Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala. Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
48 Reactions
261 Replies
49K Views
MEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi...
5 Reactions
48 Replies
4K Views
Aliwahi kusema Ndugu. Haruna Rashid Juma Kahena almaaruf kama Inspekta Haroun kwenye wimbo Ngangari kwamba " KULONDA KAZI YA MUZIKI UGANGAMALE" ambayo ni maneno ya kizaramo yanayo maanisha "...
13 Reactions
52 Replies
5K Views
Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro...
77 Reactions
150 Replies
24K Views
Albert Mangwair Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina...
105 Reactions
323 Replies
25K Views
Msanii wa Kenya Eric Omond ni zaidi ya WASANII wote wa hapa bongo. OMONDI amejawa na weledi na kujiamini mno hivyo kutokuwa mpiga zumari. Ebu sikilizeni anavyo pinga msaada wa fedha unaotarajiwa...
9 Reactions
34 Replies
3K Views
Komasava ya diamond inazidi kumpa mashavu zaidi baada tu ya chriss brown kuucheza wimbo wake na kuwa gumzo duniani kutokana na ukubwa wa breezy. Jason derulo amekubali kufanya wimbo na diamond...
1 Reactions
4 Replies
808 Views
Mnyonge mnyongeni jamani ila haki yake mpeni. Huyu bwana mdogo Diamond Platunumz amefanya mambo mengi makubwa makubwa sana hapa nchini kuliko hata viongozi wemye dhamana hiyo tena amemzidi hata...
1 Reactions
76 Replies
9K Views
Muigizaji na muimbaji Sabrina Omary (Sabby Angel) ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Bob Junior ,na aliwahi kuwa katika bifu zito na Zarina Hassan kisa Diamond . Sabby aliwahi kumtambia Zari kwamba...
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Mwanadada Jacqline Wolper ambaye aliwahi kudondoka dhambini na Diamond Platnumz miaka kadhaa iliyopita kabla hajaenda kusuguliwa vilivyo na mmakonde wa mtwara Harmonize kisha kutemwa vibaya na...
2 Reactions
22 Replies
10K Views
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze. NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
25 Reactions
275 Replies
26K Views
Hili suala la wimbo wa Diamond Platnumz kuchezwa na Chris Brown linadhihirisha ni kwa kiasi gani hii nchi ina maajabu ulimwenguni. Yani leo kila sehemu unayopita ni Chris Brown kampost Diamond...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimekutana na hii Mahali mke wa mchungaji shusho anataka kupindisha sheria ya mtu mzima isiwe kwanzia miaka 18. Adai aliolewa akiwa mtoto na mume hana mchango kwenye mafanikio yake. Jamani na...
3 Reactions
60 Replies
2K Views
Habari wakuu. Hivi Sam Misago yuko wapi? Toka alivondoka EATV hatujasikia wala kuona kuwa alikwenda kituo gani, pia hata Sammisago TV hatumuoni
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wapendwa, Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba. Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu...
23 Reactions
267 Replies
34K Views
Eid al Adha mubarak wana JF Jamani mwenye ubuyu kamili wa Menina na anayedaiwa kuwa alikuwa mumewe wamezaa mtoto ana kama miezi miwili mitatu, atupashe[emoji33][emoji33] Nasikia bi dada ni...
6 Reactions
173 Replies
41K Views
Kila mmoja kachukua uamuzi wa kuungana na nabii kwa sababu zake. 1. Tuanze na sababu za Gigy money [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] "Nilipagawa na Nabii ndio maana nimekuja Kanisani"-...
14 Reactions
147 Replies
11K Views
Habari njema kwa Team Nandy na habari mbaya kwa team Diamond Platinumz. Msanii Nandy ameendelea kushika namba moja kwenye Trend za Youtube licha ya staa Diamond platnumz kutoa video ya wimbo wake...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
1. Jokate Mwegelo - Washngton DC, Marekani mwaka 1987. 2. Haji Sunday Manara - Uholanzi, mwaka 1975. 3. Ruge Mutahaba ( R.I.P) Marekani, mwaka 1970. 4......... 5......... Twende kazi
7 Reactions
60 Replies
4K Views
Back
Top Bottom