Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
8 Reactions
85 Replies
6K Views
Nimeona picha zinatrend mtandaoni kwenye harusi yake watu maarufu wakiudhuria akiwemo mstaafu Kikwete, mawaziri, watu maarufu, wasanii n.k
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hakuna upinzani Fredrick Bundala(SKYWALKER) uwezo wako wakufanya kipindi cha mahojiano kivutie ni next level bila ya kujali unamhoji Star au Normal person. Kuna mtangazaji kupitia channel yake...
2 Reactions
8 Replies
626 Views
KIMEELEWEKA! Baada ya kuruka viunzi vya hapa na pale, hatimaye, mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ameridhia kupokea posa ya rubani wa ndege, Hamdan Zakwani ‘Danzak’, Gazeti la...
7 Reactions
124 Replies
20K Views
1. Mark Zukerberg ndiye mmiliki wa mitandao ya Facebook, Whatsapp na Instagram, 2. Ana umri wa miaka 31, alivumbua mtandao wa facebook akiwa na miaka 20 tu. Baadae akaamua kuununua mtandao wa...
37 Reactions
83 Replies
24K Views
Mtoto wa Monalisa aliwahi kuhojiwa mwaka jana alipomaliza form 6 na akasema chuo hawezi kusoma bongo na hakuna chuo cha hadhi yake na hata havijui vyuo vya bongo Ila anasikiasikia tu sijui Kuna...
89 Reactions
240 Replies
21K Views
unaambiwa alijitahidi kuivua hiyo miwani taratibu ili kuepusha watu wasife 😂
13 Reactions
92 Replies
4K Views
Mtangazi wa Clous FM hapo siku ya jana alinusurika kuawawa maeneo ya Mwananyamala hapo majuzi nusura auwawe na bastola na jamaa mmoja Chanzo cha habari kinasema kuwa wakati akiwa kwenye gari...
5 Reactions
64 Replies
16K Views
Habari! Wajuzi, aisee nimeumiza kichwa mno ili niifahamu code hasa ya wimbo ule wa mtabe Young D. Miongoni mwa maneno ya wimbo huo ni, '...she is beautiful, siyo mchoyo...' Nani ameimbiwa? Ni...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Juzi juzi mbunge kijana Mohammed Dewji alikuja hapa na article yake juu ya mambo ya umeme. article hiyo inamuonyesha yeye kama amefanya uchunguzi yakinifu kuhusu hili swala la umeme. article hiyo...
1 Reactions
109 Replies
14K Views
yule dada mpambanaji alimaarufu Joyce kiria ambaye kwasasa ameolewa na kupata mtoto wa kiume. Anatarajiwa kurudi na ujio tofauti kabisa kwenye luninga moja wapo za bongo ukiachilia mbali vipindi...
1 Reactions
98 Replies
10K Views
Khadija Omar Abdallah Kopa (amezaliwa Zanzibar, 1963) ni mwimbaji wa muziki wa Taarab na mtunzi wa nyimbo kutoka nchini Tanzania. Mbali ya muziki, Kopa ni mama wa nyumbani, mfanyabiashara na pia...
10 Reactions
37 Replies
7K Views
........
4 Reactions
116 Replies
32K Views
1. Hizi safari kila mara kwenye nchi zenye historia ya Sembe imekaaje? 2. Kwa biashara ipi? 3. Mnasifia wanaume wenzenu Hadi sio. NB: Tunatahadharisha tu
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Yule katibu wa mkoa wa Kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam CHADEMA, Henry Kileo na mwanadada Joyce Kiria ambaye ni mtangazaji wa EATV, siku ya tarehe 4.09.2011...
24 Reactions
483 Replies
86K Views
Ndio sekta inayotoa mabilionea wengi hasa vijana lakini naona kwa hapa bongo ni kama hawapo kabisa, gadi sasa kuna mabilionea walewale wa maduka ya hardware, makampuni ya utalii, mahoteli, madini...
2 Reactions
15 Replies
707 Views
Baada ya kumuoa mchumba wake Zailyssa, Haji Manara ameamua kumtafutia Mke wake huyo Vijakazi wa ndani ili wamsaidie kwenye majukumu ya nyumbani. Anaandika Haji Manara kwenye ukurasa wake wa...
6 Reactions
53 Replies
4K Views
Tungefanyiwa sisi tungepiga kelele ubaguzi. Hivi si vichekesho, ni kumock culture ya watu. Ustaarabu muhimu.
9 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom