Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

0 Reactions
40 Replies
8K Views
Kupitia akaunti yake ya instagram, Mama mzazi wa Diamond Platinumz ameendika maneno machache lakini yenye ujumbe mzito kwa mama wa wajukuu zake, Zarina Hassan aka Zari the Boss lady. Ni maneno...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wakuu, Nilikua na adabu mjini nikiwa maeneo yangu nikijua kwamba labda nitadakwa na kamera za Shilawadu lakini kumbe "hakuna shilawadu wanaofumania" Ukiangalia jinsi wanavofanya vipundi vyao...
6 Reactions
25 Replies
5K Views
Akihojiwa na Sudi Brown wa You Heard ya Clouds FM, Amber kadai kaamua kuifuta tatuu ya Young Dee kwa sababu hakuna chochote kati yao ila ni urafiki tuu. Young Dee kwa upande wake naye kadai...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Siku chache baada ya kubainika kuwa, Miss Tanzania 2006-07 ambaye pia anatisha katika tasnia ya filamu nchini, Wema Isaak Sepetu ni mtumiaji mzuri wa nyama ya Nguruwe ‘Kitimoto’, imeonekana...
0 Reactions
28 Replies
11K Views
Baada ya beef na mvutano wa muda mrefu baina ya Ruge (clouds media) na msanii Rama dee sasa wameamua kuzika tofauti zao Itakumbukwa Rama dee ni miomgoni mwa wasanii waliokuwa wanaendesha kampeni...
6 Reactions
64 Replies
10K Views
Majina ya wasanii wanaowania tuzo za mwaka huu za AFRIMMA-2017 yametajwa. Diamond Platnumz ameongoza kwenye tuzo orodha hiyo kwa kutajwa kwenye vipengere vingi(ambavyo ni vitano). 1.Best Male East...
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Hellow wakuu Kichwa cha habari chajieleza, 1.kuna nyimbo ya justin timberland ameimba beat ni la kihindi , wimbo unaanza mdada wa kihindi akitokea kwenye kikapu (tenga) mwishoni alirudi kwenye...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
“Nimeondoka Rockstar sio sababu Alikiba ni Boss” – Baraka the Prince Kama utakumbuka mwaka 2016 mwimbaji Baraka Da Prince alisaini mkataba wa kufanya kazi na label ya Rockstar 4000 lakini baadae...
1 Reactions
52 Replies
10K Views
Msanii namba moja Tanzania na Afrika Mashariki,Diamond Platnumz amechaguliwa kuwania categories TANO kwenye mashindano ya muziki ya Afrika yanayoandaliwa nchini Marekani. Muhenga yeye...
3 Reactions
29 Replies
6K Views
Wakihojiwa hivi punde na Soud Brown wa YOU HEARD ya Clouds FM, Flora amesema kamwachia Mbasha kila kitu kuanzia nyumba, magari na pesa benki ktk akaunti zote. Kibaya anadai jamaa hamkumbuki...
3 Reactions
55 Replies
11K Views
Sote tunafahamu Hollywood wanamji wao ambao wanakaa mastaa movies, music nk mitaa ya Beveryhill huko nk. Kuna kipindi mastaa wabongo pia waliwahi pewa eneo wajenge. Iliishia wapi hiyo mana...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
I see Chid Benzi illuminating once again. The man has been in ups and downs for several times on his battle against drugs. But with all this, his talent has never trembled even a bit. Jamaa...
4 Reactions
22 Replies
7K Views
teh teh teh, unakubali kutoa K ili tu kutafuta kiki, kweli wasichana nacheka tu
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Mabondia Floyd Mayweather na Conor McGregor wamekutana tena, mara hii wakikutana New York, ambapo tambo na majigambo vilichukua nafasi baina yao huku kila mmoja akitamba kuibuka mshindi katika...
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Hivi huyu dada nyie mnamuonaje, mi naona anakaribia kunifanya niache kukiangalia kipindi ambacho nakipenda. Sauti ya kuchonga, mavazi shida. Kweli kuna kazi ni kipaji na hutakiwi kulazimisha...
3 Reactions
61 Replies
15K Views
Mimi kama muhenga wa JF Kuna hii trend inayoendelea sasa hivi kuhusu wahenga nakumbuka niliwahi kumsikia mtangazaji mmoja wa Eatv anaitwa Materu wa Materuni alkuwa akitoa misemo hii kipindi cha...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Msanii wa RnB Usher amemlipa fidia Ex wake baada ya kumuambukiza gonjwa la zinaa ‘Herpes’ miaka kadha iliyopita. Kwa mujibu wa Radar Online, Usher ametoa dola milioni 1.1 kumaliza kesi...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Inadaiwa walipigana na producer. Hayo yamebainika Leo kupitia You Heard ya clouds FM na Sudi Brown.Na alitumia chupa kumpiga producer huyo.Aliambiwa ajiandae maana kesi ishafika polisi na...
0 Reactions
7 Replies
858 Views
Back
Top Bottom