Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
MEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI
Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi...
Aliwahi kusema Ndugu. Haruna Rashid Juma Kahena almaaruf kama Inspekta Haroun kwenye wimbo Ngangari kwamba
" KULONDA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ambayo ni maneno ya kizaramo yanayo maanisha "...
Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro...
Albert Mangwair
Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na...
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina...
Msanii wa Kenya Eric Omond ni zaidi ya WASANII wote wa hapa bongo.
OMONDI amejawa na weledi na kujiamini mno hivyo kutokuwa mpiga zumari.
Ebu sikilizeni anavyo pinga msaada wa fedha unaotarajiwa...
Komasava ya diamond inazidi kumpa mashavu zaidi baada tu ya chriss brown kuucheza wimbo wake na kuwa gumzo duniani kutokana na ukubwa wa breezy. Jason derulo amekubali kufanya wimbo na diamond...
Mnyonge mnyongeni jamani ila haki yake mpeni.
Huyu bwana mdogo Diamond Platunumz amefanya mambo mengi makubwa makubwa sana hapa nchini kuliko hata viongozi wemye dhamana hiyo tena amemzidi hata...
Muigizaji na muimbaji Sabrina Omary (Sabby Angel) ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Bob Junior ,na aliwahi kuwa katika bifu zito na Zarina Hassan kisa Diamond .
Sabby aliwahi kumtambia Zari kwamba...
Mwanadada Jacqline Wolper ambaye aliwahi kudondoka dhambini na Diamond Platnumz miaka kadhaa iliyopita kabla hajaenda kusuguliwa vilivyo na mmakonde wa mtwara Harmonize kisha kutemwa vibaya na...
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Hili suala la wimbo wa Diamond Platnumz kuchezwa na Chris Brown linadhihirisha ni kwa kiasi gani hii nchi ina maajabu ulimwenguni.
Yani leo kila sehemu unayopita ni Chris Brown kampost Diamond...
Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18. Adai aliolewa akiwa mtoto na mume hana mchango kwenye mafanikio yake.
Jamani na...
Amani iwe nanyi wapendwa,
Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.
Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu...
Eid al Adha mubarak wana JF
Jamani mwenye ubuyu kamili wa Menina na anayedaiwa kuwa alikuwa mumewe wamezaa mtoto ana kama miezi miwili mitatu, atupashe[emoji33][emoji33]
Nasikia bi dada ni...
Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake.
1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"-...
Habari njema kwa Team Nandy na habari mbaya kwa team Diamond Platinumz.
Msanii Nandy ameendelea kushika namba moja kwenye Trend za Youtube licha ya staa Diamond platnumz kutoa video ya wimbo wake...
1. Jokate Mwegelo - Washngton DC, Marekani mwaka 1987.
2. Haji Sunday Manara - Uholanzi, mwaka 1975.
3. Ruge Mutahaba ( R.I.P) Marekani, mwaka 1970.
4.........
5.........
Twende kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.