions
11 Replies
571 Views
Mimi sio mpenzi wa miziki ya vijana japo utakuta bar na harusini ila huyu mtoto anapaswa kuogopwa japo kijana mwenzake alikiba ni mtu wakukunja sana kama ulivyo asili ya mkoa wao walipotokea. Kwa...
5 Reactions
16 Replies
924 Views
Macho yanavutia sana. Kupitia macho waweza kuchungulia roho ya mtu, baadhi ya vigezo vinavyofanya macho kuwa yenye mvuto ni; kuwa na umbo la Uduara wenye uwiano, kuchomoza nje ya sura, na kuchukua...
8 Reactions
100 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…