Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Karibu nyimbo zote za huyu kijana nilizozisikia ametumia neno MOYO kwenye mistari yake. Kuna wimbo ambao hajatumia hili neno kweli??
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wakubwa hiki kitu naona imenifika kohon sababu ya hawa jamaa wa Eatv radio kuwa na kuhelehele cha kumhoji na kumpost nshu za calisah kila siku yaan kila wakipost huko twitter ni kuhsu calisah tu...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
  • Closed
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi...
1 Reactions
196 Replies
32K Views
Binafsi nimeipenda hii video binti akichukua Karanga kidigital
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nashangaa Tanzania tulivyo. Hivi karibuni msanii wa mziki Diamond Platnumz ametwaa mataji kama mawili huko Marekani ambayo ni moja ya kuletea umaarufu nchi kimuziki pia kuonesha kuwa anaweza kwa...
9 Reactions
70 Replies
8K Views
Yaaani kiukweli mwanzoni hiki kipindi cha shilawadu kilikuwa kinaonekana ku take over vipindi vya burudani kiasi kwamba ikaonekana kwamba kipindi pinzani cha ijumaa Friday night live chaliii...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Ama kweli WCB ni kisima cha burudani ,huwa hawaaribu kazi hata siku moja kila ngoma wanayotoa ni fireeeeeeeee. Hii ngoma mpya ya Konde boy ft Korede Bello ijulikanayo kama Shulala ni moto wa...
8 Reactions
29 Replies
6K Views
Sina uhakika kama hii thread ipo sehemu yake, ila mambo kama haya sisi watumishi tunakutana nayo sana. Siwezi kuita ni IBilisi. HUu ni uumbaji wa Mungu. Ila tunahitaji maombi. Sisi Ni binadamu pia.
1 Reactions
11 Replies
6K Views
  • Closed
Amanii eh wakuu account ya Mange Kimambi haipo tena insta. Ishara zilianza tokea juzi watu walivoanza kusema huyu sio Mange baada ya vitu vya ajabu kutokea kwenye ile account hatimaye na mchana...
15 Reactions
431 Replies
63K Views
Inafahamika kuwa Zari ni mwanamke bilionea mkubwa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla lakini cha kushangaza hana bodigadi badala yake bodigadi anayetumiwa na Diamond ndio huyohuyo anatumiwa na...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Heshima kwenu waungwana Hivi Tangu huyu bibie mobeto ajifungue mtoto wa pili na kusemekana kuwa ni wa chibu, kelele zimekuwa nyingi, watu hawapumui kiasi kwamba huyo mtoto kashushwa km...
29 Reactions
206 Replies
17K Views
MFANYABIASHARA maarufu wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ mchana wa leo Jumamosi alisimamisha shughuli katika maduka yaliyopo Mlimani City alipokwenda kuzindua duka jipya la samani, Danube. VIDEO...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Mabinti maceleb wa kitanzania wanatakiwa kujifunza kutoka kwa Zari. 1) kuwa na mahusiano kwa malengo 2) kuzaa kwa malengo 3) kujua kutumia fursa ya mwanaume uliye naye. Leo mtu anatoka anandika...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Mambo vipi wadau. Mimi naitwa Snitch2020 Katika pita pita yangu kwenye motandao nlikutana na video ikimuonesha Gigy akiclaim kuwa Kuna nywele alizinunua M6. Kiukweli imenishangaza ana lakini baada...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari, Msanii wa mziki wa kizazi kipya aliyetamba na wimbo wa Nitarejea alioshirikishwa na Diamond, Hawa Said ameangukia mikononi mwa wachungaji wapiga dili ili wamuombee baada ya kuathirika...
4 Reactions
36 Replies
43K Views
Calisah amethibitisha yeye anatoa huduma ya kuzalisha wanawake wenye Pesa, kwa sababu wanawake wengi wanapenda alivyo handsome Kwahiyo mbegu yake ni dili. Kwa mwanamke unayetaka mnakubaliana...
0 Reactions
60 Replies
15K Views
Sema korede bello kidogo amvue kofia mdogo wngu harmonize, maana kanaimba kama hakataki lakini shughuli yake sasa ni mtafutano. But all in all very fantastic song, congrats sana mdogo wangu...
0 Reactions
55 Replies
9K Views
Mama watoto wa Mwanamuziki Diamondplutnamz, Zari. Mchana wa Leo alisimamisha shughuli katika maduka yaliyopo Mlimani City Jijini Dar es salaam ,alipokwenda kuzindua Duka jipya la samani, Danube...
10 Reactions
157 Replies
21K Views
Habari wanafamilia JF. A couple of days back, I was watching some local news streams... nikawa namuona several times... and I was like ooh huyu binti why nisim-link to BBC Swahili or MTV Base S.A...
4 Reactions
147 Replies
25K Views
Mashabiki wa Diamond platnumz hawataki mahusiano yao na zari yaishe, Hii imethihirika baada ya mashabiki wa diamond kumuombea msamaha kwa zari alipokua GSM mall. Lakini naona kama Zari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…