Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wadau kumbe kuna kuzeeka aisee, huyu ferouz hatumii vitu kweli mbona kama age imeenda sana aise. Unaweza kusema kikongwe, maisha kweli yanabadilika.
17 Reactions
125 Replies
6K Views
Hawa wasanii sijui wakoje kila siku nikuomba misaada, kama huyu.
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Babajide Adebanjo amevunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa ku-Twerk Muda Mrefu zaidi. Alicheza kwa masaa 3, dakika 30.
2 Reactions
5 Replies
699 Views
Diamond - kabila lenye asili ya Morogoro anaelijua atujuze Alikiba - Mhehe Rayvanny - Mnyakyusa Harmonize - Mmakonde Niki Mbishi - Mkurya Young Lunya - Mzaramo Bilnas - Mchaga
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Mtoto wa mchungaji Christina shusho 'Odesia Shusho' avishwa Pete ya uchumba.
4 Reactions
82 Replies
8K Views
Ngoma za wasanii hawa wawili zinapishana katika playlist yangu muda huu, nashindwa kuamua nani ni mkali kwani ngoma zote ni za moto. Mdau wa muziki wa kizazi kipya, kwa sikio na jicho lako, yupi...
1 Reactions
26 Replies
802 Views
Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto! Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina...
14 Reactions
91 Replies
8K Views
Harris Kapiga Nimeona Clouds TV ni kitu kama Haris kapiga anaagwa kistaafu kufanya kipindi Cha gospel pale Clouds TV. Nadhani amepandishwa cheo, kuna na wasanii mbalimbali wa injili wamealikwa...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Yaani Hawa jamaa ndio WASANII ninaowasikiliza Tanzania Leo wameachia Ngoma Kali sana ya Harmonize inaitwa sherehena ya Rayvanny inaitwa namtaka. Aisee hii weekend ni kuvibe nazo tu ni Ngoma Kali...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Soma maneno ya msanii mkongwe nchini Ferooz "Tulianza show kwa kulipwa Tsh.30,000 na kiingilio ilikuwa ni buku jero mpaka buku getini" - Feroozz mkongwe Bongofleva...
10 Reactions
74 Replies
2K Views
Paul Okoye, maarufu kama Rudeboy kutoka kundi la muziki wa Afrobeats la PSquare amezua gumzo mitandaoni baada ya kuwashauri wanaume pia kukumbatia hulka ya kukataa mpenzi wa kike asiye na hela...
17 Reactions
77 Replies
5K Views
Nawasalimu kwa jina la HIP HOP Mwana mziki wa Hip hop P mawenge a.k.a P the Mc katuacha na mshangao wadau na wapenzi wa muziki wa hip hop baada ya kutoa ngoma inayokwenda kwa jina la NAHAMIA...
7 Reactions
294 Replies
20K Views
Hawa ndio wasanii Wakali wa Bongo fleva ambao hawazingatiwi na hawana ukubwa unaoendana na vipaji vyao. Ibra nation Kayumba mbossie Michu Mayunga Mapanch Bmb Mattan Bluce African Fobby Pasha...
1 Reactions
12 Replies
863 Views
Binafsi mimi ni mzalendo na nnapenda sana kufuatilia tamthilia za hapa bongo mara moja moja pindi nkipata nafasi nkiwa home, Kuna hii Huba series inayorushwa DSTV (Maisha Magic bongo) ni ya muda...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Kipindi hiki cha mwaka 2002 nilianza rasmi kufatilia mashindano ya wadada warembo, nilimshuhudia Madam Angela Damas akiibuka mshindi na kuchukua taji la Miss Tanzania 2002. Nilipenda zaidi jinsi...
4 Reactions
26 Replies
10K Views
Aliyekuwa mtangazaji nguli wa EATV na East Africa Radio, Dullah Planet, Mjukuu wa Wambua rasmi ametambulishwa na kukaribishwa kwenye Radio ya Ali Kiba, Crown Radio. Ambapo tayari accounts za...
15 Reactions
45 Replies
5K Views
Mimi ni muumini wa muziki wa Rap, navutiwa sana na nyimbo za Hip-hop zilizojikita katika masimulizi. Nimesikiliza story telling rap songs nyingi mno, tangu story 3 ya Jay Moe, Sister sister ya...
14 Reactions
149 Replies
22K Views
Kwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana. Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka...
1 Reactions
118 Replies
30K Views
Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday na kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint...
18 Reactions
228 Replies
14K Views
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi. Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni.. Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated...
50 Reactions
739 Replies
48K Views
Back
Top Bottom