Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mh Sugu..Joseph Mbilinyi Katika wimbo wa Galagasha anasema mwaka 2030 anagombea Urais na Kushinda... Anadai ' Am joking.....no no am serious' Kila la heri kwa ndoto yake hiyo inaweza kutimia!
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa kweli huyu dada ataniua mie jamani. Mbona ananichanganya sana huyu m-ghana!!!?? Haya majicho kaa unaweza ukayala. I love you Jack Appiah wherever you are. Siweki hata picha wivu Sent using...
10 Reactions
63 Replies
13K Views
Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivo
6 Reactions
167 Replies
24K Views
Yaani Huyu jamaa alishazoea kuishi kwa kiki so haishiwi vituko. Sasa Yale maandalizi yalikuwa ya nini mbona kama hiyo Arusi haijafanyika? ndio maana kuwa shabiki wake tu inabidi uwe na akili ya matope
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika mazingira ya kawaidaa kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kuwa king of all social media network ni kwamba ww upo katika mitandao kadhaa na unahusika kuwa active. Kutokana na uking wako hii...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Mwigizaji staa na Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu usiku wa August 31, 2017 alishindwa kutokea kwenye uzinduzi wa bidhaa mpya ya Idriss Sultan licha ya Idriss kuwepo kwenye uzinduzi wa movie mpya ya...
1 Reactions
56 Replies
6K Views
Habar zenu wanajamvi Kutokana na kile alichopost ndg angu edo kumwembe naomba nichangie kwa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo Vijana wa kibongo sasa umefika wakat wa kubadilika ani unakuta...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
juzi kati Celeb wakiganda muke ya diamond platnumz msaniii mkubwa Tanzania baada ya kuelewa aliamua kwenda kwao, huko alifanya mambo mengi na alionekana mwenye furaha muda wote mpaka pale...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Bingwa wa tennis kwa upande bi Serena Williams amejifungua mtoto wa kike katika hospitali moja ya mjini Florida Marekani. Japo mwenyewe na jamaa zake hawajatoa tangazo rasmi tayari kuna ujumbe wa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Jack Ma is the founder and executive chairman of Alibaba Group which is of Net Worth US$ 23.4 Billion. Ma’s life has actually been riddled with failure. Jack Ma's Chinese name is Ma Yun. He...
7 Reactions
21 Replies
7K Views
TANGAZO Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania ya viwanda haiwezekani kabisa hata kwa enzi za magufuri. Udikteta haujengi nchi. Wananchi wanafocus vitu vya kiwaki kuliko maendeleo. Yaani asbuhi kila MTU instagram kufwatilia Mange...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna nyimbo ya msanii mmoja wa kusini inaitwa UJE, sasa msanii mmoja wa WBC kaiiba melody yote na yeye kaiita mbeleko! Sio fair!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hello guys nikimwangaliaga mke wa roma, i have that gut feeling kuwa anampenda sana mumewe though i dont know her personally, lkn kwa kumwangalia tu nimem-judge hivyo, lyk anamsapoti sana mumewe...
11 Reactions
65 Replies
16K Views
Akihojiwa na EATV msanii mkongwe aling'ara kwenye maigizo ya Kaole 'BLANDINA CHAGULA' maarufu kama Johari ameeleza kuwa, anatafuta mume ambaye ana malengo na ambaye yupo tayari kumwoa. Msanii...
11 Reactions
158 Replies
24K Views
Leo ni arobaini ya marehemu mama Zari huko Uganda, badala Zari apande ndege akamfanyie kisomo mama yake kaenda Madale kufanya shooting ya muziki wa Diamond. Kweli Zari kakosa hela ya kumfanyia...
19 Reactions
171 Replies
19K Views
Jamani hayawi hayawi sasa yamekuwa. Kumbe promo zote zile clouds walikuwa wanataka kumsajili alikiba. Upuuzi mtupu. Ila sio kesi levo zake ni za akina Rayvan
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Sijui kama ni mimi tu aliyegundua hili au kuna mwingine ila hajasema. Nahisi Diamond na kiba wameamua kuitumia beef yao kibiashara zaidi. Nimegundua hili baada ya kutafakari mazingira ya...
16 Reactions
52 Replies
5K Views
Sitaki kuzungumza sana jionee mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
33 Replies
9K Views
Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni. Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa...
15 Reactions
142 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…