Hii ni picha waliyopiga kipindi mapenzi ni moto
Kama Ilivyo kawaida Wabongo tupe title habar tutajaza wenyewe. Kwa caption hizi za Uchebe mambo yanaonekana sio mazur Yeye na Shishi baby.
Wolper amesema hawezi kuvumulia ujinga wa kunyanyasika na kuteseka kwenye uhusiano na mwanaume kwa kuogopa jamii kumsema ubaya wakati mkosaji akiwa ni mwanaume
"Kila mtu anatakiwa kuwa na...
Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye...
Daktari amesema alipompima Kanumba kiwango cha sukari kilikuwa cha kawaida lakini alipompima shinikizo la damu hakupata kabisa mapigo ya moyo.
Daktari Paplas Kagaiya aliyekuwa akimtibu msanii...
KAMA HUMJUI MUNGU DUNIA ITAKUTESA!
Kwa Kanumba yule nimjuaye mimi. Na Lulu yule ninayemfahamu. Doooh! Ningekuwa Jaji wa kesi ya Lulu, ningekuwa nasikiliza kesi kama simulizi fulani ya mapenzi...
Nakukumbusha tu kuwa Diamond kwa sasa amepoteza mashabiki wengi sana baada ya kuonekana ana mahaba na chama cha kijani hadi kufikia hatua ya kuimba nyimbo za kuwahamasisha watu wakae kimya dhidi...
Bila haka siku moja ungependa kuhudumiwa na staa unayemhusudu. Taarifa zikufikie kwamba msanii Ambwene Yessaya maarufu kama AY amefungua bucha la kuuza nyama na unaambiwa yeye ndio muuzaji.
Picha...
Naomba tufanye tafakuri tunduizi ( critical thinking ) kabisa juu ya hii Kauli ' Tata 'kabisa ambayo Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu na Nne Mama Salma Kikwete aliisema / aliitoa katika Kilele cha...
Utajiri wa mwanamuziki Jay Z ulipanda kwa asilimia 30 mwaka jana na kufikisha utajiri wake hadi $810m (£626m), kwa mujibu wa jarida la Forbes. Lakini kuimarika kwa utajiri wake hakukutosha...
Mambo vipi waswahili wenzangu. Mimi naitwa Snitch ni mmiliki wa account zaid ya 39 instagram lakin sina hata account moja ya bank.
Nisikuchoshe kwa porojo ila naomba nikwambie wewe Dada mange...
Kama we ni mpenzi wa Wema Sepetu angalia video hii uone habari zote zinazohusiana na Reality Show ya Wema ambayo amekuja na Season 3 ya In My shoes
Subscribe kwenye channel ya wasanii baada ya...
Harmonize aeleza kuhusu taarifa inayosambaa ya yeye kurudiana na Wolper sio kweli, yeye anachojua ni kwamba wolper anaupenda muziki wake ndio maana kaupost na kushare kwa watu.
Pia ameeleza mpenzi...
Ali Kiba
MSANII wa muziki wa Bongo Flava, Ali Kiba, anadaiwa kuhojiwa na polisi kwa maelezo ndiye aliyempa Elizabeth Michael Lulu msaada wa usafiri (lifti) baada ya kutoka kwa Steven...
Diamond anachukua zaidi ya milioni 20 kwa show moja lakini kibakuli katika zile show za vumbi havuti zaidi ya millioni 2 kwa show 1.
Life is not fear aisee....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.