Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi...
28 Reactions
561 Replies
84K Views
Aliitwa Norval Sinclair Marley, alizaliwa mwaka 1881, alikuwa captain na pia baadae alikuja kuwa msimamizi mkuu wa mashamba makubwa huko Jamaica. Alikutana Na mama yake Bob akiwa Na miaka 60...
11 Reactions
89 Replies
20K Views
Nawapenda mno akina Abdallah Mwaipaya na mwenzie Farhia Middle hasa wakiwa katika Kipindi chao cha Jumapili cha familia. Wana sauti nzuri, wacheshi na wanajua kuendesha vizuri hicho Kipindi chao...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wasalaam wana jamvi. Mimi ni muumini wa mziki mzuri leo nimesikia wimbo wa Lady Jaydee unaitwa Rozera kwakweli nimeupenda sana wimbo wake kwakweli pamoja na madhaifu yake huyu dada lakini ana...
11 Reactions
40 Replies
9K Views
Kwa sasa Tanzania tuna vipaji mbalimbali katika sekta za michezo. Je, kati ya Samatta,Kiba na Diamond, nani ni zaidi katika jamii,kuitambulisha nchi kimataifa na nani ni maarufu sana hapa bongo?
2 Reactions
115 Replies
25K Views
Habari yako Dada mkubwa? Pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa, hasa majukumu yako mazito ya kutupa burudani Watanzania tunao kadiliwa milion 55. Dada wewe ni dada mkubwa sana hapa Tanzania na...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Leo mwadada mkongwe jaydee anazindua album yake ya 7 pale King Solomon Hall wadau na wapenzi mnatakiwa kujitokeza kwa wingi kumpa support, mwanzo uzinguzi huo ulipangwa kufanyika katika ukumbi wa...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
[https://1] MALKIA wa Mipasho Tanzania, Khadija Kopa amefunguka kuwa hajawahi kuchepuka tangu mumewe afariki dunia, kwa sababu anaogopa kuchuja, kuchoka na kuzeeka mapema. Global TV Online...
0 Reactions
25 Replies
13K Views
Jana nilikuwa kijiweni na vijana wengi walikuwa wanamponda Diamond kwa kuwa nyimbo zake nyingi hazikemei maovu kwenye jamii. Pia wanauona mwelekeo wake ni kusaka tonge zaidi ya kujali mustakabali...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Toka jana natazama clouds tv rwanda channel namba 171 azam decoder. Nilikuwa nadhani wanyarwanda hawajui kuimba hawana mziki mzuri ila nimestaajabu wanaimba mziki kama wa kwetu kwa kilugha chao...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
(Faza Nelly) From the album 'Maasai hip hop' (Out Here records, 2004) Swahili lyrics (English intro): All my people East Africa Tanzania, Uganda and Kenya Dar es Salaam, A town Wherever...
8 Reactions
43 Replies
15K Views
Kama binadamu na Kama mzazi ukiacha mapungufu yote ya Lulu. Elizabeth Michael naye ni binadamu mwenye hisia kama wengine! Anastahili kupata kila unachostahili wewe, upendo ulinzi kujaliwa utu...
14 Reactions
79 Replies
12K Views
Msanii mkongwe muigizaji wa Bongo movie Jacob Steven JB, ametoa sababu ya bongo movie kudorora kwa sasa. Amedai bado haijafa ila inapitia kipindi cha mpito, na kinachoifanya ikafifia ni kutokana...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Kweli ujana maji ya Moto, kwa sisi vijana wa wakati huo, au Old school wengi tunamkumbuka vizuri rapa wa kimarekani wa Enzi hizo coolio, aliyetamba na vibao kadhaa kama vile I'll c u when u get...
3 Reactions
31 Replies
6K Views
Mmiliki wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ameandika barua yenye ujumbe mzito kwa Diamond kupitia mtandao wa Instagram. Kupitia mtandao huo, Shigongo ameandika: Nampenda Diamond...
9 Reactions
91 Replies
15K Views
Au ndo mambo ya Kiki?
4 Reactions
94 Replies
14K Views
Asilimia karibu zaidi ya 90 wasanii wa bongo flavour hujikuta wote wanaimba nyimbo nyiingi zinazofanana mlengo,na hii hutokea kwa sababu KARBU WOTE HUIMBA KUHUSU MAPENZI..na huwa wakiulizwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which...
71 Reactions
525 Replies
80K Views
Huwa si mpenzi sana wa kuangalia taarifa ya habari star tv mara kwa mara isipokuwa ni pale kwenye taarifa zao za kimataifa ambazo huchanganuliwa vizuri. Pia huwa napenda sana kuangalia kipindi cha...
2 Reactions
75 Replies
22K Views
kwenye facebook page ya jaffarai inasema: NIMEAMUA KUACHANA NA ALIEKUA MPENZI WANGU KWA TAKRIBAN MIAKA 8 SHYROSE BHANJI..
1 Reactions
336 Replies
59K Views
Back
Top Bottom