Mambo zenu wadau,
Ningependa kujua yule mwanadada machachari kabisa aliyetamba na kibao chake cha "Na yule" amepotelea wapi maana naona hasikiki kabisa siku hizi toka alivyotangaza kutoka...
Uchaguzi mdogo uko Kenya ulifanyika kati ya nyimbo mbili zinazobamba hapa bongo za vigogo wa muziki.
Asilimia tatu(3) kama uonavyo matokeo jinsi ulivyokawa,wanasema hawafungamani na pande zozote...
Watu wamekuwa wakimdharau huyu jamaa je amekua? Japo anasifika kwa kumwaga mipesa kwenye burudani je amekua? ni biashara au nani yupo nyuma yake?
Umiliki
1. Toyota prado(new model)
2. Toyota Rav...
Msanii mwanamama Saida Karoli amerudi kwenye game vizuri baada ya kuachia wimbo wa Orugambo, sasa amekuja na wimbo mpya aliowashirikisha vijana wa bongo fleva. Pamoja na yote Saida hajasahau aina...
EXCLUSIVE: Msaani Ali Kiba anatumbuiza leo usiku katika sherehe maalum iliyoandaliwa na Umoja wa Vyama vya Upinzani (NASA) kwa ajili ya kuwashukuru wapiga kura wao.
Habari hii imethibitishwa na...
Baada ya sakata la kusema amefanya collabo na Tupac na kuleta mtafaruku mkubwa kwa mashabiki huku wakimtolea maneno makali wakisema amesha athirika kiakili kwa madawa ya kulevya kwa kuwa Tupac ni...
Jambo!!
Kama habari inavyoeleza hapo juu. Naangalia kipindi cha shilawadu cha hawa vijana wawili live clouds tv. . .
Kabla hawajaanza zimepigwa nyimbo mfululizo wasanii mbali mbali, cha...
Wakuu, hasa wale waliokua wapenzi wa movie za action miaka ya 90's, mwanye kumbukumbu walipo hawa mastaa wa movie toka hollywood, atujuze.
Walikua maarufu sana miaka ya 90's wakitamba na movies...
Rapa Chid Benz ambaye kwa sasa amekuwa gumzo katika kila kona ya mitandao ya kijamii baada ya yeye kusema ana kolabo na 2pac, amefunguka kwa kumtolea povu Madee na kumwambia yeye ni mmbea ndiyo...
Jana nilipata muda nikiwa nimepumzika nikacheki chapter 22 za ile nyimbo yenye series za chapter inayoitwa HIDDING IN CLOSET. Aisee ule ubunifu sijawahi kuona, yaani ni uimbaji kwa njia ya...
Ni majuzi tu patoranking kaachia kolabo yake aliyofanya na diamond platnumz a.k.a simba...wakati huo huo nakuletea kolabo ingine aliyofanya patoranking na Ally Kiba, sasa nataka tuwe wazalendo...
Kwa mujibu wa mtandao wa Africa Youth Awards, hii ndiyo listi ya vijana wa Kiafrika wenye ushawishi zaidi barani Afrika na duniani: Tanzania inawakilishwa vyema na vijana 7 (sijui kama kuna...
Mie ni mfuatiliaji wa bongo videos muda mrefu. Nimetazama video za Kiba tangu Sindelela mpaka Seduce me!
The man knows how to sing na ana sauti nzuri ya kuvutia ila kwa upande wa muonekano na...
Kupitia kwenye kipindi chake cha DIARY YA LADY JAY DEE, judith wambura mbibo(lady jaydee) miezi michache iliyopita aliwahi kusikika akisema "Am no longer binti machozi(mimi sio tena binti...
Msanii wetu pendwa Esterlina Peter Sanga almaarufu officiallinah amejifungua mtoto wa kike
Hongera sana Linah
Linah na baba mtoto wake
Beautiful Tracey wa linah
Seduce yavunja record duniani na Africa kwenye iTunes
Mwana yaibuka kwenye kumi bora duniani
Seduce me yawa number one duniani na pekee Africa King Kiba akifunika Africa nzima
Wadau Kwema??
Kwa sasa Ally Kiba anatingisha na wimbo wake alioutoa hivi karibuni wa Seduce Me. Wimbo huo kwa sasa ni 'hit Song" kiasi kwamba popote unapopigwa basi watu wengi huonekana...