Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hii nyimbo ya Young D ft..Jux inaitwa siyo mchoyo.Mbona dizaini kama kamuimba shilole?
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Mwamba kaporomosha ghorofa Kigamboni na bado endorsement za kutosha tofaut na PhD holder wengi nchini. NB: Hongera Sana Mwijaku
6 Reactions
60 Replies
5K Views
Nawapongeza Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga pingu za maisha japo waliamua kufanya ndoa ya siri. Chumvi kapata chombo ya ukweli. --- NUSRAT HANJE JIKO JIPYA LA MAULIDI KITENGE Mtangazaji...
21 Reactions
112 Replies
15K Views
Siku zinaenda DAZ BABA, mmoja kati ya wanaMuziki mahiri kabisa niliowahi kuzisikia sauti zao zikiimba tungo (MUZIKI) kwa ustadi wa hali ya juu DAZ BABA alikuwa akiiwakilisha DAZ NUNDAZ...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Ameachieve kila kitu kwenye muziki kwa kipindi kifupi kuanzia kuingiza ngoma Hot 100, kuingiza Billboard 200, kushinda tuzo ya Grammy na kushinda tuzo za BET. Alichobakiza ni kuwa na wimbo wenye...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Burna Boy usiku wa jana ameonesha ukubwa wake kidunia baada ya kufanikiwa kuujaza uwanja wa London kwa mara ya pili mfululizo na kuweka historia. Uwanja huo maarufu duniani unaingiza mashabiki...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Week Mbili zilizopita ndugu yetu intelligence Business man kwenye jukwaa hili alileta Diss ya Kendrick Lamar kwa Drake Na J Cole,katika nyimbo ya future na metro Boomin like that,, Wapenzi wa rap...
12 Reactions
129 Replies
5K Views
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini. Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa...
4 Reactions
60 Replies
4K Views
Diamond Platnumz Diamond Platnumz usibabaishwe na tuzo za BET kwasababu soko la mziki Marekani limeanguka na Wasanii wake hawana mashiko kwa sasa. Mziki mzuri upo Africa kwa sasa ukishikiliwa na...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Rumor has it mzee wa hulisi kamtwanga dada wa bango la valentine talaka moja na mke wa pili juu...... Tatizo sio kuachika, tatizo ni kujishaua sana my husband this my husband that, vikiumana...
12 Reactions
47 Replies
3K Views
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu. 1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere 2. T.I.D 3. RC Chalamila 4...
10 Reactions
39 Replies
3K Views
Marehemu mwigizaji kutoka nchini John Okafor (62) maarufu Mr Ibu anatarajia kuzikwa leo Juni 28, 2024 katika mji aliozaliwa wa Amuri, Jimbo la Enugu. Mr Ibu alifariki dunia Machi 2, 2024 wakati...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
“Tangu 2013 nilikuwa sijaenda America mpaka 2021 sababu nilidhamiria kujijenga na kufanya vizuri zaidi kwenye local market (Tanzania) wakati mimi naweka nguvu zaidi kutaka kujijenga zaidi local...
8 Reactions
68 Replies
3K Views
Kazi na dawa! Ubalozi wa Tanzania Nchini Comoro umekuwa na wakati mzuri na msaanii Jay Melody ambaye ametumbuiza kwa onesho kabambe mwishoni mwa wiki kufuatia mualiko toka Taasisi za Sanaa Comoro...
1 Reactions
1 Replies
441 Views
kama itawezekana afungiwe kabisa haiwezekani kila siku yeye tu.
0 Reactions
4 Replies
535 Views
Maneno ya Alikiba "Hutawai niona nikipost pesa, magari makubwa ama vitu expensive namiliki, sio kwa sababu siwezi, ni kwa sababu nayajua haya maisha vyema, kuna watu wanateseka na wanatamani...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Nifah na wanajf wenyeji wao mzito imekuwaje Mauzinde katua Canada bila masikio? Nani mfadhili? Kasema atafanya bonge la party ya kukatwa masikio. Au kukatwa masikio ilikuwa mchezo ili apate...
7 Reactions
58 Replies
6K Views
Nimeziona baadhi ya picha za mtanzania mwenzetu na mwanaume mwenzetu Frank Maston. Ambae pia ni mwanamuziki. Picha zake zinanipa shida kubwa sana na sijui how ntarecover na nachokiona...
12 Reactions
282 Replies
37K Views
Huyu mzee asaidiwe. Inaonekana wazi kuna pepo la uzushi limeweka kambi kwa ubongo wa wake. Hivi huko Dar hakuna nabii mwenye upako kama wa daddy wetu pale kisongo hemani achukue jukumu la...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
Hatimaye kile kitendawili sasa kimeteguliwa. Sio kiki ya muziki wala movie mpya kama ilivyodhaniwa. Nimewaletea video ya tukio zima la harusi kati ya Mr & Mrs Chande.
9 Reactions
96 Replies
35K Views
Back
Top Bottom