Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wengi wetu wahenga tunaijua hii couple Raqey ni mtu mwenye historia ya kusisimua katika kujitafuta kwake mpaka kujipata (zero to hero) Sarah pia ni mwanamke mrembo na mpambanaji sana, kajipata...
12 Reactions
65 Replies
4K Views
Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania. Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye...
8 Reactions
112 Replies
3K Views
Zuhura sijapenda kabisa. Kwa nini unaruhusu wakuuedit ili kufanya ngozi yako ionekane ni nyeupe Wakati sio kweli, Ivi kwani na wewe unaamini uzuri wa mwanamke upo kwenye rangi ya ngozi yake...
7 Reactions
40 Replies
4K Views
Hivi watu wanakumbuka mchango wa huyu mwamba katika Entertainer ya bongo flavor au ndio kila mtu ale urefu wa kamba yake?! 😂 Wanamuita Lucas Mkenda au “Mr Nice” #Legendary
0 Reactions
11 Replies
384 Views
Kipaji hicho kinawakilisha wanaume wa Dar, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) shule ya biashara (UDBS).
6 Reactions
279 Replies
81K Views
Una maoni gani kuhusu kauli ya Rose Mhando? "Mimi siijui ndoa mpaka sasa naenda kutimiza miaka 50 sijawahi kuolewa. Sio kwamba mimi ni mbaya sana hapa! Mwanaume ambaye yupo tayari kunioa mimi...
13 Reactions
74 Replies
3K Views
Tukutane hapa mashabiki wa Mfalme wa Pop na mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi duniani kwa mujibu Guiness book of records kwaajili ya kushare habari zake, picha, historia na zaidi ya yote zawadi...
7 Reactions
92 Replies
16K Views
  • Closed
--- The king of squats: Nkululeko Dlamini The product of his signature squat routine scored with maskandi music, Nkululeko Zane Dlamini’s incredibly toned thighs and glorious glutes — combined...
18 Reactions
158 Replies
13K Views
Story kubwa duniani leo ni Msanii namba moja duniani na msanii namba moja Africa. Chris Brown na Diamond Platinumz. Chris Brown ameonesha kupagawa na wimbo namba moja kwa sasa Africa uitwao...
19 Reactions
92 Replies
7K Views
Shilole akiwa na msanii wa Koffi. Tukio hilo lilitokea ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, ambapo Shilole alienda kwa ajili ya kushuhudia shoo ya mwanamuziki huyo. Akiwa ndani...
2 Reactions
44 Replies
56K Views
Imekuwa ikielezwa kuwa wasanii ni kioo cha jamii. Kwa maana hiyo wanatakiwa kufanya mambo ambayo yanaweza kuigwa na wale wanaowatazama. Hata hivyo,maisha wanayoishi baadhi ya wasanii hayaakisi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara katika picha mara baada ya kufunga ndoa kwa mke wake wa pili jioni ya Alhamisi Aprili 14, 2022
16 Reactions
278 Replies
30K Views
Katika familia za mastaa inayonivutia zaidi hapa bongo ni ya hawa wanandoa Raqey Mohamed pamoja na mkewe Sarah, yani familia iko poa sana. Wakati baba akimiliki kampuni ya kupiga picha za mnato...
9 Reactions
46 Replies
13K Views
Ameshauri wawe wajanja kuzaa kuijaza dunia Mungu hakumaanisha Kuwa na watoto wengi Bali kufanya vitu vingi..pia amedai alikataa Dola za kimarekani elfu 20 kutoka Kwa kigogo alietaka kulala...
2 Reactions
16 Replies
716 Views
Huyu binti ni balaa Ana mwezi mmoja yupo anaizunguka ulaya anakusanya paund Kwa miaka ya karibuni sijapata kuona msanii wa kike mwenye influence km huyu Anapendwa sana kwa nchi zilizoendelea...
2 Reactions
29 Replies
834 Views
Mmh huyu shoga kidawa c mlokole Jaman , imekuaje tena , ila ninachompendea Muna linajua kujipendekeza kwa watu wa maana, ila atengeneze tu pesa, hayo mambo ya ushoga wa bobrisky hayamuhusu[emoji16]
6 Reactions
74 Replies
10K Views
Taji Liundi Diamond Platnumz Akizingumza na vyombo vya habari mtangazaji na msema chochote maarufu Dar es Salaam Taji Liundi amesema Diamond anatakiwa kushabikiwa kama mungu mdogo. Ameyasema...
2 Reactions
13 Replies
805 Views
Habari za jioni wakuu, Let me get straight to the point... Young Lunya ni msanii ambae ni mkali wa mashairi na flows pia. Huwa namfananisha na bwana mdogo mmoja enzi hizo kule states wa kuitwa...
12 Reactions
80 Replies
3K Views
Ninamtabiria huyu mwanadada Zuwena Muhammed(Shishi baby) baada ya miaka mitano atakuwa ni miongoni mwa wasanii wa kike wenye pesa nyingi zaidi hapa nchini. Kitu kikubwa ambacho kinanisukuma...
13 Reactions
36 Replies
6K Views
Huyu jamaa ingekuwa yupo kabila la wenye misimamo wangesha mchapa viboko kwa mwenendo wake ila utafutaji wa riziki japo sio mwajumwa wa uswahilini. Huyu jamaa kwa sasa kunaweza kumkost japo ndio...
5 Reactions
13 Replies
735 Views
Back
Top Bottom