Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wakuu tarehe kama ya leo ilikuwa siku chungu kwa Tanzania na duniani. Ilikuwa ni siku tuliyompoteza ngwiji la kuigiza Steven kanumba Binafsi hiki kifo kiliniumiza sana miaka imekwenda kwa kasi...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Harmorapa ameingia choo cha kike. Wema Sepetu amemjibu rapper huyo asiyeishiwa vituko juu ya ujumbe wake aliouandika wiki iliyopita kwenye mtandao wa Instagram kuwa akifanikiwa kumpata mrembo huyo...
12 Reactions
110 Replies
17K Views
Kwanza nianze kwa kusema kuwa Mimi si Fani wa DIAMOND Isipokua napenda Muziki Mzuri anaofanya, Pamoja na Jitihada, Bidii na Discipline aliyonayo katika kufanya kazi zake. Sitaki kuingia kwenye...
11 Reactions
35 Replies
5K Views
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo...
9 Reactions
197 Replies
22K Views
Msichana ambaye Aunt Ezekiel alikuwa anadai anataka kunyang'anya mume amemjia juu na kudai hana mpango huo na yupo karibu na Mose Iyobo kwa sababu wamezaa pamoja mtoto. Msichana huyo amesema...
6 Reactions
33 Replies
10K Views
Usalama wa Maisha yangu umekua Mdogo kwasasa, Wana panga kunipoteza ikibidi nisiwepo kabisa kwenye hii Dunia. Nipo tayari kwa chochote wanacho panga kufanya Coz sijajipanga kupambana nao, Mimi ni...
12 Reactions
207 Replies
25K Views
Kumbe mtoto yule, Flora alichepuka [emoji22][emoji22][emoji22]
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Ila sio official release ni wadau tu wametoa
3 Reactions
36 Replies
8K Views
TID alitangaza kuacha kutumia madawa kwa mbwembwe na kusema amebadilika kuwa mtu mstaarabuna siyo yule mwenye wenge kama zamani Ila kwa interview aliyofanyiwa na EATV huenda TID keshayarudia...
3 Reactions
78 Replies
10K Views
Jana Diamond alionekana akizindua mradi. Nilishikwa nabutwaa kwani ni awamu hii tu ambapo hadi wasanii wanaenda kuzindua miradi kwa kuta utepe.
3 Reactions
50 Replies
8K Views
habari wanajukwaa!!! nimekaa nimetafakari sana afu baadaye nikaanza kucheka mwenyewe nilipo anza kukumbuka vichekesho vya hawa jamaa (braza K, kingwendu na babu mkombe). Hawa jamaa kama tunavyo...
0 Reactions
51 Replies
9K Views
Nimeskia true boy yupo kwenye mchakato wa kutoa remix ya WAPO. Na kasema kwenye remix tutegemee wasanii sio chini ya watatu. Wasanii hao ni nani na nani? Mimi ninakaombi tu kwa ney fanya wawepo...
13 Reactions
127 Replies
12K Views
Muigizaji wa Bongo movie amesema atamsome Albadir mtualiye hack account yake ya Instagram, ametoa taarifa kwa polisi na wataalamu wa IT tayari ila kama hatairudisha yupo radhi kumfanya awe kichaa...
0 Reactions
54 Replies
10K Views
Msanii huyu alikuwa akihojiwa kipindi cha XXL clouds FM alipoulizwa atakapoitwa na Rais na kuulizwa swali hilo atajibu vipi. Alisema pale anamaanisha marinda anamaanisha nguo zilizowekewa...
1 Reactions
33 Replies
14K Views
Saa chache baada ya kuachiwa huru kutokana na amri ya Rais John Magufuli, Rapa Nay wa Mitego amesema kuwa atayafanyia kazi maoni ya Rais kuhusu kuboresha wimbo wake kwa namna ya pekee. Rapa huyo...
4 Reactions
37 Replies
6K Views
Ney wa Mitego amewashukuru wasanii wote walioonyesha sapoti kwake kipindi alichokuwa matatizoni pia amemshukuru Rais Magufuli na waziri wake Mwakyembe, ila kuhusu kuonana na Mwakyembe Dodoma kama...
11 Reactions
37 Replies
8K Views
Kila nikimtathmini hasa matendo yake na kubwa zaidi kupenda kupiga picha na kutupia mitandaoni mara akiwa kamshika huyu au kapozi hivi sometimes kihasara hasara na vitu anavyoviandika achilia...
4 Reactions
103 Replies
30K Views
Binti wa Mramba aliyefunga ndoa juzi alionekana kufanana sana na first lady wa awamu ya tatu, inakuwaje?
0 Reactions
44 Replies
25K Views
Alianza idris akapost akaja harmonize akajibu Clapback season
2 Reactions
112 Replies
16K Views
Mwakyembe amesema kupitia yeye ni lazima Diamond na Ali Kiba wakae pamoja kwa kuwa yeye ni baba yao, amemuagiza mkurugenzi anayehusika awapelekee ujumbe huo
1 Reactions
49 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…