Habari ndugu zangu.Ni siku kadhaa zimepita tangu manguli wa bongo flava kutoa nyimbo Alikiba~seduce me na Diamond/wcb ~zklipendwa.
Tangu nyimbo zilivyoachiwa seduce me ya King kiba ilikuwa no...
Msanii wa filamu bongo Aunty Ezekiel, amejivunia kitendo cha msanii mwenzake ambaye pia ni rafiki yake mkubwa Wema Sepetu, kuzindua filamu ya Heaven Sent kwa aina ya kipekee, na kusema huenda...
Hivi huu mziki Wa bongo kwenda nje na heshima yake...hatuoni mchango Wa Diamond...wale Vijana Wa wasafi he...?
Mtatufanya kuitwa watanzania tuone aibu
carnte himself
Hii ndio tweet iliyozua kizazaa mtandaoni kiasi cha mheshimiwa Lissu kuweka hadharani kuwa hio account iliyotumika sio ya kwake
Hii ndio tweet ya Lissu kukanusha uzushi wa kumshabikia kiba
Mwanamasumbwi Conor MCGregor ametamba kwamba lazima amchakaze Mayweather kwa namna yoyote ile ,Conor alienda mbali zaidi kwa kudai kuwa labda afie uwanjani ndo ushindi pekee atakao upata...
Habari za asubuh wapendwa. Nimekuwa nikiona wasanii mbali mbali ambao siku hizi lazma watafite kiki kisha baadae kutoa wimbo. Hii ni moja ya mbinu ya pekee wanayoona ni rahisi kuvuta attention ya...
I like the guy ni mtangazi mzuri sana anaijua kazi yake vilivyo. Though ana mambo yake mengine huwa sielewi but all ina all yupo vzr kwa watangazaji wa EATV. Karibuni mwenye mtazamo kama wangu au...
Good News nyingine kwenye muziki wa Tanzania baada ya Waandaaji wa All African Music Awards ‘AFRIMA’ wametangaza list ya wasanii wanaowania tuzo katika vipengele mbalimbali kwa mwaka 2017 ambazo...
Haya ni maoni ya rafiki yangu Benson Tembo ambayo nakubaliana nayo kwa 100%.
____________________________________
Ali Kiba na Diamond ni sawa na sukari na chumvi au chumvi na sukari, (vyovyote...
Sherehe inaendelea nyumbani kwa Diamond mida hii
Kideo(below) Babu Tale jana usiku akisema Bi harusi mtarajiwa...
Update
Snapchat video ya kunusisha tukio.. nakutana nazo nawaletea
Msanii Jux ambaye ni mmiliki wa duka linalo uza nguo za 'brand' yake ya 'African Boy', ametoa sababu iliyofanywa duka hilo lipitiwe na bomoa bomoa, katika eneo la Sinza jijini Dar es salaam...
Habari zenu wadau,
Nianze na kilichonileta hapa,,,
Diamond platnumz unatakiwa ujue kuwa kwasasa una deni kubwa sana kwa kinachoendelea sasahivi na huu upepo wa TSUNAMI wa SEDUCE ME ya KING...
Kwa wiki nzima hii ukifuatilia kinachoongelewa katika mitandao ya kijamii na kwenye vipindi vya burudani ni ugomvi unaowahusisha Diamond na Alikiba, yote ikianza baada ya wimbo wa Fid Q...
Producer wa Ali Kiba Man Walter amedai akihojiwa kipindi cha Planet Bongo amedai waliosikia Ali Kiba katoa nyimbo kisha na wao kutoa ilikuwa ni panic na povu
Amesema wao wanaangalia ni ngoma ya...
Akihojiwa na Planet Bongo,msanii Ali kiba amesema nyimbo ya #Seduce #me ilitengenezwa miaka 2 iliopita katika studio ya Combinenga.
Ali kiba akiwa na Man Walter Ea radio amesema mashabiki wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.